サムエル記Ⅱ 23 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

サムエル記Ⅱ 23:1-39

23

ダビデの最後のことば

1これは、ダビデの最後のことばです。

「エッサイの子ダビデは告げる。

ダビデ、神からすばらしい勝利と祝福を授けられた者。

ダビデ、ヤコブの神から油を注がれた(特別に選ばれた)者。

ダビデ、イスラエルの麗しい詩人。

2主の霊は私を通して語られた。

主のことばは私の舌にあった。

3イスラエルの岩である方が私に語られた。

『正しく治める者、神を恐れて治める者が来る。

4その人は、朝の光のよう、雲一つない朝焼けのようだ。

地に萌え出た若草に降り注ぐ

雨上がりの陽光のようだ。』

5まことに、神がわが家系をお選びくださった。

神は永遠の契約を、私と結んでくださった。

その約束は揺るがず、最後まで守られる。

神は常に、私の安全と成功を心にかけてくださる。

6しかし、神に背を向ける者は、

いばらのように投げ捨てられる。

7彼らは武装した者に切り捨てられ、

火で焼かれる。」

ダビデ軍の勇士たち

8ダビデ軍の中で最強の英雄三人の名を挙げるなら、筆頭はハクモニの子ヤショブアムで、一度の戦いで八百人を倒した勇士です。

9次は、ドドの子でアホアハ人のエルアザルです。彼も三勇士の一人で、ほかの者が逃げ出した時も、ダビデとともに踏みとどまってペリシテ人と戦いました。 10彼は次々にペリシテ人を打ち倒し、ついに手が疲れて、剣を握ることもできないほどでした。主は彼に輝かしい勝利を授けました。残りの兵士が引き返して来た時には、戦利品を集めるばかりになっていたのです。

11-12三人目は、ハラル出身のアゲの子シャマです。ペリシテ人が攻めて来た時、部下は彼を放って逃げ出しましたが、ただ一人レンズ豆畑の真ん中に踏みとどまって、敵を打ち倒したのです。こうして、主は大勝利をもたらしました。

13ダビデがアドラムのほら穴に潜み、攻め寄せるペリシテ人がレファイムの谷に陣取っていた時のことです。ちょうど刈り入れのころ、イスラエル軍の精鋭三十人の中から、この三人がダビデのもとを訪ねて来ました。 14当時、ダビデは要害に立てこもっていました。ペリシテ人の略奪隊がベツレヘム一帯を占領していたからです。 15そんなダビデの口をついて出るのは、いつも、「ああ、のどが渇いた。ベツレヘムの井戸のうまい水が飲みたい」ということばでした。その井戸は町の門のわきにありました。 16そこで三人の勇士は、ペリシテ人の陣営を突き破って井戸へ行き、くんで来た水をダビデに差し出しました。しかしダビデは、とてもその水を飲む気にはなれず、主にささげて注いだのです。 17ダビデは言いました。「主よ。どうしてこの水を飲めましょう。いのちをかけた人々の血ですから。」

18-19この三人のほかに、ツェルヤの子ヨアブの兄弟アビシャイも、非常に評判の高い人物でした。単身、三百人の敵を相手にして倒したこともありました。その武勲により、三勇士に負けないほどの名声を上げました。彼はイスラエル軍の幹部将校三十人の中では最もすぐれ、彼らのリーダーでした。

20このほか、エホヤダの子でベナヤというカブツェエル出身の勇士もいました。ベナヤは、モアブの豪傑二人を倒しました。ある時は、つるつるに凍った雪道にもかかわらず、ほら穴に下りて行き、中にいたライオンを殺しました。 21またある時は、杖一本で、槍を手にしたエジプト人戦士に立ち向かって倒しました。相手の手から槍をもぎ取って突き殺したのです。 22これらの手柄で、ベナヤは三勇士のように有名になりました。 23彼は、あの三勇士には及びませんでしたが、三十人の中で非常に評判の高い一人でした。ダビデは彼を護衛長に任じました。

