以賽亞書 49 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以賽亞書 49:1-26

主的僕人

1眾海島啊,聽我說!

遠方的眾民啊,要留心聽!

我還沒有出生,

耶和華就呼召我;

我還沒有離開母腹,

祂就點我的名。

2祂使我的口像利劍,

用祂的手護庇我;

祂使我成為磨亮的箭,

把我藏在祂的箭囊中。

3祂對我說:「以色列啊,

你是我的僕人,

我要藉著你彰顯我的榮耀。」

4但我說:「我虛耗精力,

徒勞無功。

然而,耶和華必公正地待我,

我的報酬在我的上帝那裡。」

5我在母腹之中,耶和華便塑造我做祂的僕人,

叫我領雅各歸向祂,

以色列人召集到祂那裡。

我在耶和華眼中是尊貴的,

我的上帝是我的力量。

6祂對我說:「我不僅要你做我的僕人,

去復興雅各的眾支派,

使以色列的餘民重歸故土,

我還要使你成為外族人的光,

好把我的救恩帶到地極。」

7以色列的救贖主和聖者——耶和華對受藐視、

被本國人憎恨、

遭官長奴役的那位說:

「因為揀選你的以色列的聖者耶和華是信實的,

君王必在你面前肅然起立,

首領必在你面前俯伏下拜。」

以色列的復興

8耶和華說:

「在悅納的時候,我應允了你;

在拯救的日子,我幫助了你。

我要保護你,

使你做我跟民眾立約的中保,

復興家園,

分配荒涼的產業。

9你要對被囚禁的人說,

『出來吧!』

要對暗牢中的人說,

『你們自由了。』

他們在路上必有吃的,

光禿的山嶺必有食物。

10他們不再饑渴,

也不再被熱風和烈日灼傷,

因為憐憫他們的那位必引導他們,

領他們到泉水邊。

11我要使我的群山變為通途,

修築我的大路。

12看啊,他們必從遠方來,

有的來自北方,有的來自西方,

還有的來自希尼49·12 希尼」可能指遙遠的東方或南方某地。。」

13諸天啊,要歡呼!

大地啊,要快樂!

群山啊,要歌唱!

因為耶和華必安慰祂的子民,

憐憫祂受苦的百姓。

14錫安說:「耶和華撇棄了我,

主把我忘了。」

15耶和華說:「母親豈能忘記自己吃奶的嬰兒,

不憐憫自己親生的孩子?

就算有母親忘記,

我也不會忘記你。

16看啊,我已經把你銘刻在我的手掌上,

你的牆垣在我的看顧之下。

17你的兒女必很快回來,

毀滅和破壞你的必離你而去。

18舉目四下看看吧,

你的兒女正聚集到你這裡。

我憑我的永恆起誓,

你必把他們作為飾物戴在身上,

如新娘一樣用他們妝扮自己。

這是耶和華說的。

19「你那曾經荒廢、淒涼、

遭到毀壞之地現在必容不下你的居民,

那些吞滅你的人必遠遠地離開你。

20你流亡期間所生的子女必在你耳邊說,

『這地方太小了,

再給我們一些地方住吧。』

21你會在心裡問,『我喪失了兒女、

不再生育、流亡在外、漂流不定,

誰給我生了這些兒女?

誰把他們養大?

我孤身一人,

他們是從哪裡來的?』」

22主耶和華說:

「我必向列國招手,

向萬民豎立我的旗幟,

他們必抱著你的兒子、

背著你的女兒回來。

23列王必做你的養父,

王后必做你的褓姆。

他們必向你俯伏下拜,

舔你腳上的塵土。

那時你便知道我是耶和華,

信靠我的必不致失望。」

24勇士搶去的能奪回來嗎?

暴君擄走的能救回來嗎?

25但耶和華說:

「勇士擄去的必被奪回,

暴君搶去的必被救出。

我必與你的敵人爭戰,

拯救你的兒女。

26我要使那些欺壓你的人吞吃自己的肉,

喝自己的血喝得酩酊大醉,

好像喝酒一樣。

那時候,世人都必知道我耶和華是你的救主,

是你的救贖主,

雅各的大能者。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 49:1-26

Mtumishi Wa Bwana

149:1 Isa 44:24; Yer 1:5; Lk 1:15; Isa 33:13; 11:11; Mt 1:20; Isa 7:14; 9:6; Kut 33:12Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili,

ninyi mataifa mlio mbali:

Kabla sijazaliwa, Bwana aliniita,

tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu.

