エレミヤ書 10 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

エレミヤ書 10:1-25

10

神と偶像

1イスラエルよ、主のことばを聞きなさい。

2-3「星占いで、自分の運命や将来を

知ろうとする者のまねをしてはいけない。

彼らの予言を聞いておびえてはいけない。

うそで固めたものだからだ。

彼らの生き方はむなしく、愚かだ。

彼らは木を切り倒して偶像を刻み、

4それを金と銀で飾り、

金槌と釘で動かないように打ちつける。

5かかしのように立っているだけの神は、

ものも言えない。

歩けないから、だれかが運んでやらなければならない。

そんな神は、人に災いを下すことも

助けることもできず、

わずかな利益も与えられないのだから、

少しも怖がることはない。」

6主よ。あなたのような神はほかにいません。

神は偉大な方で、御名には力があふれています。

7神だけが、国々の王と呼ばれるのにふさわしい方です。

神を恐れない者がいるでしょうか。

地上の知恵者の中にも、世界の王国の中にも、

神と並ぶ者は一人もいません。

8どんなに知恵があっても、偶像を拝む者はみな、

愚か者です。

9彼らはタルシシュから銀の延べ板を、

ウファズから金を運んで来て、

偶像を作る熟練した細工人に渡します。

でき上がった神々に、

名人が仕立てた、王の着る紫の衣を着せます。

10しかし、主はただ一人の生けるまことの神、

永遠の王です。

ひとたび主が怒れば、全地は震えます。

このお方の不興を買えば、

世界は御前から隠れます。

11ほかの神々を拝む者に言ってやりなさい。天と地を造らなかった神々は、地上から姿を消す運命にある、と。

12しかし私たちの神は、

ご自分の力と知恵によって世界を造り、

すぐれた知性によって星を空間にちりばめ、

天を張り広げました。

13嵐を運ぶ雲から聞こえる雷鳴は、御声の響きです。

神は地から霧を立ちのぼらせ、いなずまを送り、

雨を降らせ、倉から風を呼び出します。

14神を知らない愚か者は、偶像に頭を下げます。

彼らは恥ずかしいことをしています。

いのちも力もない、偽りの神々を作っているからです。

15そんなものはみな、

全く値打ちのない、むなしいもので、

刑罰が下る時には粉々に壊されます。

16しかしイスラエルの神は、

くだらない偶像とは違います。

神はあらゆるものを造ったお方で、

しかもイスラエルは神に選ばれた国です。

「天の軍勢の主」というのが、その方の名前です。

迫っている滅亡

17神は命じます。

「さあ、荷物をまとめよ。

もうまもなく攻撃が始まるから、逃げるしたくをせよ。

18今度こそ、わたしは大きな悩みをもたらし、

おまえたちをこの地から放り出す。

これでやっと、

おまえたちはわたしの憤りを実感するようになる。」

19私の傷は重く、悲しみは深い。

私は不治の病にかかっていますが、

耐えていかなければなりません。

20家はなくなり、連れ去られた子どもたちとは、

二度と会えないでしょう。

家を建て直す手伝いをしてくれる者は、

一人も残っていません。

21指導者たちは分別を失いました。

彼らはもはや神に従おうとせず、

御心を尋ねようともしません。

そのため、彼らは滅び、群れは散り散りになります。

22北から来る大軍の巻き起こす、

すさまじい物音を聞きなさい。

ユダの町々は山犬の住みかになってしまいます。

エレミヤの祈り

23主よ。人は自分の力で人生の設計図を作り、

進路を決められないことを、

私は知っています。

24どうか私を、正しい道に導いてください。

怒りにまかせて、つらく当たらないでください。

そうでないと、私は死んでしまいます。

25主に従わない民に、激しい怒りを注いでください。

彼らはイスラエルを破壊し、

国を見渡す限りの荒れ地にしたからです。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 10:1-25

Mungu Na Sanamu

1Sikieni lile ambalo Bwana, anena nanyi ee nyumba ya Israeli. 210:2 Kut 23:24; Law 20:23; Mwa 1:14Hili ndilo asemalo Bwana:

“Usijifunze njia za mataifa

wala usitishwe na ishara katika anga,

ingawa mataifa yanatishwa nazo.

310:3 Isa 40:19; Kum 9:21; Eze 7:20; Yer 44:8; 1Fal 8:36Kwa maana desturi za mataifa hazina maana,

wanakata mti msituni,

na fundi anauchonga kwa patasi.

410:4 1Sam 5:3; Isa 41:7; Za 135:15; Hos 13:2; Hab 2:19Wanaparemba kwa fedha na dhahabu,

wanakikaza kwa nyundo na misumari ili kisitikisike.

510:5 1Fal 18:26; 1Kor 12:2; Isa 45:20; Hab 2:19; Isa 44:9-20; Mdo 19:26Sanamu zao ni kama sanamu

iliyowekwa shambani la matango kutishia ndege

nazo haziwezi kuongea;

sharti zibebwe

sababu haziwezi kutembea.

Usiziogope; haziwezi kudhuru,

wala kutenda lolote jema.”

