1“我厌恶自己的生命,
我要倾诉我的哀怨,
吐露心中的苦水。
2我对上帝说,‘不要定我的罪。
请告诉我,你为何指控我?
3难道你喜悦压迫、鄙视你造的人,
却青睐恶人的计谋?
4难道你的眼是肉眼,
目光如凡人般短浅?
5难道你的年日有限,
岁月如世人般短暂?
6以致你探查我的过犯,
追究我的罪愆?
7其实你知道我没有犯罪,
无人能从你手中解救我。
8“‘你亲手造我塑我,
现在却要毁灭我。
9别忘了你用泥土造我10:9 “用泥土造我”或译“把我造的像泥土”。,
难道要使我复归尘土?
10你将我像奶一样倒出,
使我像奶酪一样凝固。10:10 此句描述胚胎在母腹中如何成形。
11你给我穿上皮肉,
用筋骨把我编就。
12你赐我生命给我慈爱,
你的眷顾使我保全性命。
13“‘但你心中藏着计划,
我知道你早有此意,
14我若犯罪,你就鉴察,
不肯赦免我的罪。
15我若有罪,便遭祸患;
即使清白,也不敢抬头,
因为我饱尝羞辱,吃尽苦头。
16我若昂首挺立,
你会像狮子般追捕我,
再次施展大能攻击我。
17你一再派证人指控我,
你对我越来越愤怒,
使军队轮流攻击我。
18你为何让我出母腹?
我不如当时就死去,
无人会看见我——
19好像我从未出生,
一出母腹就被送进坟墓。
20我的年日不多,
求你放过我,
让我欢乐片刻。
21我很快就一去不返,
进入幽冥黑暗之地。
22那里一片漆黑,幽暗混乱;
那里的光昏暗不明。’”
Ayubu: Nayachukia Maisha Yangu
110:1 Hes 11:15; 1Sam 1:10; Ay 7:11; 9:18, 21; 1Fal 19:4“Nayachukia sana haya maisha yangu;
kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia,
nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
210:2 Ay 13:3; 40:1; Isa 3:13; Hos 4:1; 5:1; Mik 6:2; Rum 8:33Nitamwambia Mungu: Usinihukumu,
bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
310:3 Ay 9:24; 22:18; 31:23; Mwa 1:26; Za 138:8; Isa 60:21; 64:8; Za 8:6; 95:6; 100:3Je, inakupendeza wewe kunionea,
kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako,
huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
410:4 Mit 5:21; Yer 16:17; 1Sam 16:7; Ay 11:11; 14:16; Za 11:4; 33:15; Mit 15:3; Yer 11:20-23Je, wewe una macho ya kimwili?
Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
510:5 Za 102:24; 2Pet 3:8; Ay 36:26; Za 39:5; 90:2, 4Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu,
au miaka yako ni kama ile ya mtu,
610:6 Ay 14:16ili kwamba utafute makosa yangu
na kuichunguza dhambi yangu;
710:7 Ay 10:15; 6:29; 11:4; 16:17; Kum 32:39ingawa wajua kuwa mimi sina hatia,
na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
810:8 Za 119:73; Isa 43:7; Mwa 2:7; 2Sam 14:14; Ay 30:15“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya.
Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
910:9 Isa 29:16; 64:8; Mwa 2:7; Ay 7:21; 4:19Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi.
Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
10Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa,
na kunigandisha kama jibini,
1110:11 Za 139:13, 15ukanivika ngozi na nyama,
na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
1210:12 Mwa 2:7; 24:12; 45:5; 1Pet 2:25Umenipa uhai na kunitendea wema,
katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
1310:13 Ay 23:13; Za 115:3“Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako,
nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
1410:14 Kut 34:7; Ay 7:21; 13:27Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona,
wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
1510:15 Ay 9:13; 10:7; Isa 3:11; Za 25:18; 25:16Kama nina hatia, ole wangu!
Hata kama ningekuwa sina hatia,
siwezi kukiinua kichwa changu,
kwa kuwa nimejawa na aibu,
na kuzama katika mateso yangu.
1610:16 Yer 5:6; Hos 5:14; 1Sam 28:21; Isa 38:16; Za 7:2; 1Sam 17:38; Mao 3:10Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba,
na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
1710:17 1Fal 21:10; Ay 16:8; Rut 1:21Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu
na kuzidisha hasira yako juu yangu;
nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
1810:18 Ay 3:8; 3:26; Za 22:9; Mhu 4:2; 7:1“Kwa nini basi ulinitoa tumboni?
Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
1910:19 Ay 3:3; Yer 15:10Laiti nisingekuwako kamwe,
au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja
kutoka tumboni kwenda kaburini!
2010:20 Mhu 6:12; Ay 7:16-19; 5:7; Za 39:13; Ay 9:25Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha?
Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
2110:21 2Sam 12:23; Za 88:12; 23:4; Ay 3:13; Mhu 2:9kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena,
katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
2210:22 Ay 3:5; 1Sam 2:9nchi ya giza kuu sana,
yenye uvuli wa giza na machafuko,
mahali ambapo hata nuru ni giza.”