诗篇 43 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

诗篇 43:1-5

第 43 篇

流亡异乡者的祷告

1上帝啊,

求你为我伸张正义,

在不虔敬的人面前为我辩护,

救我脱离诡诈邪恶的人。

2你是保护我的上帝,

你为何丢弃我?

为何让我受仇敌的攻击,

使我哀伤不已呢?

3求你以光明和真理引导我,

领我到你的圣山,到你的居所。

4我要到上帝的祭坛前,

到赐我喜乐的上帝面前。

上帝啊,我的上帝,

我要弹琴赞美你。

5我的心啊!

你为何沮丧?为何烦躁?

要仰望上帝,

因为我还要赞美祂——我的救主,我的上帝。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 43:1-5

Zaburi 43

Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea

143:1 Amu 6:31; Za 25:20; 36:3; 109:2; 7:8Ee Mungu unihukumu,

nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu,

niokoe na watu wadanganyifu na waovu.

243:2 Za 44:9; 74:1; 88:14; 89:38; 35:14; 42:9; 28:7; Isa 26:4Wewe ni Mungu ngome yangu.

Kwa nini umenikataa?

Kwa nini niendelee kuomboleza,

nikiwa nimeonewa na adui?

343:3 Za 2:6; 3:4; 27:1; 26:3; 25:5; 2Sam 15:25Tuma hima nuru yako na kweli yako

na viniongoze;

vinilete mpaka mlima wako mtakatifu,

mpaka mahali unapoishi.

443:4 Za 42:2; 26:6; 84:3; 21:6; 16:3; Mwa 4:21Ndipo nitakwenda madhabahuni pa Mungu,

kwa Mungu, furaha yangu na shangwe yangu.

Nitakusifu kwa kinubi,

Ee Mungu, Mungu wangu.

543:5 Za 42:5, 6, 11Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

Weka tumaini lako kwa Mungu,

kwa sababu bado nitamsifu

Mwokozi wangu na Mungu wangu.