第 40 篇
讚美上帝之歌
大衛的詩,交給樂長。
1我曾耐心等候耶和華,
祂傾聽了我的呼求。
2祂把我從絕望的深淵拉出來,
救我脫離泥濘沼澤,
把我安置在磐石上,
使我步履穩健。
3祂賜給我一首新歌,
一首讚美我們上帝的詩歌。
許多人看見便敬畏、信靠耶和華。
4信靠耶和華的人有福了!
他們不隨從驕傲自大、信靠假神的人。
5我的上帝耶和華啊,
你行了許多奇事,
為我們定了許多美好的計劃,
誰能與你相比!
你奇妙的作為不可勝數。
6祭物和供品非你所悅,
你開通了我的耳朵,
燔祭和贖罪祭非你所要。
7於是我說:
「看啊,我來了,
正如經卷上有關我的記載。
8我的上帝啊,
我樂意遵行你的旨意,
我銘記你的律法。」
9耶和華啊,你知道我在大會中宣揚你的公義,
沒有閉口不言。
10我述說你的信實和拯救之恩,
沒有把你的公義隱而不宣,
沒有在大會中避而不談你的慈愛和真理。
11耶和華啊,
求你不要收回你的憐憫,
願你的慈愛和真理時刻守護我!
12我患難重重,罪惡纏身,
看不到出路。
我的罪過比我的頭髮還多,
我心驚膽戰。
13耶和華啊,求你拯救我!
耶和華啊,求你快來幫助我!
14願謀取我性命的人蒙羞受辱!
願喜歡我被害的人狼狽逃竄!
15願那些哈哈嘲笑我的人羞愧難當!
16願所有尋求你的人因你而歡喜快樂!
願渴望蒙你拯救的人時常說:
「耶和華當受尊崇!」
17我貧窮困苦,
但主眷顧我。
我的上帝啊,
你是我的幫助、我的拯救,
求你不要遲延!
Zaburi 40
Wimbo Wa Sifa
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
140:1 Za 37:7; 116:1; 6:9; 31:22; 34:15; 7:15; 145:19Nilimngoja Bwana kwa saburi,
naye akaniinamia, akasikia kilio changu.
240:2 Ay 9:31; 30:19; Za 7:15; 69:14; 31:8; 27:5Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,
kutoka matope na utelezi;
akaiweka miguu yangu juu ya mwamba
na kunipa mahali imara pa kusimama.
340:3 Za 28:7; 52:6; 64:9; Ufu 5:9; Kut 14:31Akaweka wimbo mpya kinywani mwangu,
wimbo wa sifa kwa Mungu wetu.
Wengi wataona na kuogopa
na kuweka tumaini lao kwa Bwana.
440:4 Za 2:12; 34:8; 84:12; 101:5; 4:2; 138:6; Kum 31:20; Mit 3:34; 16:5; Isa 65:5; 1Pet 5:5Heri mtu yule amfanyaye Bwana kuwa tumaini lake,
asiyewategemea wenye kiburi,
wale wenye kugeukia miungu ya uongo.
540:5 Kum 4:34; Isa 55:8; Za 75:1; 105:5; 136:4; 139:18; 71:15; 139:15Ee Bwana Mungu wangu,
umefanya mambo mengi ya ajabu.
Mambo uliyopanga kwa ajili yetu
hakuna awezaye kukuhesabia;
kama ningesema na kuyaelezea,
yangekuwa mengi mno kuyaelezea.
640:6 1Sam 15:22; Isa 1:11; Hos 6:6; Yer 6:20; Mt 9:13; Amo 5:22; Kut 21:6; Za 50:8; 51:16Dhabihu na sadaka hukuvitaka,
lakini umefungua masikio yangu;40:6 Au: bali mwili uliniandalia.
sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi
hukuzihitaji.
740:7 Ay 19:23; Yn 5:39; Yer 36:2; 45:1; Eze 2:9; Lk 24:44; Mdo 10:43; Ebr 10:7Ndipo niliposema, “Mimi hapa, nimekuja:
imeandikwa kunihusu katika kitabu.
840:8 Mt 26:39; Yn 4:34; Ebr 10:5-7; Kum 6:6; Yer 15:16; Rum 7:22; Ay 22:22; 23:12Ee Mungu wangu,
natamani kuyafanya mapenzi yako;
sheria yako iko ndani ya moyo wangu.”
940:9 Za 22:25, 31; 139:2; Yos 22:22Nimehubiri haki katika kusanyiko kubwa,
sikufunga mdomo wangu,
Ee Bwana, kama ujuavyo.
1040:10 Za 89:1; 22:22; Mdo 20:20; Flp 3:9; Rum 1:16, 17Sikuficha haki yako moyoni mwangu;
ninasema juu ya uaminifu wako na wokovu wako.
Sikuficha upendo wako na kweli yako
mbele ya kusanyiko kubwa.
1140:11 Zek 1:12; Za 26:3; 61:7; 43:3; Mit 20:28Ee Bwana, usizuilie huruma zako,
upendo wako na kweli yako daima vinilinde.
1240:12 Za 25:17; 38:4; 65:3; 69:4; 73:26Kwa maana taabu zisizo na hesabu zimenizunguka,
dhambi zangu zimenikamata, hata nisiweze kuona.
Zimekuwa nyingi kuliko nywele za kichwa changu,
nao moyo unazimia ndani yangu.
1340:13 Za 22:19; 38:22Ee Bwana, uwe radhi kuniokoa;
Ee Bwana, njoo hima unisaidie.
1440:14 1Sam 20:1; Es 9:2; Za 35:26; 35:4Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,
waaibishwe na kufadhaishwa;
wote wanaotamani kuangamizwa kwangu,
warudishwe nyuma kwa aibu.
1540:15 Za 35:21Wale waniambiao, “Aha! Aha!”
wafadhaishwe na iwe aibu yao.
1640:16 Kum 4:29; 1Nya 28:9; Za 9:10; 119:2; 9:2; 35:27Lakini wote wakutafutao
washangilie na kukufurahia,
wale wapendao wokovu wako siku zote waseme,
“Bwana atukuzwe!”
1740:17 Neh 5:19; Mk 10:21; Za 86:1; 109:22; 144:3; 20:2; 18:2; 119:60Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;
Bwana na anifikirie.
Wewe ndiwe msaada wangu na Mwokozi wangu;
Ee Mungu wangu, usikawie.