羅馬書 11 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

羅馬書 11:1-36

上帝不放棄以色列人

1這樣,難道上帝放棄了祂的子民嗎?當然沒有!因我自己也是以色列人,是亞伯拉罕的後裔,屬於便雅憫支派。 2上帝並沒有放棄祂預先揀選的子民。你們不知道聖經上有關以利亞先知的記載嗎?他在上帝面前控告以色列人,說: 3「主啊!他們殘殺你的先知,拆毀你的祭壇,只剩下我一個人,他們還要殺我。」 4上帝怎樣回答呢?祂說:「我為自己留下七千人,他們未曾跪拜巴力。」

5現在的情況也是一樣,上帝按照揀選的恩典留下了少數人。 6既然說是出於恩典,就不再基於行為,不然恩典就不再是恩典了。 7這該怎麼說呢?以色列人努力追求,卻一無所得,只有蒙揀選的人得到了,其他的人都變得頑固不化。 8正如聖經上說:

「上帝使他們至今心智昏迷,

眼睛看不見,耳朵聽不到。」

9大衛也說:

「願他們的宴席成為網羅、

陷阱、絆腳石,

給他們帶來報應;

10願他們眼目昏暗,

無法看見,

永遠彎腰駝背。」

11那麼,以色列人一失足就再也爬不起來了嗎?當然不是!恰好相反,因他們的過犯,救恩臨到了外族人,使他們心生嫉妒。 12如果他們的過犯給世界帶來了富足,他們的失敗給外族人帶來了富足,那麼,他們發憤回頭的時候豈不要帶來更大的祝福嗎?

外族人得救

13我有話要對你們外族人說,因為我是外族人的使徒,我尊重自己的職分, 14希望使我的骨肉同胞心生嫉妒,好使他們當中的一些人得救。 15如果他們被拋棄,人類便有機會與上帝和好,那麼,當他們被接納的時候,又將怎樣呢?豈不是要死而復生嗎? 16獻祭時所獻的那部分麵團如果聖潔,整團麵也聖潔;樹根如果聖潔,樹枝也聖潔。

17如果橄欖樹上有幾條枝子被折了下來,你這野橄欖枝被接了上去,得以汲取橄欖樹根供應的汁漿,你就不可向折下來的枝子誇口。 18你怎能誇口呢?要知道:不是你托住樹根,而是樹根托住你。 19你也許會說:「原來的枝子被折下來,是為了把我接上去。」 20不錯,他們因為不信被折了下來,而你因為信被接了上去,然而不要自高,要敬畏上帝。 21上帝既然沒有留下原來的枝子,也可以不留下你。 22可見,上帝既慈愛又嚴厲。祂對墮落的人是嚴厲的,對你卻是慈愛的。你要常常活在祂的愛中,不然你也會被砍下來。 23當然,如果以色列人不再頑固不信,必會重新被接上去,因為上帝能把他們重新接上。 24你這從野生的橄欖樹上砍下來的枝子,尚且可以違反自然,被接到好橄欖樹上,何況原來的枝子被接回到原來的樹上呢?

全以色列都要得救

25弟兄姊妹,我不願意你們對以下這奧祕一無所知,還自以為聰明。這奧祕就是:雖然有些以色列人的心剛硬,但等到外族人得救的數目滿了以後, 26以色列都要得救。正如聖經上說:「救主必從錫安出來,祂將除去雅各子孫的罪惡。 27那時我要除去他們的罪,這是我與他們所立的約。」

28就福音而論,他們成為上帝的仇敵是為了使你們得到福音;就上帝的揀選而論,因為他們祖先的緣故,他們仍是上帝所愛的。 29因為上帝絕不會收回祂的恩賜和呼召。 30你們從前不順服上帝,然而因為他們的不順服,你們現在反蒙了憐憫。 31同樣,他們現在不順服是為了使你們蒙憐憫,好使他們也蒙憐憫。 32因為上帝把世人都歸在不順服之列,是為了要憐憫世人。

頌讚上帝

33啊,上帝的智慧和知識多麼博大精深!

祂的判斷多麼難測!

祂的蹤跡多麼難尋!

