エレミヤ書 9 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

エレミヤ書 9:1-26

9

1ああ、私の目が涙の泉であったら、

殺された同胞のために、

昼となく夜となく、永久にすすり泣くことだろう。

2ああ、どこか遠くへ行って何もかも忘れ、

荒野の小屋に住めたら、どんなに気が楽だろう。

彼らはみな姦淫の罪を犯し、

裏切り者になり下がってしまった。

3「彼らは舌を弓のように曲げ、不真実という矢を射る。

正しいことには縁もゆかりもない者で、

悪から悪へと進み、わたしのことなど

いっこう心に留めない」と、主は言います。

4隣人や兄弟に気をつけなさい。

だれもかれも人を利用しようと、

中傷し合うからです。

5彼らは、よく訓練された舌で互いにだまし合い、

罪を犯し続けて、弱り果てます。

6「彼らは悪に悪を、偽りに偽りを積み重ね、

絶対にわたしのところへ来ようとしない」と、

主は言います。

7そのため、天の軍勢の主は、さらにこうつけ加えます。

「わたしは彼らを悩みの炉に入れてとかす。

彼らを精錬し、金属のように試す。

これ以外にどんなことができよう。

8彼らの舌は毒矢のようなうそを射る。

口先では穏やかに語るが、

心の中では相手を殺そうと企む。

9この事実に目をつぶり、

罰せずに放っておけるだろうか。

このような国に復讐しないでいられようか。」

10私は泣きながら、山や牧場を指さします。

そこには住む者もなく、

すっかり荒れ果てているのです。

家畜の鳴き声は絶え、鳥や獣も姿を消しました。

11「わたしはエルサレムを、瓦礫の山にする。

そこを住みかとするのは山犬だけだ。

ユダの町々は、誰ひとり住む者のない廃墟になる。」

12このことを悟る知恵者は、どこにいるでしょう。

このことを説明してくれる主の使者は、

どこにいるのでしょうか。

どうしてこの国は荒れ地となり、

通行人さえいなくなったのでしょうか。

13「それは、わたしの民がわたしの戒めを捨て、おきてに従わなかったからだ。 14それどころか、好き勝手なことばかりして、先祖が伝えたバアルを拝んだ。 15そこで、イスラエルの神であるわたしは言う。彼らに苦い物を食べさせ、毒を飲ませる。 16彼らを世界中に散らし、遠くの国々に追い払う。どこへ行っても、剣に追い回され、ついに根絶やしにされる。

17-18わたしは言う。

大急ぎで泣き女を呼んで来て、泣かせなさい。

涙を滝のように流させるのだ。

19エルサレムが絶望しきって泣いているのを聞け。

『町はすっかり荒れ果てた。悲劇が私たちを襲った。

こうなったら、国も家も見捨てるよりほかない。』」

20大声を上げて泣く女たちよ、

神のことばに耳を傾けなさい。

娘と隣人に、泣き方を教えなさい。

21死が窓から家に忍び込み、

若いいのちをもぎ取ったからです。

道ばたで遊ぶ子どもの姿はなく、

広場にも若者の姿はありません。

22次のことを話すようにと、主は言います。

死体は肥やしのように、

刈り入れのあとの束のように、

あちこちに散らされたままで、だれも埋めてくれない。

23主は命じます。

「知恵のある者は、知恵をひけらかしてはいけない。

力のある者は力を、金持ちは富を誇ってはいけない。

24誇る者は、わたしをほんとうに知っていることと、

わたしが正義の主であって、

その愛は変わらないと知っていることを誇りなさい。

25-26わたしが、体に割礼(男子が生まれて八日目に

その生殖器の包皮を切り取る儀式)を受けていても、

心に割礼を受けていないエジプト人、エドム人、

アモン人、モアブ人、アラブ人、

そしておまえたちユダの民を

罰する時が近づいている。

異教の国々の民でも体の割礼は受ける。

わたしを愛するしるしに心の割礼を受けなければ、

おまえたちの割礼は、

異教徒の儀式と少しも変わらない。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 9:1-26

19:1 Mao 3:48; Isa 22:4; Za 119:136; Yer 13:17; 14:17; Mao 2:11Laiti kichwa changu kingekuwa chemchemi ya maji

na macho yangu yangekuwa kisima cha machozi!

Ningelia usiku na mchana

kwa kuuawa kwa watu wangu.

29:2 Hes 25:1; Hos 4:2; Za 55:7; Yer 23:10; Hos 7:4; 1Fal 19:10; Isa 24:16Laiti ningekuwa na nyumba

ya kukaa wasafiri jangwani,

ningewaacha watu wangu

na kwenda mbali nao,

kwa kuwa wote ni wazinzi,

kundi la watu wadanganyifu.

39:3 Kut 20:16; Mik 6:12; Amu 2:10; 1Sam 2:12; Za 64:3; Isa 44; 20; Yer 18:18“Huweka tayari ndimi zao kama upinde,

ili kurusha uongo;

wamekuwa na nguvu katika nchi

lakini si katika ukweli.

Wanatoka dhambi moja hadi nyingine,

hawanitambui mimi,”

asema Bwana.

49:4 Mik 7:5-6; Mwa 27:35; 2Sam 15:12; Kut 20:16; Law 19:16“Jihadhari na rafiki zako;

usiwaamini ndugu zako.

Kwa kuwa kila ndugu ni mdanganyifu,

na kila rafiki ni msingiziaji.

59:5 Za 15:2; Law 6:2; Isa 59:15Rafiki humdanganya rafiki,

hakuna yeyote asemaye kweli.

