诗篇 78 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 78:1-72

第 78 篇

上帝引导祂的子民

亚萨的训诲诗。

1我的百姓啊!

你们要听我的教导,

侧耳倾听我的话。

2我要开口讲比喻,

道出古时的奥秘,

3是我们所闻所知、世代流传下来的事。

4我们不要在子孙面前隐瞒事实,

要把耶和华当受称颂的作为、

祂的权能和所行的奇事告诉下一代。

5因为祂为雅各制定法度,

以色列设立律法,

又吩咐我们的祖先把这些律法传给儿女,

6好让他们也照样教导自己的子孙后代,

世代相传。

7这样,他们就会信靠上帝,

遵行祂的命令,

不忘记祂的作为;

8也不会像自己的祖先那样顽梗叛逆,

对上帝不忠,心怀二意。

9以法莲人备上了弓箭,

却临阵逃命。

10他们不遵守上帝的约,

拒绝遵行祂的律法。

11他们忘记了祂的作为,

忘记了祂为他们所行的奇事。

12祂曾在埃及,在琐安当着他们祖先的面行神迹。

13祂把海水分开,

带领他们安然渡过;

祂使海水堆起如墙壁。

14祂白天以云柱带领他们,

晚上用火柱引导他们。

15祂在旷野劈开磐石,

供应他们丰沛的水源。

16祂使水从磐石中滚滚流出,

如滔滔江河。

17然而,他们仍旧犯罪,

在旷野反叛至高的上帝。

18他们顽梗地试探上帝,

索要他们想吃的食物。

19他们抱怨上帝,说:

“难道上帝可以在旷野摆宴席吗?

20祂击打磐石,

水就涌出,流淌成河,

但祂能赐给我们——祂的子民食物和肉吗?”