610:6 2Sam 7:22; Kut 8:9-10; Za 48:1Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana;

wewe ni mkuu,

jina lako ni lenye nguvu katika uweza.

710:7 Isa 12:4; Ufu 15:4; Za 22:28; Yer 5:22Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe,

Ee Mfalme wa mataifa?

Hii ni stahili yako.

Miongoni mwa watu wote wenye hekima

katika mataifa na katika falme zao zote,

hakuna aliye kama wewe.

810:8 Isa 40:19; Yer 4:22; Isa 44:18; Kum 32:21Wote hawana akili, tena ni wapumbavu,

wanafundishwa na sanamu za miti zisizofaa lolote.

910:9 Dan 10:5; Za 115:4; Isa 40:19; Mwa 10:4Huleta fedha iliyofuliwa kutoka Tarshishi

na dhahabu kutoka Ufazi.

Kile ambacho fundi na sonara wametengeneza

huvikwa mavazi ya rangi ya samawi na urujuani:

vyote vikiwa vimetengenezwa

na mafundi stadi.

1010:10 1Tim 6:17; Za 76:7; Yos 3:10; Mt 16:16; Mwa 21:33; Dan 6:26; Amu 5:4; Ay 9:6Lakini Bwana ni Mungu wa kweli,

yeye ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele.

Anapokasirika, dunia hutetemeka,

mataifa hayawezi kustahimili hasira yake.

1110:11 Za 96:5; Isa 2:18“Waambie hivi: ‘Miungu hii, ambayo haikuumba mbingu na dunia, itaangamia kutoka dunia na kutoka chini ya mbingu.’ ”

1210:12 Ay 9:9; 38:4; Isa 40:22-28; Mdo 14:15; 1Sam 2:8; Mwa 1:1, 8, 31Lakini Mungu aliiumba dunia kwa uweza wake,

akaweka misingi ya ulimwengu kwa hekima yake,

na akazitandaza mbingu kwa ufahamu wake.

1310:13 Ay 36:29; Za 135:7; 104:13; Kum 28:12Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma;

huyafanya mawingu yainuke kutoka miisho ya dunia.

Hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua,

naye huuleta upepo kutoka ghala zake.

14Kila mmoja ni mjinga na hana maarifa,

kila sonara ameaibishwa na sanamu zake.

Vinyago vyake ni vya udanganyifu,

havina pumzi ndani yavyo.

1510:15 Isa 41:21; Yer 14; 22Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha tu,

hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia.

1610:16 Kum 32:9; Yer 32:17; Kut 34:9; Za 73:26; Yer 31:35; Za 74:2Yeye aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo,

kwani ndiye Muumba wa vitu vyote,

pamoja na Israeli, kabila la urithi wake:

Bwana Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

Maangamizi Yajayo

1710:17 Eze 12:12Kusanyeni mali na vitu vyenu mwondoke nchi hii,

enyi mnaoishi katika hali ya kuzingirwa na jeshi.

1810:18 1Sam 25:29; Isa 22:17; Eze 6:10; Kum 28:52Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana:

“Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu

wote waishio katika nchi hii;

nitawataabisha

ili waweze kutekwa.”

1910:19 Mik 7:9; Nah 3:19; Ay 34:6; Yer 14:17; 15:18; Mao 2:13; Yer 30:12, 15Ole wangu mimi kwa ajili ya kuumia kwangu!

Jeraha langu ni kubwa!

Lakini nilisema,

“Kweli hii ni adhabu yangu,

nami sharti niistahimili.”

2010:20 Yer 4:20; 31:15; Mao 1:5Hema langu limeangamizwa;

kamba zake zote zimekatwa.

Wana wangu wametekwa na hawapo tena;

hakuna hata mmoja aliyebaki wa kusimamisha hema langu

wala wa kusimamisha kibanda changu.

2110:21 Yer 23:2; Eze 34:6; Yer 6:22; 25:34; 50:6; Isa 56:10; Yer 22:30Wachungaji hawana akili

wala hawamuulizi Bwana,

hivyo hawastawi

na kundi lao lote la kondoo limetawanyika.

2210:22 Isa 34:13; Yer 9:11; 6:22; 27:6; Eze 12:19Sikilizeni! Taarifa inakuja:

ghasia kubwa kutoka nchi ya kaskazini!

Hii itafanya miji ya Yuda ukiwa,

makao ya mbweha.

Maombi Ya Yeremia

2310:23 Ay 33:29; Yer 9:11; 6:22; 27:6; Eze 12:19Ninajua, Ee Bwana, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe;

hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe.

2410:24 Yer 7:20; 18:23; 46:28; 30:11Unirudi, Ee Bwana, lakini kwa kipimo cha haki:

si katika hasira yako,

usije ukaniangamiza.

2510:25 Ay 15:21; Yer 8:16; Za 69:24; 79:6-7; Sef 3:8; Yer 2:3Umwage ghadhabu yako juu ya mataifa

wasiokujua wewe,

juu ya mataifa wasioliitia jina lako.

Kwa kuwa wamemwangamiza Yakobo;

wamemwangamiza kabisa

na kuiharibu nchi yake.