サムエル記Ⅱ 22 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

サムエル記Ⅱ 22:1-51

22

ダビデの賛美

1主がサウルや他のあらゆる敵から救い出してくださった時、ダビデは主に歌いました。

2「主は私の岩、私のとりで、私の救い主。

3私はそのうちに隠れよう。

神こそ私の岩、隠れ家、私の盾、救い、

逃れ場となるやぐら。

すべての敵から救い出してくださった方に感謝しよう。

4私はこのお方にすがろう。

主には賛美がふさわしい。

すべての敵から救い出してくださるお方だから。

5死の波が私を取り巻き、

悪の洪水が私に襲いかかった。

6私は罠にかかり、死とよみに縛られた。

7苦しみの中で主を呼び求めると、

主は神殿でその叫びを聞かれた。

私の叫びがお耳に届いた。

8すると、地が揺れ動いた。

天の基もおののき震える。

主はお怒りになったのだ。

9噴煙がその鼻から立ちのぼり、

火が口からほとばしり出て

あらゆるものをなめ尽くし、

全世界を火だるまにした。

10主は天を押し曲げて、地に降りて来られ、

黒雲に乗って進まれた。

11主は栄光の御使いの背に乗り、

風の翼に乗って来られた。

12暗闇が主を取り囲み、

厚い雲がたれ込めても、

13地は主の輝きで、まばゆいばかりにきらめいた。

14主は天から雷鳴をとどろかせ、

すべての神々にまさる方の雄叫びが響き渡った。

15主はいなずまの矢を放って敵をかき乱された。

16その息吹によって海は真っ二つに裂け、

海の底が現れた。

17主は御手を差し伸べて

大水の中から救い上げてくださった。

18強敵から、憎む者から、

とても太刀打ちできない者たちの手から、

主は私を救い出してくださった。

19災いの日に、彼らは襲いかかって来た。

しかし、救い主が私の味方だ。

20主は私を救い出し、鎖をといてくださった。

私を喜びとされたからだ。

21私が正しかったから、手を汚さなかったから、

報いてくださったのだ。

22私は主から離れなかった。

23主のおきてを心に刻み、ひたすら守り通した。

24主への完全な従順と罪との訣別。

25それが豊かな報いにつながった。

主は私の正しさときよさを知っておられる。

26あなたは恵み深い者には恵み深く、

非の打ちどころのない者には

非の打ちどころなく現れてくださる方。

27あなたは、きよい者にはご自身のきよさを示し、

汚れた者には滅びをもたらされる方。

28あなたは悩みのうちにある者を救い、

高慢な者の鼻をへし折られる。

あなたの目は一挙一動を見逃さない。

29ああ主よ。あなたは私のともしび。

目の前の暗闇を照らし出される。

30あなたの力を受けて、私は敵を破り、

あなたの勢いを借りて城壁を飛び越える。

31神の道は完全、主のことばは真実。

主は、すべて身を寄せる者の盾。

32主をおいてほかに神はなく、

主のほかには救い主はいない。

33神こそ強固なとりで。

そこで私は安全に守られる。

34神は岩場に立つ鹿のように

正しい者の歩みをしっかり支えてくださる。

35戦いのために私を鍛え、

青銅の弓を引く力を養ってくださる。

36あなたの救いの盾は私のものとなり、

あなたの慈愛は私を強くする。

37足を踏みはずしたりしないよう

あなたは私の歩幅を広げてくださった。

38私は敵を追って、

壊滅するまで手をゆるめなかった。

39手ひどく打撃を被った彼らは二度と立ち上がれず、

私の足もとにうずくまる。

40あなたは戦う力を私に与え、

すべての敵を征服させてくださった。

41また、背を見せて逃げまどう敵を

私は残らず滅ぼした。

42呼べども叫べども、彼らを助ける者はない。

神に叫び求めても、何の答えもなかった。

43私は彼らをちりのように払いのけ、

道ばたのどろを落とすように粉々に蹴散らした。

44あなたは私を、反逆からも守ってくださった。

また、諸国民のかしらとして

揺るぎない地位を保たせてくださった。

外国人も私に仕えるようになる。

45私の権勢を耳にした外国人はたちまち従う。

46まるで何かにつかれたように、

震えおののきながら隠れ家から出て来る。

47主は生きておられる。

すばらしい岩。

私の救いの岩、主をほめたたえよ。

48敵を滅ぼしてくださる神をほめたたえよ。

49敵から助け出してくださる神をほめたたえよ。

確かに、彼らの手の届かない所で私は守られ、

彼らの暴虐からも救われている。

50ああ主よ。国々の中でどうして感謝しないでいられましょう。

お名前をほめ歌わずにいられましょう。

51主はすばらしい救いを王に示し、

油注がれたダビデとその子孫とに

あわれみをかけてくださる。とこしえまでも。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 22:1-51