24-39ヨアブの兄弟アサエルも、三十人の一人でした。そのほかの顔ぶれは次のとおりです。ベツレヘム出身で、ドドの子エルハナン。ハロデ出身のシャマ。ハロデ出身のエリカ。ペレテ出身のヘレツ。テコア出身で、イケシュの子イラ。アナトテ出身のアビエゼル。フシャ出身のメブナイ。アホアハ出身のツァルモン。ネトファ出身のマフライ。ネトファ出身で、バアナの子ヘレブ。ギブア出身で、ベニヤミン部族リバイの子イタイ。ピルアトン出身のベナヤ。ガアシュの谷出身のヒダイ。アラバ出身のアビ・アルボン。バルフム出身のアズマベテ。シャアルビム出身のエルヤフバ。ヤシェンの子たち。ヨナタン。ハラル出身のシャマ。アラル出身で、シャラルの子アヒアム。マアカ出身で、アハスバイの子エリフェレテ。ギロ出身で、アヒトフェルの子エリアム。カルメル出身のヘツライ。アラブ出身のパアライ。ツォバ出身で、ナタンの子イグアル。ガド出身のバニ。アモン出身のツェレク。ツェルヤの子ヨアブのよろい持ちで、ベエロテ出身のナフライ。エテル出身のイラ。エテル出身のガレブ。ヘテ人ウリヤ。以上合わせて三十七人です。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 23:1-39

Maneno Ya Mwisho Ya Daudi

123:1 Kut 11:3; Za 78:70-71; 89:27; 1Sam 2:10, 35; Za 18:50; 20:6; 84:9; Isa 45:1; Hab 3:13; 1Sam 16:12-13Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi:

“Neno la Daudi mwana wa Yese,

neno la mtu aliyeinuliwa na Aliye Juu Sana,

mtu aliyepakwa mafuta na Mungu wa Yakobo,

mwimbaji wa nyimbo wa Israeli:

223:2 Mt 22:43; Mk 12:36; 2Pet 1:21“Roho wa Bwana alinena kupitia kwangu,

neno lake lilikuwa ulimini mwangu.

323:3 Kum 32:4; 1Sam 2:2; Za 18:31; 72:3; Mwa 42:18; Isa 11:1-5; 2Nya 19:7-9; Kut 18:21Mungu wa Israeli alinena,

mwamba wa Israeli akaniambia:

‘Mtu anatawala watu kwa haki,

wakati anapotawala

akiwa na hofu ya Mungu,

423:4 Yon 1:5; Za 119:147; 130:6; Mit 4:18; Amu 5:31; Mt 13:43; Kum 32:2yeye ni kama mwanga wa asubuhi jua lichomozapo

asubuhi isiyo na mawingu,

kama mwanga baada ya mvua

uchipuzao majani kutoka ardhini.’

523:5 Mwa 9:16; Za 89:29; Isa 55:3“Je, si hivyo ilivyo nyumba yangu

mbele za Mungu?

Je, hajafanya Agano la milele nami,

lililopangwa na kuimarishwa

kila sehemu?

Je, hatanifanya niufurahie wokovu wangu

na kunijalia matakwa yangu yote?

623:6 Isa 5:6; 9:18; 10:17; 27:4; 33:12; Mik 7:4; Nah 1:10; Mt 13:40-41Lakini watu waovu wote

watatupwa kando kama miiba,

ambayo haikusanywi kwa mkono.

7Yeyote agusaye miiba

hutumia chombo cha chuma

au mpini wa mkuki,

nayo huchomwa pale ilipo.”

Mashujaa Wa Daudi

(1 Nyakati 11:10-41)

823:8 2Sam 17:10; 1Nya 27:2Haya ndiyo majina ya mashujaa wa Daudi:

Yosheb-Bashebethi,23:8 Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (1Nya 11:11). Mtahkemoni, alikuwa kiongozi wa wale Watatu; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 800, ambao aliwaua katika pambano moja.