21耶和华听后大怒,

祂的怒火烧向雅各

祂的怒气撒向以色列

22因为他们不相信上帝,也不信靠祂的拯救。

23祂向穹苍发出命令,

又打开天门,

24降下吗哪给他们吃,赐下天粮。

25他们吃了天使的食物,

上帝赐给他们丰富的食物。

26祂使空中刮起东风,

用大能引来南风,

27使飞鸟像雨点一般降在他们当中,多如尘埃,

使他们有多如海沙的肉吃。

28祂使飞鸟降落在他们营中的帐篷周围,

29让他们尽情地吃,

遂了他们的心愿。

30但是,他们还没有吃完,

肉还在口中的时候,

31上帝就向他们发怒,

杀掉了他们当中最强壮的,

消灭了以色列的青年。

32即使如此,

他们依旧犯罪,

不相信上帝奇妙的作为。

33所以上帝使他们虚度一生,

让他们的岁月充满恐惧。

34直到上帝击杀他们的时候,

他们才回转,诚心寻求上帝。

35他们才想起上帝是他们的磐石,

至高的上帝是他们的救赎主。

36他们却虚情假意,满口谎言。

37他们不忠于祂,

也不信守祂的约。

38但上帝充满怜悯,

赦免了他们的罪,

没有毁灭他们。

祂多次收住怒气,

没有完全发出祂的烈怒。

39祂顾念他们不过是血肉之躯,

像一阵风转眼消逝。

40他们在旷野屡屡反叛祂,

使祂伤心。

41他们再三试探上帝,

以色列的圣者发怒。

42他们忘记了祂的大能,

忘记了祂救他们脱离压迫的日子,

43也忘记了祂在埃及所行的神迹,

琐安的田野所行的奇事。

44祂曾使江河溪流变成血,

以致无人能喝。

45祂曾使成群的苍蝇吞没他们,

使青蛙毁灭他们。

46祂将他们的五谷赏给蚱蜢,

让蝗虫吃尽他们的收成。

47祂用冰雹毁坏他们的葡萄树,

用严霜毁坏他们的无花果树,

48又用冰雹毁灭他们的牛群,

用闪电毁灭他们的牲畜。

49祂把怒火、烈怒、愤恨和祸患倾倒在他们身上,

遣下一群降灾的天使。

50祂的怒气尽发,

使他们被瘟疫吞噬,难逃一死。

51祂击杀了埃及人所有的长子,

就是帐篷中头生的儿子。

52祂领出自己的子民,

好像领出羊群,

引领他们经过旷野,

53使他们一路平安,免受惊吓,

大海却淹没了他们的仇敌。

54祂带领自己的子民来到圣地的边界,

来到祂亲手为他们预备的山区,

55从他们面前赶出外族人,

把外族人的土地分给他们,

作为他们的产业,

使以色列各支派安顿下来。

56可是,他们仍旧试探上帝,

反叛至高者,不遵行祂的法度。

57他们跟祖先一样背信弃义,

像断弓一样毫不可靠。

58他们建造丘坛,惹祂发怒;

他们竖起神像,令祂愤怒。

59上帝知道了他们的恶行,

怒不可遏,

彻底弃绝了以色列人。

60祂离弃了设在示罗的圣幕,

就是祂在人间的居所。

61祂任凭自己的约柜被人掳去,

让自己的荣耀落在敌人手中。

62祂使自己的子民被刀剑杀戮,

向自己的产业大发怒气。

63青年被烈火吞噬,

少女无法婚嫁。

64祭司丧身刀下,

寡妇无法哭丧。

65那时,主像从睡眠中醒来,

又如酒后醒来的勇士。

66祂击退仇敌,

叫他们永远蒙羞。

67祂丢弃了约瑟的子孙,

没有拣选以法莲支派。

68祂拣选了犹大支派,

祂所喜爱的锡安山。

69祂为自己建造高耸的圣所,

使它像大地一样长存。

70祂拣选了祂的仆人大卫

把他从羊圈中召来,

71让他离开牧羊的生活,

去牧养祂的子民雅各的后裔,

牧养祂的产业以色列

72于是,大卫以正直的心牧养他们,

用灵巧的手带领他们。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 78:1-72

Zaburi 78

Mungu Na Watu Wake

Utenzi wa Asafu.

178:1 Kut 19:5; Kum 32:29; Isa 51:4; 55:3Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu,

sikilizeni maneno ya kinywa changu.

278:2 Za 49:4; Mt 13:35Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo,

nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:

378:3 Za 44:1; Amu 6:13yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,

yale ambayo baba zetu walituambia.

478:4 Kut 12:26; Yos 4:6, 7; Kum 4:9; 11:19; 32:7; Za 71:18; 26:7; 71:17Hatutayaficha kwa watoto wao;

tutakiambia kizazi kijacho

matendo yastahiliyo sifa ya Bwana,

uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.

578:5 Za 19:7; 81:5; 147:19Aliagiza amri kwa Yakobo

na akaweka sheria katika Israeli,

ambazo aliwaamuru baba zetu

wawafundishe watoto wao,

678:6 Za 22:31; 102:18ili kizazi kijacho kizijue,

pamoja na watoto ambao watazaliwa,

nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.

778:7 Kum 6:12; 5:29Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu,

nao wasingesahau matendo yake,

bali wangalizishika amri zake.

878:8 2Nya 30:7; Kut 32:9; 23:21; Kum 21:18; Isa 30:9; 65:2Ili wasifanane na baba zao,

waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi,

ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake,

ambao roho zao hazikumwamini.

978:9 Za 78:57; 1Nya 12:2; Hos 7:16; Amu 20:39Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde,

walikimbia siku ya vita.

1078:10 Yos 7:10; 2Fal 17:15; Kut 16:28; Yer 11:8Hawakulishika agano la Mungu

na walikataa kuishi kwa sheria yake.

1178:11 Za 106:13; Isa 17:10; Yer 2:32Walisahau aliyokuwa ameyatenda,

maajabu aliyokuwa amewaonyesha.

1278:12 Neh 9:17; Za 106:22; Kut 11:9; Hes 13:22; Mwa 32:3; Isa 19:11Alitenda miujiza machoni mwa baba zao,

huko Soani, katika nchi ya Misri.