34誰曾知道主的心意?

誰曾做過祂的謀士?

35誰曾給過祂,

等祂償還呢?

36因為萬物都源於祂,

倚靠祂,歸於祂。

願榮耀歸給祂,

直到永遠。阿們!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Warumi 11:1-36

Mabaki Ya Israeli

111:1 Law 26:46; Za 94:14; 2Kor 11:22; Flp 3:5Basi nauliza: Je, Mungu amewakataa watu wake? La, hasha! Mimi mwenyewe ni Mwisraeli, tena uzao wa Abrahamu kutoka kabila la Benyamini. 211:2 Rum 8:29; 11:1; 1Fal 19:10, 14Mungu hajawakataa watu wake, ambao yeye aliwajua tangu mwanzo. Je, hamjui yale Maandiko yasemayo kuhusu Eliya, jinsi alivyomlalamikia Mungu kuhusu Israeli? 311:3 1Fal 19:10, 14Alisema, “Bwana, wamewaua manabii wako na kuzibomoa madhabahu zako, nimebaki mimi peke yangu, nao wanataka kuniua?” 411:4 1Fal 19:18Je, Mungu alimjibuje? “Nimejibakizia watu elfu saba ambao hawajapiga magoti kumwabudu Baali.” 511:5 Rum 9:27; 3:24Vivyo hivyo pia, sasa wapo mabaki waliochaguliwa kwa neema ya Mungu. 611:6 Rum 4:4; Gal 3:18Lakini ikiwa wamechaguliwa kwa neema, si tena kwa msingi wa matendo. Kama ingekuwa kwa matendo, neema isingekuwa neema tena.

711:7 Rum 9:31; 9:18Tuseme nini basi? Kile kitu ambacho Israeli alikitafuta kwa bidii hakukipata. Lakini waliochaguliwa walikipata. Waliobaki walifanywa wagumu, 811:8 Mt 13:13-15; Kum 29:4; Isa 29:10kama ilivyoandikwa:

“Mungu aliwapa bumbuazi la mioyo,

macho ili wasiweze kuona,

na masikio ili wasiweze kusikia,

hadi leo.”

911:9 Za 69:22, 23; 35:8Naye Daudi anasema:

“Karamu zao na ziwe tanzi na mtego wa kuwanasa,

kitu cha kuwakwaza waanguke, na adhabu kwao.

1011:10 Za 69:22, 23; Rum 11:8Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

nayo migongo yao iinamishwe daima.”

Matawi Yaliyopandikizwa

1111:11 Mdo 13:46; Rum 10:19; 11:1Hivyo nauliza tena: Je, Waisraeli walijikwaa ili waanguke na kuangamia kabisa? La, hasha! Lakini kwa sababu ya makosa yao, wokovu umewafikia watu wa Mataifa, ili kuwafanya Waisraeli waone wivu. 1211:12 Rum 11:25Basi ikiwa kukosa kwao kumekuwa utajiri mkubwa kwa ulimwengu, tena kama kuangamia kwao kumeleta utajiri kwa watu wa Mataifa, kurudishwa kwao kutaleta utajiri mkuu zaidi.

1311:13 Mdo 9:15Sasa ninasema nanyi watu wa Mataifa. Maadamu mimi ni mtume kwa watu wa Mataifa, naitukuza huduma yangu 1411:14 1Kor 10:33; 1The 2:16; Mt 1:21; Lk 2:11ili kuwafanya watu wangu waone wivu na hivyo kuwaokoa baadhi yao. 1511:15 Rum 5:10; Lk 15:24, 32Kwa kuwa ikiwa kukataliwa kwao ni kupatanishwa kwa ulimwengu, kukubaliwa kwao si kutakuwa ni uhai baada ya kufa? 1611:16 Law 23:10, 17; Hes 15:18-21Kama sehemu ya donge la unga uliotolewa kuwa limbuko ni mtakatifu, basi unga wote ni mtakatifu, nalo shina kama ni takatifu, vivyo hivyo na matawi nayo.