Wamefundisha ndimi zao kudanganya,

wanajichosha wenyewe katika kutenda dhambi.

69:6 Yer 5:27; Mit 1:24Unakaa katikati ya udanganyifu;

katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,”

asema Bwana.

79:7 Ay 28:1; Isa 1:28; Hos 11:8; Yer 6:27Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote:

“Tazama, nitawasafisha na kuwajaribu,

kwani ni nini kingine niwezacho kufanya

kwa sababu ya dhambi ya watu wangu?

89:8 Za 35:20; Yer 5:26; Isa 3:5Ndimi zao ni mshale wenye sumu,

hunena kwa udanganyifu.

Kwa kinywa chake kila mmoja huzungumza maneno mazuri na jirani yake,

lakini moyoni mwake humtegea mtego.

99:9 Kum 32:43; Isa 10:3Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya jambo hili?”

asema Bwana.

“Je, nisijilipizie kisasi

kwa taifa kama hili?”

109:10 Hos 4:3; Yoe 1:18; Yer 31:35; 32:18; 23:10; 4:25; 12:4Nitalia na kuomboleza kwa ajili ya milima

na kuomboleza kuhusu malisho ya jangwani.

Yamekuwa ukiwa, wala hakuna apitaye humo,

milio ya ngʼombe haisikiki.

Ndege wa angani wametoroka

na wanyama wamekimbia.

119:11 Ay 30:29; Isa 34:13; Law 26:31; Mao 1:4; Yer 26:18; Isa 25:2“Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu,

makao ya mbweha;

nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa

ili asiwepo atakayeishi humo.”

129:12 Za 107:43; Hos 14:9Ni mtu yupi aliye na hekima ya kutosha ayaelewe haya? Ni nani aliyefundishwa na Bwana awezaye kuyaeleza haya? Kwa nini nchi imeharibiwa na kufanywa ukiwa kama jangwa ambapo hakuna awezaye kupita?

139:13 2Nya 7:19; Za 89:30-32Bwana akasema, “Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu, niliyoiweka mbele yao: hawajaniheshimu mimi wala kufuata sheria yangu. 149:14 Amo 2:4; Yer 3:17; 7:24; 2:8Badala yake wamefuata ukaidi wa mioyo yao, wamefuata Mabaali, kama vile baba zao walivyowafundisha.” 159:15 Mao 3:15; Yer 8:14; Za 80:5Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: “Tazama, nitawafanya watu hawa wale chakula kichungu na kunywa maji yenye sumu. 169:16 Law 26:33; Kum 28:64; 4:32; Eze 5:12; Yer 44:27; 8:19Nitawatawanya katika mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuwajua, nikiwafuata kwa upanga mpaka niwe nimewaangamiza kabisa.”

179:17 2Nya 35:25; Amo 5:15-16; Mhu 12:5Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote:

“Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao waje,

waite wale walio na ustadi kuliko wote.

189:18 Za 119:136; Mao 3:48; Yer 14:17Nao waje upesi

na kutuombolezea,

mpaka macho yetu yafurike machozi

na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu.

199:19 Law 18:29; Yer 4:13Sauti ya kuomboleza imesikika kutoka Sayuni:

‘Tazama jinsi tulivyoangamizwa!

Tazama jinsi aibu yetu ilivyo kubwa!

Ni lazima tuihame nchi yetu

kwa sababu nyumba zetu zimekuwa magofu.’ ”

209:20 Isa 32:9-13; Yer 23:16Basi, enyi wanawake, sikieni neno la Bwana;

fungueni masikio yenu msikie maneno ya kinywa chake.

Wafundisheni binti zenu kuomboleza;

fundishaneni kila mmoja na mwenzake maombolezo.

219:21 2Nya 36:17; Isa 40:30; Yoe 2:9; Yer 16:6Mauti imeingia ndani kupitia madirishani,

imeingia kwenye majumba yetu ya fahari;

imewakatilia mbali watoto katika barabara

na vijana waume kutoka viwanja vya miji.

229:22 2Fal 9:37; Yer 8:2Sema, “Hili ndilo asemalo Bwana:

“ ‘Maiti za wanaume zitalala

kama mavi katika mashamba,

kama malundo ya nafaka nyuma ya mvunaji,

wala hakuna anayekusanya.’ ”

239:23 Ay 4:12; Isa 5:21; Mhu 9:11; Za 62:10; 1Fal 20:11; Mit 11:28; Eze 28:4-5; Yer 48:7Hili ndilo asemalo Bwana:

“Mwenye hekima asijisifu katika hekima yake,

au mwenye nguvu ajisifu katika nguvu zake,

wala tajiri ajisifu katika utajiri wake,

249:24 Gal 6:14; 2Kor 10:17; Za 34:2; Mik 6:8; Za 36:6; 1Kor 1:31lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kwa sababu hili:

kwamba ananifahamu na kunijua mimi,

kwamba mimi ndimi Bwana, nitendaye wema,

hukumu na haki duniani,

kwa kuwa napendezwa na haya,”

asema Bwana.

259:25 Law 26:41; Rum 2:8-9; Amo 3:2“Siku zinakuja, nitakapowaadhibu wale wote ambao wametahiriwa kimwili tu, asema Bwana, 269:26 Yer 25:23; 49:32; Mdo 7:51; Rum 2:28; Eze 31:18; 1Sam 14:6yaani Misri, Yuda, Edomu, Amoni, Moabu na wote wanaoishi jangwani sehemu za mbali. Kwa maana mataifa haya yote hayakutahiriwa mioyo yao, nayo nyumba yote ya Israeli haikutahiriwa.”