约伯的回应
1约伯回答说:
2“不错,我知道你所言不虚,
但人怎能在上帝面前算为义人?
3人若想与祂辩驳,
千次也不能胜一次。
4祂充满智慧,能力无比,
谁能抗拒祂还可平安无恙?
5祂可猝然挪动群山,
在怒气中把山翻倒。
6祂震动大地,使其挪位,
以致地的支柱摇撼。
7祂一声令下,
太阳便不再升起,
众星也不再发光。
8祂独自铺展穹苍,
步行在海浪之上。
9祂创造了北斗星、参星、昴星及南天的星座。
10祂行的奇事不可测度,
奇迹不可胜数。
11祂经过我身旁,我却看不见;
祂从旁边掠过,我也无法察觉。
12祂若夺取,谁能阻挡?
谁敢问祂,‘你做什么?’
13上帝不会忍怒不发,
海怪9:13 “海怪”希伯来文是“拉哈伯”,下同26:12。的帮手必屈膝在祂脚前。
14“因此,我怎敢与祂辩驳?
怎敢措辞与祂理论?
15我纵然无辜,也无法申诉,
只能乞求我的审判者施恩。
16即使我呼唤祂的时候,祂回应我,
我仍不相信祂会垂听我的声音。
17祂用暴风摧毁我,
无故地使我饱受创伤。
18祂不肯让我喘息,
祂使我尝尽苦头。
19若论力量,祂甚强大;
若上公堂,谁敢传祂?
20即使我清白无辜,我的口也会认罪;
即使我纯全无过,祂也会判我有罪。
21我虽纯全无过,也已毫不在乎,
我厌恶我的生命。
22因为,我认为都是一样,
纯全无过的人和恶人都会被祂毁灭。
23灾祸突然夺走人命时,
祂嘲笑无辜者的遭遇。
24大地落入恶人手中,
蒙敝审判官眼睛的不是祂是谁?
25“我的年日比信差还快,
匆匆而过,不见幸福。
26我的岁月疾驰如快船,
快如急降抓食的老鹰。
27即使我说要忘掉怨恨,
抛开愁容,强颜欢笑,
28诸多的患难仍使我惧怕,
我知道祂9:28 “祂”希伯来文是“你”,下同31节。不承认我无辜。
29既然我被定为有罪,
又何必徒然挣扎?
30即使我用雪水净身,
用碱水洗手,
31祂仍会把我扔进污坑,
连我的衣服也嫌弃我。
32祂并非我的同类,
我无法与祂争辩,一起对薄公堂。
33我俩中间没有仲裁者,
无人为我们断定是非9:33 “为我们断定是非”希伯来文是“把手按在我们身上”。。
34若能拿开祂责打我的刑杖,
使我不再受祂的惊吓,
35我就会放胆发言,不必对祂心存恐惧,
但现在我却不能这样9:35 “但现在我却不能这样”或译“因为我知道自己的清白”。。
Hotuba Ya Tatu Ya Ayubu
Hakuna Mpatanishi
1Kisha Ayubu akajibu:
29:2 Za 143:2; Rum 3:20; Ay 4:17“Naam, najua hili ni kweli.
Lakini mwanadamu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu?
39:3 Ay 9:32; 40:5; Za 44:21Ingawa mtu angetaka kushindana naye,
asingaliweza kumjibu Mungu hata mara moja miongoni mwa elfu moja.
49:4 Mit 2:6; 8:6; Mhu 2:26; 2Nya 13:12; Isa 40:26; Ay 5:9; 12:13; Za 93:4; Dan 2:20Hekima yake ni kubwa sana na ana uwezo mwingi mno.
Ni nani aliyempinga naye akawa salama?
59:5 Isa 13:13; Mik 1:4; Mt 17:20; Za 18:7Aiondoa milima bila yenyewe kujua
na kuipindua kwa hasira yake.
69:6 Hag 2:6; 2:21; Ebr 12:26; Isa 2:19-21; 2Sam 22:8Aitikisa dunia kutoka mahali pake
na kuzifanya nguzo zake zitetemeke.
79:7 Yer 4:23; Eze 32:8; Isa 34:4; Sef 1:15; Yoe 2:2Husema na jua, nalo likaacha kuangaza;
naye huizima mianga ya nyota.
89:8 Mwa 1:1, 8; Isa 48:13; Ay 38:16; Za 77:19; Mit 8:28; Hab 3:15Yeye peke yake huzitandaza mbingu
na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.
99:9 Mwa 1:16; Ay 38:31; 32:22; Amo 5:8Yeye ndiye Muumba wa nyota za Dubu,9:9 Nyota za Dubu hapa ina maana ya kundi la nyota za kaskazini, ambazo zinaitwa kwa jina la Dubu Mkuu. na Orioni,9:9 Orioni ni kundi la nyota kubwa.
Kilimia,9:9 Kilimia ni jina lililopewa nyota saba (Taurus). na makundi ya nyota za kusini.
109:10 Kum 6:22; Za 72:18; 136:4; Yer 32:20Hutenda maajabu yasiyopimika,
miujiza isiyoweza kuhesabiwa.
