羅馬書 12 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

羅馬書 12:1-21

為事奉上帝而活

1所以,弟兄姊妹,我憑上帝的憐憫勸你們獻上自己的身體,作聖潔、蒙上帝悅納的活祭。你們理當這樣事奉。 2你們不可追隨世界的潮流,要隨著思想的不斷更新而改變,這樣就能明辨上帝的旨意,知道什麼是良善、純全、蒙祂悅納的。

3我憑上帝賜給我的恩典勸告各位,不要自視過高,要照著上帝賜給各人的信心中肯地看待自己。 4就像我們身體的各部分有不同的功能, 5我們眾人在基督裡組成一個身體,彼此聯結,息息相關。 6我們照所得的恩典各有不同的恩賜。說預言的,要按著信心的程度說預言; 7服侍的,要忠心服侍;教導的,要專一教導; 8勸勉的,要誠心勸勉;施捨的,要慷慨施捨;治理的,要殷勤治理;憐憫的,要甘心憐憫。

相愛相顧

9不可虛情假意地愛人。要嫉惡如仇,一心向善。 10要彼此相愛如同手足,互相尊重,彼此謙讓。 11要殷勤,不可懶惰,要常常火熱地事奉主。 12盼望中要有喜樂,患難中要堅忍,禱告要恆切。 13信徒有缺乏,要慷慨幫助;客人來訪,要熱誠款待。 14迫害你們的,要為他們祝福;要祝福,不可咒詛。 15要與喜樂的人同樂,與哀哭的人同哭。 16要彼此和睦,不可心高氣傲,反要俯就卑微的人,不可自以為聰明。

17不要以惡報惡。要尊重別人,眾人都認為好的事,應該竭力去做。 18如果可能,總要盡力與人和睦相處。 19親愛的弟兄姊妹,不要私自報復,要讓上帝來審判,因為聖經上說:

「主說,『伸冤在我,我必報應。』」

20所以,

「你的仇敵若餓了,就給他吃的;

若渴了,就給他喝的;

你這樣做是把炭火堆在他頭上。」

21你不可被惡所勝,反要以善勝惡。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Warumi 12:1-21

Maisha Mapya Katika Kristo

112:1 Rum 6:13, 16, 19; 1Kor 6:20; 1Pet 2:5Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana. 212:2 1Pet 1:14; Efe 5:17; 1Kor 1:20; 2Kor 10; 2; 1Yn 2:15; 1Tim 5:4Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu.

312:3 Rum 15:15; Gal 2:9; 1Kor 15:10; Efe 3:7; 4:7; 1Pet 4:10, 11Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhanie kuwa bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu aliyompa. 412:4 1Kor 12:12-14; Efe 4:16Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja, 512:5 1Kor 6:15; 10:17; 12:12, 20, 27; Efe 2:16; 4:4, 25; Kol 3:15vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo cha mwenzake. 612:6 1Kor 7:7; 12:4, 8-10; Efe 4:11; 1Pet 4:10, 11Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na tutoe unabii kwa kadiri ya imani. 712:7 Efe 4:11; 1Pet 4:10, 11; Mdo 13:1; Efe 4:11Kama ni kuhudumu na tuhudumu, mwenye kufundisha na afundishe, 812:8 Mdo 11:23; 13:15; 15:32; 2Kor 8:2; 9:5-13kama ni kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii, kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha.

Alama Za Mkristo Wa Kweli

912:9 2Kor 6:6; 1Tim 1:5; Za 97:10; Amo 5:15; 1The 5:21, 22Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema. 1012:10 Za 133:1; 1The 4:9; Ebr 13:1; 1Pet 1:22; Flp 2:3Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine. 1112:11 Mdo 18:25; Ufu 3:15Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana. 1212:12 Rum 5:2; Ebr 10:32, 36; Lk 18:1Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi. 1312:13 Mdo 24:17; 2Fal 4:10; Ay 31:32; 1Tim 3:2; 5:10Changieni katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni wageni.

14Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani. 15Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao. 16Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu.

1712:17 Mit 20:22; 24:29; 2Kor 8:21Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote. 1812:18 Mk 9:50; Rum 14:19Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote. 1912:19 Law 19:18; Mit 20:22; 22:29; Kum 32:35; Mwa 50:19; Isa 26:10Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana. 2012:20 Kut 23:4; Mt 5:44; Mit 25:21, 22; Lk 6:27Badala yake:

“Kama adui yako ana njaa, mlishe;

kama ana kiu, mpe kinywaji.

Kwa kufanya hivyo,

unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.”

21Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.