第 60 篇
祈求上帝的幫助
大衛作的詩,交給樂長,叫人學習,調用「作證的百合花」。當時大衛跟美索不達米亞西北部和敘利亞中部的亞蘭人打仗,約押在鹽谷殺了一萬兩千以東人。
1上帝啊,
你遺棄了我們,
使我們一敗塗地;
你曾向我們發怒,
求你現在復興我們。
2你震動大地,將它撕裂。
求你修補裂口,
因為它要塌陷了。
3你叫我們——你的子民吃盡苦頭,
喝了令我們東倒西歪的苦酒。
4但你賜給敬畏你的人旗幟,
可以擋住箭羽60·4 「擋住箭羽」或譯作「為真理飄揚」。。(細拉)
5求你應允我們的禱告,
伸出右手幫助我們,
使你所愛的人獲救。
6上帝在祂的聖所說:
「我要歡然劃分示劍,
丈量疏割谷。
7基列是我的,
瑪拿西也是我的,
以法蓮是我的頭盔,
猶大是我的權杖。
8摩押是我的洗腳盆,
我要把鞋扔給以東,
我要在非利士高唱凱歌。」
9誰能帶我進入堅固的城池?
誰能領我到以東?
10上帝啊,你拋棄了我們嗎?
不再和我們的軍隊一同出戰了嗎?
11求你幫助我們攻打仇敵,
因為人的幫助徒然無益。
12我們依靠上帝才能取勝,
祂必把我們的敵人踩在腳下。
Zaburi 60
Kuomba Kuokolewa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.
160:1 2Sam 5:20; Za 18:7; 44:9; 79:5; 80:3; 60:2; 2Nya 7:14Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,
umekasirika: sasa turejeshe upya!
2Umetetemesha nchi na kuipasua;
uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
360:3 Za 71:20; 75:8; Isa 29:9; 51:17; 63:6; Yer 25:16; Zek 12:2; Ufu 14:10Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;
umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
460:4 Isa 5:26; 11:10, 12; 18:3Kwa wale wanaokucha wewe,
umewainulia bendera,
ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
560:5 Ay 40:14; Kum 33:12; Za 108:6Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,
ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
660:6 Mwa 12:6; 33:17; Za 89:35; Yos 13:27Mungu amenena kutoka patakatifu pake:
“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi
na kulipima Bonde la Sukothi.
760:7 Yos 13:31; Hes 34:19; Mwa 41:52; 49:10; Kum 33:17Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;
Efraimu ni kofia yangu ya chuma,
nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
860:8 2Sam 8:1Moabu ni sinia langu la kunawia,
juu ya Edomu natupa kiatu changu;
nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?
Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
1060:10 Yos 7:12; Za 44:9Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,
na hutoki tena na majeshi yetu?
1160:11 Za 146:3; Mit 3:5Tuletee msaada dhidi ya adui,
kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
1260:12 1Nya 19:13; Ay 40:12; Za 44:5Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,
naye atawaponda adui zetu.