249:2 Za 64:3; Hos 6:5; Efe 6:17; Ay 40:18; Ufu 1:16; Kut 33:22; Zek 9:13Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga ulionolewa,

katika uvuli wa mkono wake akanificha;

akanifanya kuwa mshale uliosuguliwa,

na kunificha katika podo lake.

349:3 Isa 20:3; Zek 3:8; Law 10:3; Isa 44:23Akaniambia, “Wewe u mtumishi wangu,

Israeli, ambaye katika yeye

nitaonyesha utukufu wangu.”

449:4 Eze 3:19; Law 26:20; Isa 35:4; Ay 27:2; Isa 55:2; 65:23; 45:25; 54:17Lakini nilisema, “Nimetumika bure,

nimetumia nguvu zangu bure bila faida.

Hata hivyo linalonistahili liko mkononi mwa Bwana,

nao ujira wangu uko kwa Mungu wangu.”

549:5 Kum 30:4; Isa 11:12; 43:4; Za 139:13; Gal 1:15; Za 18:1Sasa Bwana asema:

yeye aliyeniumba tumboni kuwa mtumishi wake,

kumrudisha tena Yakobo kwake

na kumkusanyia Israeli,

kwa maana nimepata heshima machoni pa Bwana,

naye Mungu wangu amekuwa nguvu yangu;

649:6 Zek 8:22; Lk 2:32; Yn 11:52; Isa 9:2; Yon 1:9; Isa 26:18; Kum 30:4; Mdo 13:47yeye asema:

“Je, ni jambo dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu

ili kurejeza makabila ya Yakobo,

na kuwarudisha wale Waisraeli niliowahifadhi?

Pia nitakufanya uwe nuru kwa ajili ya watu wa Mataifa,

ili upate kuleta wokovu wangu hata miisho ya dunia.”

749:7 Isa 48:17; Za 69:7-9; Isa 52:15; Mwa 27:29; Za 22:6, 29; 86:9; Kum 7:9Hili ndilo asemalo Bwana,

yeye Mkombozi na Aliye Mtakatifu wa Israeli,

kwake yeye aliyedharauliwa na kuchukiwa na taifa,

kwa mtumishi wa watawala:

“Wafalme watakuona na kusimama,

wakuu wataona na kuanguka kifudifudi,

kwa sababu ya Bwana, aliye mwaminifu,

yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, aliyekuchagua wewe.”

Kurejezwa Kwa Israeli

849:8 Za 69:13; 2Kor 6:2; Law 25:10; Za 37:9; Isa 60:10; 41:10; 26:3; 5:249:8 Isa 44:28; Neh 2:17Hili ndilo asemalo Bwana:

“Wakati wangu uliokubalika nitakujibu,

nami katika siku ya wokovu nitakusaidia;

nitakuhifadhi, nami nitakufanya

kuwa agano kwa ajili ya watu,

ili kurudisha nchi

na kugawanyia urithi tena wale waliokuwa ukiwa,

949:9 Lk 4:19; Isa 41:18; Zek 9:12; Isa 42:7; Za 107:10kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’

nao wale walio gizani, ‘Kuweni huru!’

“Watajilisha kando ya barabara

na kupata malisho yao juu ya kila kilima kilicho kitupu.

1049:10 Isa 33:16; Ufu 7:16; Isa 35:7; Za 21:6; Isa 42:16; 33:21Hawataona njaa wala kuona kiu,

wala hari ya jangwani au jua halitawapiga.

Yeye mwenye huruma juu yao atawaonyesha njia,

na kuwaongoza kando ya chemchemi za maji.

1149:11 Isa 11:6; Yer 31:9; Isa 40:4Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara,

na njia kuu zangu zitainuliwa.

1249:12 Isa 2:3; 43:5-6; 59:19; Mt 8:11Tazama, watakuja kutoka mbali:

wengine kutoka kaskazini, wengine kutoka magharibi,

wengine kutoka nchi ya Sinimu.”49:12 Sinimu hapa ina maana ya Aswani.

