以斯帖記 8 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

以斯帖記 8:1-17

猶太人獲拯救

1當天,亞哈隨魯王把猶太人的仇敵哈曼的家產賜給以斯帖王后。末底改也來到王面前,因為以斯帖陳明了他們的親屬關係。 2王摘下自己的戒指,就是從哈曼手中取回的,賜給末底改以斯帖末底改管理哈曼的家產。

3以斯帖又俯伏在王的腳前,流淚哀求王廢掉亞甲哈曼加害猶太人的陰謀。 4王向以斯帖伸出金杖,以斯帖就起來站在王面前, 5說:「王若願意,我若得到王的恩寵,王若認為好,並且喜悅我,就請王降旨,廢除亞甲哈米大他的兒子哈曼陰謀滅絕各省猶太人的諭旨。 6我怎能忍心看我本族的人受害?我怎能忍心看我的親族被殺?」 7亞哈隨魯王對以斯帖王后和猶太末底改說:「我已把哈曼的家產賜給以斯帖,並把他吊在木架上了,因為他想害猶太人。 8現在,你們盡可奉王的名寫諭旨給猶太人,用王的戒指蓋印,因為奉王的名所寫、用王的戒指蓋印的諭旨是不可廢除的。」

9三月,即西彎月二十三日,王的書記被召來,按照末底改的一切吩咐用各省的文字和各族的語言,包括猶太人的文字和語言寫諭旨,傳給從印度古實的一百二十七省的猶太人、總督、省長和官員。 10末底改亞哈隨魯王的名寫諭旨,用王的戒指蓋印,讓信差騎王室快馬送往各地。 11-12諭旨上說,王准許各城的猶太人在十二月,即亞達月十三日,聚集起來自衛,剷除、殺光、滅盡各族各省攻擊他們的仇敵及其兒女、妻子,奪取仇敵的財物。 13諭旨的抄本頒佈到各省,昭告各族,使猶太人在那天預備好向仇敵報仇。 14信差接到王的命令,急忙騎上王室快馬上路。在書珊城也頒佈了諭旨。

15末底改身穿藍色和白色朝服,頭戴大金冠,披著紫色細麻布外袍,從王那裡出來,書珊城的人都歡呼雀躍。 16猶太人高興歡喜,感到快樂光榮。 17各省各城,凡諭旨所到之處,猶太人都歡喜快樂,設宴慶祝。許多當地人因懼怕猶太人而入了猶太籍。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Esta 8:1-17

Amri Ya Mfalme Kuhusu Wayahudi

18:1 Mit 22:22-23Siku ile ile Mfalme Ahasuero akampa Malkia Esta shamba la Hamani, adui wa Wayahudi. Naye Mordekai akaja mbele ya mfalme, kwa kuwa Esta alikuwa amesema jinsi anavyohusiana naye. 28:2 Mwa 24:22; Dan 2:48Mfalme akaivua pete yake ya muhuri, ambayo alikuwa amemnyangʼanya Hamani, akampa Mordekai, naye Esta akamweka Mordekai juu ya shamba la Hamani.

38:3 Kut 17:8-16Esta alimsihi tena mfalme, akianguka miguuni pake na kulia. Akamwomba akomeshe mpango mwovu wa Hamani Mwagagi ambao alikuwa ameupanga dhidi ya Wayahudi. 48:4 Es 4:11Kisha mfalme alimnyooshea Esta fimbo yake ya utawala ya dhahabu naye aliinuka na kusimama mbele yake.

5Esta akasema, “Kama ikimpendeza mfalme, nami kama nikipata kibali naye akiona ni jambo lililo sawa kunitendea na kama akipendezwa nami, basi iandikwe amri ya kuzitangua barua zile Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, alizotunga na kuandika kuangamiza Wayahudi katika majimbo yote ya mfalme. 6Kwa maana nitawezaje kuvumilia kuona maafa yakiwapata watu wangu? Nitawezaje kuvumilia kuona maangamizi ya jamaa yangu?”

7Mfalme Ahasuero akawajibu Malkia Esta na Mordekai Myahudi, “Kwa sababu Hamani aliwashambulia Wayahudi, nimetoa shamba la Hamani kwa Esta, naye ameangikwa kwenye mti wa kunyongea. 88:8 Es 1:19; Mwa 41:42Basi andika amri nyingine kwa jina la mfalme kwa ajili ya Wayahudi kama unavyoona vyema, kisha uifunge kwa kutia muhuri kwa pete ya mfalme kwa kuwa hakuna andiko lililoandikwa kwa jina la mfalme na kutiwa muhuri kwa pete ya mfalme linaloweza kutanguliwa.”

98:9 Es 1:1; Neh 13:24Mara moja waandishi wa mfalme wakaitwa kwenye siku ya ishirini na tatu, mwezi wa tatu, ndio mwezi wa Siwani. Wakaandika yote Mordekai aliyoamuru kwa Wayahudi, kwa majemadari, watawala na wakuu wa majimbo 127 kuanzia Bara Hindi mpaka Kushi.8:9 Kushi hapa ina maana ya Ethiopia. Maagizo haya yaliandikwa kwa maandishi ya kila jimbo na kwa lugha ya kila mtu pia kwa Wayahudi kwa maandishi yao wenyewe na lugha yao. 10Mordekai aliandika nyaraka kwa jina la Mfalme Ahasuero, akazitia muhuri kwa pete ya mfalme na kuzipeleka kwa njia ya matarishi, ambao waliendesha farasi waendao kasi waliozalishwa maalum kwa ajili ya mfalme.

11Waraka wa mfalme uliwaruhusu Wayahudi katika kila mji kuwa na haki ya kukusanyika na kujilinda wenyewe; kuharibu, kuua na kuangamiza jeshi lolote, taifa lolote au jimbo lile litakalowashambulia wao, wake zao, watoto wao na kuteka mali za adui zao. 12Siku ambayo iliwekwa kwa Wayahudi kufanya hili katika majimbo yote ya Mfalme Ahasuero ilikuwa siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari. 138:13 Es 1:1; Neh 13:24Nakala ya tangazo ilikuwa itolewe kama sheria katika kila jimbo na iweze kujulikana kwa watu wa kila taifa, ili kwamba Wayahudi wawe tayari siku hiyo kulipiza kisasi kwa adui zao.

14Matarishi, wakiwa wamepanda farasi wa kifalme, walitoka mbio wakichochewa na agizo la mfalme. Tangazo lilitolewa pia katika ngome ya mji wa Shushani.

158:15 2Sam 12:30; Mwa 41:42Mordekai akaondoka mbele ya mfalme akiwa amevaa mavazi ya kifalme ya buluu na nyeupe, taji kubwa la dhahabu na joho la zambarau la kitani safi. Na mji wa Shushani ukasherehekea kwa furaha. 168:16 Za 112:4; Yer 29:4-7Kwa maana kwa Wayahudi ulikuwa wakati wa raha na furaha, shangwe na heshima. 178:17 Za 35:27; Kum 11:25Katika kila jimbo na katika kila jiji, popote waraka wa mfalme ulipofika, kulikuwepo furaha na shangwe miongoni mwa Wayahudi, pamoja na karamu na kushangilia. Na watu wengi wa mataifa mengine wakajifanya Wayahudi kwa sababu ya kuwahofu Wayahudi.