第 39 篇
受苦者的呼求
大衛的詩,交給樂長耶杜頓。
1我說:「我要謹言慎行,
免犯口舌之罪。
只要身邊有惡人,
我就用嚼環勒住自己的口。」
2然而,我默不作聲,
連好話也不出口時,
內心就更加痛苦。
3我心如火燒,越沉思越煩躁,
便開口呼求:
4「耶和華啊,求你讓我知道我人生的終點和壽數,
明白人生何其短暫。
5你使我的生命轉瞬即逝,
我的歲月在你眼中不到片刻。
人的生命不過是一絲氣息,(細拉)
6人生不過是幻影,
勞碌奔波卻一場空,
積蓄財富卻不知誰來享用。
7主啊,如今我盼望什麼呢?
你是我的盼望。
8求你救我脫離一切過犯,
不要讓愚昧人嘲笑我。
9我默然不語,一言不發,
因為我受的責罰是出於你。
10求你不要再懲罰我,
你的責打使我幾乎喪命。
11因為人犯罪,你管教他們,
使他們所愛的被吞噬,像被蟲蛀。
世人不過是一絲氣息。(細拉)
12「耶和華啊,
求你垂聽我的禱告,
傾聽我的呼求,
別對我的眼淚視若無睹。
因為我在你面前只是客旅,
是寄居的,
正如我的祖先。
13求你寬恕我,
好讓我在離世之前能重展笑容。」
Zaburi 39
Maombi Ya Mtu Anayeteseka
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
139:1 1Fal 2:4; Kol 4:5; Ebr 2:1; Ay 1:22; 6:24; Yak 1:26; 3:2; Za 34:13; 119:9, 59; Mit 4:26, 27; 20:11Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu
na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi;
nitaweka lijamu kinywani mwangu
wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”
239:2 Za 6:3; 25:17; 39:9; 77:4; 31:10; Ay 31:34Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,
hata pasipo kusema lolote jema,
uchungu wangu uliongezeka.
339:3 Yer 20:9; Lk 24:32; Za 1:2; 119:15; Yer 5:14; 20:9; 23:29Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,
nilipotafakari, moto uliwaka,
ndipo nikasema kwa ulimi wangu:
439:4 Ay 14:5; 14:2; 7:7; Mwa 47:9“Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu
na hesabu ya siku zangu;
nijalie kujua jinsi maisha yangu
yanavyopita upesi.
539:5 Ay 10:20; 7:7; Za 62:9; 90:4; 89:45; 102:23Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;
muda wangu wa kuishi ni kama
hauna thamani kwako.
Maisha ya kila mwanadamu
ni kama pumzi.
639:6 Ay 8:9; 27:17; Mhu 6:12; Lk 12:20; Yak 4:14; 1:11; Za 102:11; 127:2Hakika kila binadamu ni kama njozi
aendapo huku na huko:
hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili;
anakusanya mali nyingi,
wala hajui ni nani atakayeifaidi.
739:7 Za 9:18“Lakini sasa Bwana, nitafute nini?
Tumaini langu ni kwako.
839:8 Isa 53:5, 8, 10; 43:28; Kum 28:37; Za 69:7; 51:1, 14; 32:1; 6:4; 79:4; Dan 9:16Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,
usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.
939:9 Za 38:13; Isa 38:15Nilinyamaza kimya,
sikufumbua kinywa changu,
kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.
1039:10 2Nya 21:14; Eze 7:9; 24:16; Kut 9:3Niondolee mjeledi wako,
nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.
1139:11 Kum 28:20; Isa 26:16; 51:8; 66:15; Eze 5:15; 2Pet 2:16; Za 94:10; 90:7; Ay 7:7; 13:28; Lk 12:33; Yak 5:2Unakemea na kuadhibu wanadamu
kwa ajili ya dhambi zao;
unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo:
kila mwanadamu ni kama pumzi tu.
1239:12 Za 17:1; 1Nya 29:15; Ebr 11:13; Law 25:23; Kum 1:45; 2Fal 20:5; Mwa 23:4; 47:9“Ee Bwana, usikie maombi yangu,
usikie kilio changu unisaidie,
usiwe kiziwi kwa kulia kwangu.
Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni,
kama walivyokuwa baba zangu wote,
1339:13 Ay 10:20, 21Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena
kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”