1349:13 Za 98:4; 71:21; 2Kor 1:4; Isa 48:20; Za 96:11; 65:12-13; 9:12Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;

furahi, ee dunia;

pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!

Kwa maana Bwana anawafariji watu wake,

naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.

1449:14 Isa 40:9; Za 9:10; Isa 27:8; Za 71:11Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha,

Bwana amenisahau.”

1549:15 Mt 7:11; Isa 44:21; 1Fal 3:26; Isa 66:13“Je, mama aweza kumsahau mtoto

aliyeko matitini mwake akinyonya,

wala asiwe na huruma

juu ya mtoto aliyemzaa?

Ingawa anaweza kusahau,

mimi sitakusahau wewe!

1649:16 Wim 8:6; Kut 28:9; Za 48:12-13; Isa 62:6; Mwa 38:18Tazama, nimekuchora kama muhuri

katika vitanga vya mikono yangu,

kuta zako zi mbele yangu daima.

1749:17 Isa 49:19Wana wako wanaharakisha kurudi,

nao wale waliokuteka wanaondoka kwako.

1849:18 Mit 17:6; Rum 14:11; Hes 14:21; Yer 2:32; Isa 11:12; 43:5; 54:9; 45:23Inua macho yako ukatazame pande zote:

wana wako wote wanakusanyika na kukujia.

Kwa hakika kama vile niishivyo,

utawavaa wote kama mapambo,

na kujifunga nao kama bibi arusi,”

asema Bwana.

1949:19 Law 26:33; Isa 62:4; Zek 10:10; Eze 36:10-11; Zek 2:4; Isa 60:18; 1:20“Ingawa uliangamizwa na kufanywa ukiwa,

na nchi yako ikaharibiwa,

sasa nafasi itakuwa finyu kwa ajili ya watu wako,

nao wale waliokuangamiza watakuwa mbali sana.

2049:20 Mt 3:9; Rum 11:11, 12Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako

bado watakuambia,

‘Mahali hapa ni finyu sana kwetu,

tupe eneo kubwa zaidi la kuishi.’

2149:21 Isa 5:13; Lk 15:5; Isa 60:4; 29:23; 66:7-8; 47:8; Yer 10:20; Mwa 15:2Ndipo utasema moyoni mwako,

‘Ni nani aliyenizalia hawa?

Nilikuwa nimefiwa, tena tasa;

nilikuwa nimehamishwa na kukataliwa.

Ni nani aliyewalea hawa?

Niliachwa peke yangu,

lakini hawa wametoka wapi?’ ”

2249:22 Isa 60:10-11; Hes 11:12; Mwa 3:14; Za 72:9; Kut 6:2; Mik 7:17; Mwa 3:14Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:

“Tazama, nitawaashiria watu wa Mataifa,

nitainua bendera yangu kwa mataifa;

watawaleta wana wako mikononi yao,

na kuwabeba binti zenu juu ya mabega yao.

23Wafalme watakuwa baba zenu wa kuwalea,

na malkia wao watakuwa mama zenu wa kuwalea.

Watasujudu mbele yako nyuso zao zikigusa ardhi;

wataramba mavumbi yaliyo miguuni mwako.

Ndipo utajua ya kuwa Mimi ndimi Bwana;

wale wanaonitumaini mimi hawataaibika.”

2449:24 Mt 12:29; Mk 3:27; Lk 11:21Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita,

au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?

2549:25 Yer 50:33-34; Isa 14:2; 25:9; Mk 3:27; Isa 13:11; 25:4-9; 1Sam 24:15Lakini hili ndilo asemalo Bwana:

“Naam, mateka watachukuliwa kutoka kwa mashujaa,

na nyara zitapokonywa kutoka kwa watu wakali.

Nitashindana na wale wanaoshindana nawe,

nami nitawaokoa watoto wako.

2649:26 Isa 9:4, 20; Nah 1:10; Ufu 16:6; Eze 39:7; Hes 23:24; Yer 25:27; Isa 11:9; Ay 19:25; Isa 48:17; Mwa 49:24; Za 132:2Nitawafanya wale wanaokuonea kula nyama yao wenyewe,

watalewa kwa damu yao wenyewe,

kama vile kwa mvinyo.

Ndipo wanadamu wote watajua

ya kuwa Mimi, Bwana, ni Mwokozi wako,

Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.”