923:9 1Nya 27:4; 8:4; 11:12Wa pili wake alikuwa Eleazari mwana wa Dodai,23:9 Dodai tafsiri nyingine zinamwita Dodo. Mwahohi. Akiwa mmojawapo wa wale mashujaa watatu, alikuwa pamoja na Daudi wakati waliwadhihaki Wafilisti waliokuwa wamekusanyika huko Pas-Damimu kwa ajili ya vita. Kisha watu wa Israeli wakarudi nyuma, 10lakini yeye alisimama imara akawaua Wafilisti hadi mkono wake ukachoka na ukagandamana na upanga. Bwana akawapa ushindi mkubwa siku ile. Vikosi vikarudi kwa Eleazari, kuteka tu nyara za waliokufa.

11Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi vya Israeli viliwakimbia. 12Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.

1323:13 Mwa 38:1; Yos 12:15; 17:18; 1Sam 22:1; 2Sam 5:18; 1Nya 11:15; 14:9; Kum 33:29; 1Nya 29:11; 2Nya 11:14; 25:8; Za 3:8; 46:1; Rum 8:31; Isa 17:5Wakati wa mavuno, viongozi watatu kati ya viongozi thelathini walishuka, wakamwendea Daudi katika pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai. 1423:14 1Sam 22:4-5; 2Sam 5:17; Rut 1:19; 1Nya 12:16Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu. 15Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu!” 1623:16 Mwa 35:14Basi mashujaa hao watatu wakapenya katikati ya Wafilisti, wakaenda kuchota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini Daudi akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za Bwana. 1723:17 Law 17:10-1223:17 Law 17:10Akasema, “Iwe mbali nami, Ee Bwana, kufanya kitu hiki. Je, hii si damu ya watu ambao walikwenda kwa kuhatarisha maisha yao?” Naye Daudi hakuyanywa.

Haya yalifanywa na hao mashujaa watatu.

1823:18 1Sam 26:6; 1Nya 11:20; 2Sam 2:18Abishai ndugu yake Yoabu mwana wa Seruya ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300 ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu. 19Je, hakupata heshima kubwa zaidi kuliko hao Watatu? Alikuwa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.

2023:20 2Sam 8:18; 1Nya 27:5; Yos 15:21; Kut 15:15Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba. 2123:21 1Nya 11:23Pia alimuua Mmisri mrefu mkubwa. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki mkononi mwake, Benaya alimwendea akiwa na rungu. Alipokonya mkuki kutoka mkononi mwa Mmisri na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe. 22Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu. 2323:23 2Sam 8:18Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu. Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.

2423:24 2Sam 2:18Miongoni mwa wale Thelathini walikuwepo:

Asaheli ndugu wa Yoabu;

Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu;

2523:25 Amu 7:1; 1Nya 11:27Shama, Mharodi;

Elika, Mharodi;

2623:26 1Nya 27:9-10Helesi, Mpalti;

Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa;

27Abiezeri kutoka Anathothi;

Mebunai, Mhushathi;

2823:28 1Nya 27:13; 2Fal 25:23; Ezr 2:22; Neh 7:26; Yer 40:8Salmoni, Mwahohi;

Maharai, Mnetofathi;

2923:29 1Nya 27:15; Yos 15:57Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi;

Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini;

3023:30 Amu 12:13; Yos 24:30; Amu 2:9Benaya Mpirathoni;

Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;

3123:31 2Sam 3:16Abi-Alboni, Mwaribathi;

Azmawethi, Mbarhumi;

32Eliaba, Mshaalboni;

wana wa Yasheni;

Yonathani 33mwana wa Shama, Mharari;

Ahiamu mwana wa Sharari, Mharari;

3423:34 Kum 3:14; 2Sam 11:3; 15:12Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaakathi;

Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

3523:35 Yos 12:22Hezro, Mkarmeli;

Paarai, Mwarbi;

3623:36 1Sam 14:47Igali mwana wa Nathani kutoka Soba;

Bani, Mgadi;

3723:37 Yos 9:17Seleki, Mwamoni;

Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;

3823:38 1Nya 2:53; 2Sam 20:26; Yos 15:48Ira, Mwithiri;

Garebu, Mwithiri;

3923:39 2Sam 11:3na Uria, Mhiti.

Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.