119:11 Ay 23:8-9; 35:14Anapopita karibu nami, siwezi kumwona;
apitapo mbele yangu, simtambui.
129:12 Hes 23:20; Isa 43:13; 14:27; Dan 2:21; Rum 9:20; Ay 11:10Anapochukua kwa ghafula, ni nani awezaye kumzuia?
Ni nani awezaye kumwambia, ‘Unafanya nini?’
139:13 Hes 14:18; Ay 10:15; Za 78:38; Isa 3:11; 6:5Mungu hataizuia hasira yake;
hata jeshi kubwa la Rahabu9:13 Rahabu hapa ina maana ya Misri kwa fumbo. lenye nguvu
linajikunyata miguuni pake.
149:14 Ay 9:3“Ni vipi basi mimi nitaweza kubishana naye?
Nawezaje kupata maneno ya kuhojiana naye?
159:15 Ay 10:15; 13:19; 34:5-6; 40:5; 42:7; Mwa 18:25; 1Sam 24:12; Za 50:6; 96:13Ingawa sikuwa na hatia, sikuweza kumjibu;
ningeweza tu kumsihi Mhukumu wangu anihurumie.
169:16 Ay 13:22; Rum 9:20-21Hata kama ningemwita kwenye shauri, naye akakubali,
siamini kama angenisikiliza.
179:17 Isa 38:13; 38:13; Yn 1:4; Za 10:10; 83:15; Ay 16:12; 30:16; 16:14; 2:3Yeye angeniangamiza kwa dhoruba
na kuongeza majeraha yangu pasipo na sababu.
189:18 Ay 7:19; 10:1Asingeniacha nipumue
bali angenifunika kabisa na huzuni kuu.
199:19 Ay 9:4; Neh 9:32; Yer 49:19Kama ni suala la nguvu, yeye ni mwenye nguvu!
Kama ni suala la haki, ni nani awezaye kumwita mahakamani?
209:20 Ay 9:15Hata kama sikuwa na hatia, kinywa changu kingenihukumu;
kama sikuwa na kosa, kingenitangaza kuwa mwenye hatia.
219:21 Mwa 6:9; Hes 11:15; Ay 7:15-16; 6:29; 10:1“Ingawa mimi sina kosa,
haileti tofauti katika nafsi yangu;
nauchukia uhai wangu.
229:22 Mhu 9:2-3; Eze 21:3; Ay 3:19Hayo yote ni sawa; ndiyo sababu nasema,
‘Yeye huwaangamiza wasio na makosa pamoja na waovu.’
239:23 Hab 1:3; 1Pet 1:7; Ebr 11:36; Za 64:4Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula,
yeye hudhihaki kule kukata tamaa kwa yule asiye na kosa.
249:24 Za 73:3; 73:12; Mhu 8:11; Mao 3:9; Ay 1:15, 17; 10:3; 40:8; Yer 12:1; Isa 41:20Wakati nchi inapoangukia mikononi mwa waovu,
yeye huwafunga macho mahakimu wake.
Kama si yeye, basi ni nani?
259:25 Ay 7:6, 7; 10:20“Siku zangu zapita mbio kuliko mkimbiaji;
zinapita upesi bila kuona furaha hata kidogo.
269:26 Isa 18:2; Ay 39:29; Za 46:3; Hab 1:8Zinapita upesi kama mashua ya mafunjo,
mfano wa tai ayashukiaye mawindo kwa ghafula.
279:27 Ay 7:11Kama nikisema, ‘Nitayasahau malalamiko yangu,
nitabadili sura ya uso wangu na kutabasamu,’
289:28 Kut 20:7; 34:7; Ay 3:25; 7:21bado ninahofia mateso yangu yote,
kwa kuwa ninajua hutanihesabu kuwa sina hatia.
299:29 Ay 9:3, 15; Za 37:33Kwa kuwa nimeonekana mwenye hatia,
kwa nini basi nitaabishwe bure?
309:30 Hos 13:12; Isa 1:15-18; Mal 3:2; Ay 31:7; 14:4, 17; 17:9; Yer 2:22Hata kama ningejiosha kwa sabuni
na kutakasa mikono yangu kwa magadi,
319:31 Za 35:7; 40:2; 51:9; Yer 2:22; Nah 3:6; Mal 2:3; Ay 7:20wewe ungenitupa kwenye shimo la utelezi
kiasi kwamba hata nguo zangu zingenichukia sana.
329:32 Rum 9:20; Mhu 6:10; Za 143:2; Hes 23:19“Yeye si mwanadamu kama mimi ili niweze kumjibu,
ili kwamba tuweze kushindana naye mahakamani.
339:33 1Sam 2:25; Ay 9:19Laiti angelikuwepo mtu wa kutupatanisha kati yetu,
aweke mkono wake juu yetu sote wawili,
349:34 Ay 6:4; 21:9; Za 39:10; 73:5; 32:4mtu angeliiondoa fimbo ya Mungu juu yangu,
ili utisho wake usiendelee kunitia hofu.
359:35 Ay 7:15; 13:21; 7:11Ndipo ningenena naye, bila kumwogopa,
lakini kama ilivyo kwangu sasa, sitaweza.