詩篇 60 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 60:1-12

第 60 篇

祈求上帝的幫助

大衛作的詩,交給樂長,叫人學習,調用「作證的百合花」。當時大衛跟美索不達米亞西北部和敘利亞中部的亞蘭人打仗,約押在鹽谷殺了一萬兩千以東人。

1上帝啊,

你遺棄了我們,

使我們一敗塗地;

你曾向我們發怒,

求你現在復興我們。

2你震動大地,將它撕裂。

求你修補裂口,

因為它要塌陷了。

3你叫我們——你的子民吃盡苦頭,

喝了令我們東倒西歪的苦酒。

4但你賜給敬畏你的人旗幟,

可以擋住箭羽60·4 擋住箭羽」或譯作「為真理飄揚」。(細拉)

5求你應允我們的禱告,

伸出右手幫助我們,

使你所愛的人獲救。

6上帝在祂的聖所說:

「我要歡然劃分示劍

丈量疏割谷。

7基列是我的,

瑪拿西也是我的,

以法蓮是我的頭盔,

猶大是我的權杖。

8摩押是我的洗腳盆,

我要把鞋扔給以東

我要在非利士高唱凱歌。」

9誰能帶我進入堅固的城池?

誰能領我到以東

10上帝啊,你拋棄了我們嗎?

不再和我們的軍隊一同出戰了嗎?

11求你幫助我們攻打仇敵,

因為人的幫助徒然無益。

12我們依靠上帝才能取勝,

祂必把我們的敵人踩在腳下。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 60:1-12

Zaburi 60

Kuomba Kuokolewa

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.

160:1 2Sam 5:20; Za 18:7; 44:9; 79:5; 80:3; 60:2; 2Nya 7:14Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,

umekasirika: sasa turejeshe upya!

2Umetetemesha nchi na kuipasua;

uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.

360:3 Za 71:20; 75:8; Isa 29:9; 51:17; 63:6; Yer 25:16; Zek 12:2; Ufu 14:10Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;

umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.

460:4 Isa 5:26; 11:10, 12; 18:3Kwa wale wanaokucha wewe,

umewainulia bendera,

ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.

560:5 Ay 40:14; Kum 33:12; Za 108:6Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

660:6 Mwa 12:6; 33:17; Za 89:35; Yos 13:27Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi

na kulipima Bonde la Sukothi.

760:7 Yos 13:31; Hes 34:19; Mwa 41:52; 49:10; Kum 33:17Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;

Efraimu ni kofia yangu ya chuma,

nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.

860:8 2Sam 8:1Moabu ni sinia langu la kunawia,

juu ya Edomu natupa kiatu changu;

nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”

9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?

1060:10 Yos 7:12; Za 44:9Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

na hutoki tena na majeshi yetu?

1160:11 Za 146:3; Mit 3:5Tuletee msaada dhidi ya adui,

kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

1260:12 1Nya 19:13; Ay 40:12; Za 44:5Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

naye atawaponda adui zetu.