Wimbo Wa Daudi Wa Sifa

(Zaburi 18)

122:1 Kut 15:1; Amu 5:1; Za 18:2-50Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. 222:2 1Sam 2:2; Za 31:3; 91:2; 71:3; 144:2; Kum 32:4; Za 18:2; Mit 18:10; Mt 18:10Akasema:

Bwana ni mwamba wangu,

ngome yangu na mwokozi wangu,

322:3 Mit 10:29; Yoe 3:16; Kum 23:15; 32:37; Za 14:6; 31:2; 59:16; 71:7; 91:2; 94:22; Isa 25:4; Yer 16:19; Mwa 15:1; Kum 33:17; Lk 1:69; Za 9:9; 52:7Mungu wangu ni mwamba wangu,

ambaye kwake ninakimbilia,

ngao yangu na pembe ya wokovu wangu.

Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu

na mwokozi wangu,

huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.

422:4 Za 48:1; 96:4; 145:3Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa,

nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

522:5 Za 69:14-15; Yon 2:3“Mawimbi ya mauti yalinizunguka,

mafuriko ya maangamizi yalinilemea.

622:6 Za 116:3; Mdo 2:24Kamba za kuzimu22:6 Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, maana yake ni Shimo lisilo na mwisho. zilinizunguka,

mitego ya mauti ilinikabili.

722:7 Mwa 35:3; Amu 2:15; 2Nya 15:4; Za 4:1; 77:2; 120:1; Isa 26:16; Za 34:15; 116:4; 116:4; Kut 3:7Katika shida yangu nalimwita Bwana,

nilimlilia Mungu wangu.

Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu,

kilio changu kikafika masikioni mwake.

822:8 Amu 5:4; Za 97:4; Kut 19:18; Za 68:8; 77:18; Yer 10:10; Ay 9:6; 26:11; Za 75:3“Dunia ilitetemeka na kutikisika,

misingi ya mbingu ikatikisika,

vilitetemeka kwa sababu

alikuwa amekasirika.

922:9 Za 50:3; 97:3; Ebr 12:29; Ufu 11:5; Isa 6:6; Eze 1:13; 10:2; Hab 3:5Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,

makaa ya moto yawakayo

yakatoka ndani mwake.

1022:10 Kut 19:9; Law 16:2; Kum 33:26; 1Fal 8:12; Ay 26:9; Za 104:3; Isa 19:1; Yer 4:13; Nah 1:3; Isa 64:1Akazipasua mbingu akashuka chini,

mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.

1122:11 Mwa 3:24; Kut 25:22; Za 104:3Alipanda juu ya kerubi akaruka,

akapaa juu kwa mbawa za upepo.

1222:12 Kut 19:9Alifanya giza hema lake la kujifunika:

mawingu meusi ya mvua ya angani.

1322:13 Ay 37:3; Za 77:18Kutokana na mwanga wa uwepo wake

mawingu yalisogea,

ikanyesha mvua ya mawe

na umeme wa radi.

1422:14 1Sam 2:10; Isa 30:30Bwana alinguruma kutoka mbinguni,

sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.

1522:15 Kum 32:23; Za 7:13; 77:7; Hab 3:11Aliipiga mishale na kutawanya adui,

umeme wa radi na kuwafukuza.

1622:16 Za 6:1; 50:8, 21; 106:9; Nah 1:4; Isa 30:33; 40:24; Kut 14:21Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

na misingi ya dunia ikawa wazi

kwa kukaripia kwake Bwana,

kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.

1722:17 Za 144:7; Kut 2; 10“Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

1822:18 Lk 1:71Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

1922:19 Za 23:4Walinikabili siku ya msiba wangu,

lakini Bwana alikuwa msaada wangu.

2022:20 Ay 36:16; Za 31:8; 118:5; 22:8; Isa 42:1; Mt 12:18; 2Sam 15:26Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

2122:21 1Sam 26:23; Za 26:6; Ay 17:9; 22:30; 42:7-8; Za 24:4Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.