1711:17 Yer 11:16; Yn 15:2; Mdo 2:39; Efe 2:11-13Lakini kama baadhi ya matawi yalikatwa, nawe chipukizi la mzeituni mwitu ukapandikizwa mahali pao ili kushiriki unono pamoja na matawi mengine kutoka shina la mzeituni, 1811:18 Yn 4:22; 1Kor 10:12basi usijivune juu ya hayo matawi. Kama ukijivuna, kumbuka jambo hili: si wewe unayelishikilia shina, bali ni shina linalokushikilia wewe. 19Basi utasema, “Matawi yale yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika hilo shina.” 2011:20 1Kor 10:12; 2Kor 1:24; Rum 12:16; 1Tim 6:17; 1Pet 1:17Hii ni kweli. Matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya kutokuamini kwake, lakini wewe umesimama tu kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijivune, bali simama kwa kuogopa. 21Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe.

2211:22 Rum 2:4; Ebr 3:6; Yn 15:2Angalia basi wema na ukali wa Mungu: Kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu, kama utadumu katika wema wake. La sivyo, nawe utakatiliwa mbali. 2311:23 2Kor 3:16Wao nao wasipodumu katika kutokuamini kwao, watapandikizwa tena kwenye shina, kwa maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena kwenye hilo shina. 2411:24 Yer 11:16Ikiwa wewe ulikatwa kutoka kile ambacho kwa asili ni mzeituni mwitu na kupandikizwa kinyume cha asili kwenye mzeituni uliopandwa, si rahisi zaidi matawi haya ya asili kupandikizwa tena kwenye shina lake la mzeituni!

Israeli Wote Wataokolewa

2511:25 Rum 1:13; 1Kor 10:1; 12:1; 2Kor 1:8; 1The 4:13; Rum 12:16; Lk 21:24Ndugu zangu, ili msije mkajidai kuwa wenye hekima kuliko mlivyo, nataka mfahamu siri hii: Ugumu umewapata Israeli kwa sehemu hadi idadi ya watu wa Mataifa watakaoingia itimie. 2611:26 Isa 45:17; Yer 31:34Hivyo Israeli wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa:

“Mkombozi atakuja kutoka Sayuni;

ataondoa kutokumcha Mungu katika Yakobo.

2711:27 Isa 59:20, 21; 27; 9; Ebr 8:10, 12Hili ndilo agano langu nao

nitakapoziondoa dhambi zao.”

2811:28 Rum 5:10; Kum 7:8; 10:15; Rum 9:5Kwa habari ya Injili, wao ni adui wa Mungu kwa ajili yenu, lakini kuhusu kule kuteuliwa kwao ni wapendwa, kwa ajili ya mababa zao wa zamani, 2911:29 Rum 8:28; Ebr 7:21kwa maana akishawapa watu karama, Mungu haziondoi, wala wito wake. 3011:30 Efe 2:2; Kol 3:7Kama vile ninyi wakati fulani mlivyokuwa waasi kwa Mungu lakini sasa mmepata rehema kwa sababu ya kutokutii kwao, 31hivyo nao Waisraeli wamekuwa waasi ili kwamba wao nao sasa waweze kupata rehema kwa ajili ya rehema za Mungu kwenu. 3211:32 Rum 3:9; Gal 3:22; 1Tim 2:4Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote.

Wimbo Wa Shukrani

3311:33 Rum 2:4; Mhu 8:17; Efe 3:10; Kol 2:3; Za 92:5; 139:6; Isa 40:28Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri

wa hekima na maarifa ya Mungu!

Tazama jinsi ambavyo hukumu zake hazichunguziki,

na ambavyo njia zake zisivyotafutikana!

3411:34 Isa 40:13, 14; Ay 15:8; 36:22; Yer 23:18; 1Kor 2:16“Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya Bwana?

Au ni nani ambaye amekuwa mshauri wake?”

3511:35 Ay 41:11; 35:7“Au ni nani aliyempa chochote

ili arudishiwe?”

3611:36 1Kor 8:6; 11:12; Kol 1:16; 1Pet 5:11; 1Tim 1:17; Ebr 2:10; Efe 3:21; Rum 16:27; Yud 25; Ufu 5:13Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake.

Utukufu ni wake milele! Amen.