羅馬書 14 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

羅馬書 14:1-23

體恤弱者

1你們要接納信心軟弱的弟兄姊妹,不要因為看法不同便彼此批評。 2有人相信什麼都可以吃,但信心軟弱的人只吃素菜。 3吃的人不可輕看不吃的人,不吃的人也不可批評吃的人,因為兩者都蒙上帝接納。 4你是誰,竟然批評別人的僕人?他做得是否合宜,自然有他的主人負責。他必能做得合宜,因為主能使他做得合宜。

5有人認為這日比那日好,有人認為天天都一樣,各人應該照著自己的信念拿定主意。 6守日子的人是為主而守,吃的人是為主而吃,因為他感謝上帝;不吃的人是為主不吃,他也同樣感謝上帝。 7因為我們沒有人為自己活,也沒有人為自己死。 8我們活是為主而活,死是為主而死。因此,我們無論生死都是屬主的人。 9正是為這個緣故,基督死了,又復活了,好做死人和活人的主。

10那麼,你為什麼論斷弟兄姊妹呢?為什麼輕視弟兄姊妹呢?將來我們都要一同站在上帝的審判臺前。 11聖經上說:「主說,『我憑我的永恆起誓,萬膝必向我跪拜,萬口必稱頌上帝。』」 12這樣看來,我們各人都要在上帝面前陳明自己一切的事。

不要使人犯罪

13所以,我們不可再互相論斷,要留心自己的言行,不要絆倒弟兄姊妹。 14我知道並靠著主耶穌深信,沒有什麼是不潔淨的。但若有人以為某物不潔淨,那物對他來說就不潔淨。 15如果你吃的東西令弟兄姊妹不安,你就不是憑愛心行事。你不可因為一點食物而損害基督捨命救贖的人。 16所以,不要讓你們認為好的事被別人詬病。 17因為上帝的國不是關乎吃什麼喝什麼,而是關乎公義、平安和聖靈所賜的喜樂。 18以這樣的態度事奉基督的人才會得到上帝的喜悅和大家的稱讚。

19所以,我們要努力追求和睦,彼此造就。 20不可因食物的問題而破壞上帝的工作。所有的食物固然都是潔淨的,但人若因所吃的食物絆倒別人,就有罪了。 21無論是吃肉、喝酒還是做任何別的事,如果會絆倒別人,就應該一概不做。 22你有信心認為可以做的,只要你和上帝知道就可以了。人如果在自己認為可以做的事上問心無愧,就有福了。 23人如果心裡疑惑,卻仍然吃,就有罪了,因為他不是憑信心吃。凡不憑信心去做的,就是犯罪。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Warumi 14:1-23

Msiwahukumu Wengine

114:1 1Kor 8:9-12; 9:22Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake. 214:2 Rum 14:14; 1Kor 10:25; 1Tim 4:4; Tit 1:15Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu. 314:3 Lk 18:9; Kol 2:16Yeye alaye kila kitu asimdharau yeye asiyekula. Wala yeye asiyekula kila kitu asimhukumu yule alaye kila kitu, kwa maana Mungu amemkubali. 414:4 Mt 7:1; Yak 4:12Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Kwa bwana wake tu anasimama au kuanguka. Naye atasimama kwa sababu Bwana anaweza kumsimamisha.

514:5 Gal 4:10; Kol 2:16Mtu mmoja anaitukuza siku fulani kuwa ni bora kuliko nyingine, na mwingine anaona kuwa siku zote ni sawa. Basi kila mmoja awe na hakika na yale anayoamini. 614:6 Mt 14:19; 1Tim 4:3, 4Yeye anayehesabu siku moja kuwa takatifu kuliko nyingine, hufanya hivyo kwa kumheshimu Bwana. Naye alaye nyama hula kwa Bwana, kwa maana humshukuru Mungu, naye akataaye kula nyama hufanya hivyo kwa Bwana na humshukuru Mungu. 714:7 2Kor 5:15; Gal 2:20Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake mwenyewe. 814:8 Flp 1:20; Gal 2:20; 1The 5:10; Lk 20:38Kama tunaishi, tunaishi kwa Bwana, nasi pia tukifa tunakufa kwa Bwana. Kwa hiyo basi, kama tukiishi au kama tukifa, sisi ni mali ya Bwana.

914:9 Ufu 1:18; 2:8; Mdo 10:42; 2Kor 5:15Kwani kwa sababu hii hasa, Kristo alikufa na akawa hai tena kusudi apate kuwa Bwana wa wote, yaani, waliokufa na walio hai. 1014:10 2Kor 5:10; Mdo 17:31; Mt 25:31, 32; 7:1; 2Kor 5:10Basi kwa nini wewe wamhukumu ndugu yako? Au kwa nini wewe unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu cha hukumu. 1114:11 Isa 45:23; Flp 2:10, 11Kwa kuwa imeandikwa:

“ ‘Kama vile niishivyo,’ asema Bwana,

‘kila goti litapigwa mbele zangu,

na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ ”

1214:12 Mt 12:36; 1Pet 4:5Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.

Usimfanye Ndugu Yako Ajikwae

1314:13 Mt 7:1; Rum 14:1; 2Kor 8:9, 13Kwa hiyo tusiendelee kuhukumiana: Badala yake mtu asiweke kamwe kikwazo au kizuizi katika njia ya ndugu mwingine. 1414:14 Mdo 10:15; 1Kor 8:7Ninajua tena nimehakikishiwa sana katika Bwana Yesu kwamba hakuna kitu chochote ambacho ni najisi kwa asili yake. Lakini kama mtu anakiona kitu kuwa ni najisi, basi kwake huyo kitu hicho ni najisi. 1514:15 Efe 5:2; 1Kor 8:7Kama ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya kile unachokula, basi huenendi tena katika upendo. Usiruhusu kile unachokula kiwe sababu ya kumwangamiza ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake. 1614:16 1Kor 10:30; Tit 2:5; Rum 12:17Usiruhusu kile ambacho unakiona kuwa chema kisemwe kuwa ni kiovu. 1714:17 1Kor 8:8; Gal 5:22Kwa maana Ufalme wa Mungu si kula na kunywa, bali ni haki, amani na furaha katika Roho Mtakatifu. 1814:18 Lk 2:52; Mdo 24:16Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Kristo kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu.

1914:19 Za 34:14; 1Kor 7:15; Rum 15:2; Efe 4:12, 29Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi. 2014:20 Rum 14:15; Mt 15:11; Mdo 10:15; Tit 1:15Usiiharibu kazi ya Mungu kwa ajili ya chakula. Hakika vyakula vyote ni safi, lakini ni kosa kula kitu chochote kinachomsababisha ndugu yako ajikwae. 2114:21 1Kor 8:13; Mt 15:29Ni afadhali kutokula nyama wala kunywa divai au kufanya jambo lingine lolote litakalomsababisha ndugu yako ajikwae.

2214:22 1Yn 3:21; Mt 15:29Je, wewe unayo imani? Ile imani uliyo nayo, uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiye na sababu ya kujihukumu nafsi yake kwa ajili ya kile anachokifanya. 23Lakini kama mtu ana shaka kuhusu kile anachokula, amehukumiwa, kwa sababu hakula kwa imani. Kwa kuwa chochote kinachofanywa pasipo imani ni dhambi.