詩篇 59 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 59:1-17

第 59 篇

祈求上帝佑護

大衛作的詩,交給樂長,調用「休要毀壞」。當時掃羅派人去監視大衛的家,要殺害大衛。

1我的上帝啊,

求你救我脫離仇敵,

保護我免遭其害。

2求你救我脫離作惡之徒,

脫離嗜血成性之人。

3看啊,他們要暗害我。

耶和華啊,我並未犯罪作惡,

兇殘的人卻攻擊我。

4我沒有過錯,

他們卻準備攻擊我。

求你起來幫助我,

顧念我的困境。

5萬軍之耶和華,以色列的上帝啊,

求你起來懲罰列國,

不要姑息奸詐的惡人。(細拉)

6他們夜晚回來,

嚎叫如狗,在城中遊蕩。

7他們出口傷人,舌如利劍,

還說:「誰聽得見?」

8但你耶和華必嗤笑他們,

嘲諷列國。

9上帝啊,

你是我的力量,我的堡壘,

我仰望你。

10我的上帝愛我,

祂會幫助我,

讓我欣然看見仇敵遭報。

11保護我們的主啊,

求你不要殺掉他們,

免得我的百姓忘記教訓。

求你用你的能力驅散他們,

使他們淪為卑賤。

12他們的嘴巴充滿罪惡,

口中盡是咒詛和謊言,

願他們陷在狂傲中不能自拔。

13求你發烈怒毀滅他們,

徹底剷除他們,

使普天下都知道上帝在雅各家掌權。(細拉)

14他們夜晚回來,

嚎叫如狗,在城中遊蕩,

15四處覓食,

吃不飽就狂吠不止。

16但我要歌頌你的能力,

在清晨頌揚你的慈愛,

因為你是我的堡壘,

是我患難時的避難所。

17上帝啊,你是我的力量,

我要頌讚你,

你是我的堡壘,

是愛我的上帝。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 59:1-17

Zaburi 59

Kuomba Ulinzi Wa Mungu

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.

159:1 Za 82:259:1 Za 143:9; 20:1Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,

unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.

259:2 Za 14:4; 36:12; 53:4; 92:7; 94:16; 26:9; 139:19; Mit 29:10Uniponye na watu watendao mabaya,

uniokoe kutokana na wamwagao damu.

359:3 Za 56:6; 1Sam 26:18Tazama wanavyonivizia!

Watu wakali wananifanyia hila,

ingawa Ee Bwana, mimi sijakosea

wala kutenda dhambi.

459:4 Za 13:3; 119:3; Mt 5:11Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.

Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

559:5 Za 69:6; 80:4; 84:8; 44:23; 9:5; Isa 10:3; Yer 18:23; Dan 4:35Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!

Zinduka uyaadhibu mataifa yote,

usionyeshe huruma kwa wasaliti.

659:6 Za 22:16Hurudi wakati wa jioni,

wakibweka kama mbwa,

wakiuzurura mji.

759:7 Za 55:21; 94:4; Mit 10:32; 12:23; 15:2, 28; Ay 22:13Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,

hutema upanga kutoka midomo yao,

nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”

859:8 Za 2:4; 37:13; Mit 1:26Lakini wewe, Bwana, uwacheke;

unayadharau mataifa hayo yote.

959:9 Za 18:1; 9:9; 18:2; 62:2; 71:3Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,

wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

10Mungu wangu unipendaye.

Mungu atanitangulia,

naye atanifanya niwachekelee

wale wanaonisingizia.

1159:11 Kum 4:9; 6:12; Za 3:3; 84:9; 89:10; 106:27; 144:6; Isa 33:3; Mwa 4:12, 13Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu,

au sivyo watu wangu watasahau.

Katika uwezo wako wafanye watangetange

na uwashushe chini.

1259:12 Za 10:7; 64:8; Mit 10:14; 12:13; Isa 2:12; 5:15; Sef 3:11Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,

kwa ajili ya maneno ya midomo yao,

waache wanaswe katika kiburi chao.

Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,

1359:13 Za 83:18; 104:35wateketeze katika ghadhabu,

wateketeze hadi wasiwepo tena.

Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia

kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.

14Hurudi jioni,

wakibweka kama mbwa,

wakiuzurura mji.

1559:15 Ay 15:23Wanatangatanga wakitafuta chakula,

wasipotosheka hubweka kama mbwa.

1659:16 Za 5:3; 88:13; 101:1; 108:1; 1Sam 2:10; 2Sam 22:3; Kum 4:30Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,

asubuhi nitaimba juu ya upendo wako;

kwa maana wewe ndiwe ngome yangu

na kimbilio langu wakati wa shida.

1759:17 Za 59:1Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.

Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

Mungu unipendaye.