1378:13 Kut 14:21, 22; 15:8; Za 66:6; 136:13Aliigawanya bahari akawapitisha,

alifanya maji yasimame imara kama ukuta.

1478:14 Kut 13:21; Za 105:39Aliwaongoza kwa wingu mchana

na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.

1578:15 Hes 20:11; 1Kor 10:4; Kut 17; 6; Za 105:41; Isa 41:18Alipasua miamba jangwani

na akawapa maji tele kama bahari,

1678:16 Kum 9:21alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka,

akayafanya maji yatiririke kama mito.

1778:17 Za 78:32Lakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake,

wakiasi jangwani dhidi ya Aliye Juu Sana.

1878:18 Kut 15:24; 17:2; 1Kor 10:9; Hes 11:4Kwa makusudi walimjaribu Mungu,

wakidai vyakula walivyovitamani.

1978:19 Hes 11:4; 21:5Walinena dhidi ya Mungu, wakisema,

“Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?

2078:20 Hes 20:11; Kut 17:6Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu,

vijito vikatiririka maji mengi.

Lakini je, aweza kutupa chakula pia?

Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”

2178:21 Hes 11:1Bwana alipowasikia, alikasirika sana,

moto wake ukawa dhidi ya Yakobo,

na ghadhabu yake ikawaka dhidi ya Israeli,

2278:22 Kum 1:32; Ebr 3:19; 3:10kwa kuwa hawakumwamini Mungu,

wala kuutumainia ukombozi wake.

2378:23 Mwa 7:11; Kum 28:12; 2Fal 7:2Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu

na kufungua milango ya mbingu,

2478:24 Kut 16:4; Yn 6:31; Neh 9:15, 20; 1Kor 10:3akawanyeshea mana ili watu wale;

aliwapa nafaka ya mbinguni.

25Watu walikula mkate wa malaika,

akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.

2678:26 Hes 11:31Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu

na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.

2778:27 Kut 16:13; Hes 11:31Aliwanyeshea nyama kama mavumbi,

ndege warukao kama mchanga wa pwani.

28Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao,

kuzunguka mahema yao yote.

2978:29 Hes 11:20Walikula na kusaza,

kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.

3078:30 Hes 11:33Kabla hawajamaliza kula walichokitamani,

hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,

3178:31 Isa 10:16hasira ya Mungu ikawaka juu yao,

akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao,

akiwaangusha vijana wa Israeli.

3278:32 Za 78:11, 17, 22Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi,

licha ya maajabu yake, hawakuamini.

3378:33 Hes 14:29, 35Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili

na miaka yao katika vitisho.

3478:34 Kum 4:29; Hos 5:15; Hes 5:15Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao,

waliosalia walimtafuta,

walimgeukia tena kwa shauku.

3578:35 Mwa 49:24; Kum 9:26Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao,

kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.

3678:36 Eze 33:31Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao,

wakisema uongo kwa ndimi zao,

3778:37 Za 78:8; Mdo 8:21mioyo yao haikuwa thabiti kwake,

wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.

3878:38 Kut 34:6; Neh 9:17; Za 25:11; 85:2; 86:15; 1Fal 21:29; Isa 1:25; 27:9; 48:9, 10; 30:18; Mik 7:18; Rum 2:4; Dan 11:35Hata hivyo alikuwa na huruma,

alisamehe maovu yao

na hakuwaangamiza.

Mara kwa mara alizuia hasira yake,

wala hakuchochea ghadhabu yake yote.

3978:39 Mwa 6:3; Isa 29:5; Ay 7:7; Yak 4:14; Yn 3:6Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu,

upepo upitao ambao haurudi.

4078:40 Kut 23:21; Za 95:8; 106:14; Efe 4:30Mara ngapi walimwasi jangwani

na kumhuzunisha nyikani!

4178:41 Kut 17:2; 2Fal 19:22; Za 71:22; 89:18Walimjaribu Mungu mara kwa mara,

wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

4278:42 Amu 3:7; Neh 9:17; Za 27:11Hawakukumbuka uwezo wake,

siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,

4378:43 Kut 10:1; 3:20siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri,

maajabu yake huko Soani.