2222:22 Mwa 18:19; Za 128:1; Mit 8:32Kwa maana nimezishika njia za Bwana;

sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.

2322:23 Kum 6:4-9; Za 119:30-32, 102; Kum 7:12Sheria zake zote zi mbele yangu,

wala sijayaacha maagizo yake.

2422:24 Mwa 6:9; Efe 1:4; Yn 1:47Nimekuwa sina hatia mbele zake,

nami nimejilinda nisitende dhambi.

2522:25 1Sam 26:23Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu,

sawasawa na usafi wangu machoni pake.

2622:26 Mt 5:7“Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu,

kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,

2722:27 Mt 5:8; Law 26:23-2422:27 1Nya 27:9-10kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu,

lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.

2822:28 Kut 3:8; 1Sam 2:8-9; Za 72:12-13; Mit 30:13; Dan 4:31; Sef 3:11; Isa 2:12-17; 5:15; Za 12:5; Mt 5:3Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi

ili uwashushe.

2922:29 Za 27:1; Isa 2:5; Mik 7:8; Ufu 21:23; 22:5Wewe ni taa yangu, Ee Bwana.

Bwana hulifanya giza langu

kuwa mwanga.

30Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

nikiwa pamoja na Mungu wangu

nitaweza kuruka ukuta.

3122:31 Kum 32:4; Mt 5:48; Za 12:6; 119:140; Mit 30:5-6; Mwa 15:1; Dan 4:37; Ufu 15:3“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu;

neno la Bwana halina dosari.

Yeye ni ngao kwa wote

wanaokimbilia kwake.

3222:32 Kut 32:31; 1Sam 2:2; Isa 45:5-6Kwa maana ni nani aliye Mungu

zaidi ya Bwana?

Ni nani aliye Mwamba

isipokuwa Mungu wetu?

3322:33 1Sam 2:2; 2Sam 7:22; Za 27:1; Kum 18:13Mungu ndiye anivikaye nguvu

na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

3422:34 Isa 35:6; Hab 3:19; Kum 32:13Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

3522:35 Za 144:1; 7:12; 11:2; Zek 9:13Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

3622:36 Efe 6:16Hunipa ngao yako ya ushindi,

unajishusha chini ili kuniinua.

3722:37 Mit 4:11Huyapanua mapito yangu,

ili miguu yangu isiteleze.

38“Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta,

sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

3922:39 Za 44:5; 110:6; Mal 4:3Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena;

walianguka chini ya miguu yangu.

4022:40 Yos 10:24; 1Fal 5:3; Za 44:5Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

4122:41 Kut 23:27Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

nami nikawaangamiza adui zangu.

4222:42 Isa 1:15; Za 50:22; 1Sam 14:37; 28:6; Ay 27:6; Mit 1:28Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.

4322:43 1Fal 20:10; 2Fal 13:7; Isa 41:2; Amo 1:3; Za 7:5; Isa 41:25; Mik 7:10; Zek 10:5; Isa 5:25; 10:6; 22:5Niliwaponda kama mavumbi ya nchi;

niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.

4422:44 Kut 11:3; 2Sam 3:1; 8:1-14; Isa 55:3-5; Kum 28:13“Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;

umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa.

Watu ambao sikuwajua wananitumikia,

4522:45 Za 66:3; 81:15; Kum 33:29nao wageni huja wakininyenyekea,

mara wanisikiapo, hunitii.

4622:46 Mik 7:17Wote wanalegea,

wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

4722:47 Kut 15:2; Kum 32:15; Za 18:31; 89:26; 95:1Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

Atukuzwe Mungu,

Mwamba, Mwokozi wangu!

4822:48 Hes 31:3; Za 144:2; 1Sam 25:39; Za 94:1Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

ayawekaye mataifa chini yangu,

4922:49 Za 140:1; 27:6aniwekaye huru toka kwa adui zangu.

Uliniinua juu ya adui zangu;

uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

5022:50 Za 9:11; 47:6; 68:4; Rum 15:9Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana,

katikati ya mataifa;

nitaliimbia sifa jina lako.

5122:51 Za 21:1; 144:9-10; 1Sam 16; 13; Za 89:20; Mdo 13:23; 2Sam 7:13; Za 89:24, 29Humpa mfalme wake ushindi mkuu;

huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,

kwa Daudi na wazao wake milele.”