4478:44 Kut 7:20, 21; Za 105:29; 78:45Aligeuza mito yao kuwa damu,

hawakuweza kunywa maji kutoka vijito vyao.

4578:45 Kut 8:2, 6, 24; Za 105Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala,

na vyura wakawaharibu.

4678:46 Nah 3:15; Kut 10:13Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao,

mazao yao kwa nzige.

4778:47 Za 105:32; 147:17; Kut 9:23Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe

na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.

4878:48 Kut 9:25Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe,

akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.

4978:49 Kut 15:7; Mwa 19:13; 1Kor 10:10; Rum 2:8Aliwafungulia hasira yake kali,

ghadhabu yake, hasira na uadui,

na kundi la malaika wa kuharibu.

50Aliitengenezea njia hasira yake,

hakuwaepusha na kifo,

bali aliwaachia tauni.

5178:51 Mwa 9:12; Kut 12:12; Za 135:8; 105:23; 106:22Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,

matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.

5278:52 Ay 21:11; Za 28:9; 77:20Lakini aliwatoa watu wake kama kundi,

akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.

5378:53 Kut 14:28; 15:7; Za 106:10Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa,

bali bahari iliwameza adui zao.

5478:54 Kut 15:17; Za 44:3Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu,

hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.

5578:55 Za 44:2; Kum 1:38; Yos 13:7; Mdo 13:19Aliyafukuza mataifa mbele yao,

na kuwagawia nchi zao kama urithi,

aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.

56Lakini wao walimjaribu Mungu,

na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana,

wala hawakuzishika sheria zake.

5778:57 2Nya 30:7; Za 78:9; Eze 20:27; Hos 7:16Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu,

wakawa wasioweza kutegemewa

kama upinde wenye kasoro.

5878:58 Amu 2:12; Law 26:30; Kut 20:4; Kum 12:2; 5:8; 32:21; Hes 33:51Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu,

wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.

5978:59 Za 55:19; Law 26:28; Hes 32:14; Kum 32:19; Ebr 4:13Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana,

akamkataa Israeli kabisa.

6078:60 Yos 18:1; Eze 8:6; 1Sam 4:11; Yer 7:12Akaiacha hema ya Shilo,

hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.

6178:61 Amu 18:30; 1Sam 4:12; Za 132:8; 1Sam 4:17Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani,

utukufu wake mikononi mwa adui.

6278:62 Kum 28:25; 1Sam 10:1Aliachia watu wake wauawe kwa upanga,

akaukasirikia sana urithi wake.

6378:63 1Fal 4:32; Yer 7:32; 16:9; 25:10; Hes 11:1Moto uliwaangamiza vijana wao,

na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,

6478:64 Ay 27:15; 1Sam 4:17makuhani wao waliuawa kwa upanga,

wala wajane wao hawakuweza kulia.

6578:65 Za 44:23; Isa 42:13Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini,

kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.

6678:66 1Sam 5:6Aliwapiga na kuwashinda adui zake,

akawatia katika aibu ya milele.

6778:67 Yer 7:15; Hos 9:13; 12:1Ndipo alipozikataa hema za Yosefu,

hakulichagua kabila la Efraimu,

6878:68 Hes 1:7; Kut 15:17; Za 68:16; 108:8lakini alilichagua kabila la Yuda,

Mlima Sayuni, ambao aliupenda.

6978:69 Za 15:1; 1Fal 6:1Alijenga patakatifu pake kama vilele,

kama dunia ambayo aliimarisha milele.

7078:70 1Sam 16:1Akamchagua Daudi mtumishi wake

na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.

7178:71 Mwa 37:2; Za 28:9; 2Sam 5:2; 1Nya 11:2; Mik 5:2-4; Zek 11:4Kutoka kuchunga kondoo alimleta

kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo,

wa Israeli urithi wake.

7278:72 1Fal 9:4; Mwa 17:1Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo,

kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.