提摩太后书 1 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

提摩太后书 1:1-18

1保罗奉上帝的旨意,按照在基督耶稣里所应许的生命做基督耶稣的使徒, 2写信给我亲爱的儿子提摩太

愿父上帝和我们的主基督耶稣的恩典、怜悯和平安临到你!

勉励忠心事奉

3我日夜不停地为你祷告,对我效法祖先用清洁的良心事奉的上帝充满了感恩。 4每逢想起你流泪的情形,我就渴望见你,好使我的心充满喜乐。 5我记得你那真诚无伪的信心。你外祖母罗以和你母亲友妮基首先有了这信心,我深信你也有。 6因此我提醒你,要把上帝在我把手按在你身上时赐给你的恩赐充分发挥出来。 7因为上帝赐给我们的不是懦弱的心,而是刚强、仁爱、自律的心。

8所以,你不要羞于为我们的主做见证,也不要以我这为主被囚的人为耻,要靠着上帝的能力和我一同为福音受苦。 9上帝拯救了我们,并呼召我们过圣洁的生活,不是因为我们的行为,而是出于祂的旨意和恩典。早在万古以前,祂就在基督耶稣里把这恩典赐给我们了, 10如今借着我们救主基督耶稣的降世显明了出来。基督已经消灭了死亡,借着福音将不朽的生命彰显了出来。

11我为了这福音受委派做传道人、使徒和教师。 12我因此而遭受这些苦难,但我不以为耻,因为我知道我所信的是谁,也深信祂能保守祂所托付我的1:12 祂所托付我的”又可翻译为“我所信托祂的”。,一直到那日1:12 那日”指保罗站在基督面前交账的日子。13你要以在基督耶稣里的信心和爱心,把从我这里听到的正确教导当作典范遵守, 14要靠着住在我们里面的圣灵牢牢守住交托给你的美善之道。

15你知道几乎所有亚细亚的人都离弃了我,其中包括腓吉路黑摩其尼16愿主怜悯阿尼色弗一家人,他常常鼓励我,不以我被囚禁为耻。 17他在罗马的时候千方百计寻访我的下落,直到找着我为止。 18你很清楚,他从前在以弗所怎样在各个方面服侍我。愿主再来时格外地怜悯他。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Timotheo 1:1-18

11:1 1Tim 6:19; Tit 1:2; 1Kor 1:1; Efe 3:6; Ebr 9:15Paulo mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kulingana na ile ahadi ya uzima uliomo ndani ya Kristo Yesu.

21:2 Mdo 16:1; 1Tim 1:2Kwa Timotheo, mwanangu mpendwa:

Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba, na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.

Shukrani Na Kutiwa Moyo

31:3 Rum 1:10; Efe 1:16; Mdo 22:3; 23:1; 24:14; 27:23; Gal 1:14Ninamshukuru Mungu, ninayemtumikia kwa dhamiri safi, kama walivyofanya baba zangu, ninapokukumbuka usiku na mchana katika maombi yangu. 41:4 Mdo 20:37; 2Tim 4:9; 4:21Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha. 51:5 1Tim 1:5; 2Tim 3:15Nimekuwa nikiikumbuka imani yako ya kweli, waliokuwa nayo bibi yako Loisi na mama yako Eunike na ambayo mimi ninasadiki sasa wewe pia unayo. 61:6 Mdo 6:6; 1The 5:19; 1Tim 4:14Kwa sababu hii nakukumbusha uchochee ile karama ya Mungu, iliyowekwa ndani yako nilipokuwekea mikono yangu. 71:7 Yer 42:11; Rum 8:15; Lk 24:49; Mdo 1:8Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali roho ya nguvu, ya upendo na ya moyo wa kiasi.

81:8 Rum 1:16; Efe 3:1; 2Tim 2:3-9; 4:5Kwa hiyo usione haya kushuhudia kuhusu Bwana wetu, wala usinionee haya mimi niliye mfungwa kwa ajili yake. Bali uishiriki pamoja nami taabu ya Injili, kwa kadiri ya nguvu ya Mungu, 91:9 Rum 8:28; 1Tim 1:1; Tit 3:4; 1The 4:7; Ebr 3:1; Rum 3:20; 9:11; Tit 3:5ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele. 101:10 Efe 1:9; 1Kor 15:26, 54; Rum 16:26; Kol 1:26; Tit 1:3; 1Pet 1:20; Ebr 2:14Lakini sasa imefunuliwa kwa kudhihirishwa kwake Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amebatilisha mauti na kuleta uzima na kutokufa kwa njia ya Injili. 111:11 1Tim 2:7; Mdo 9:15; Efe 3:7, 8; 2Tim 4:17Nami nimewekwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu wa Injili hii. 121:12 1Tim 6:20; 1Kor 1:8; Efe 3:1; 2Tim 2:9; 1Pet 4:19; 1Tim 6:20; 2Tim 4:8Hii ndiyo sababu ninateseka namna hii, lakini sioni haya kwa maana ninamjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kuwa anaweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hadi siku ile.

131:13 Tit 1:9; 1Tim 1:14Shika kwa uthabiti kielelezo cha mafundisho yenye uzima yale uliyoyasikia kwangu, pamoja na imani na upendo katika Kristo Yesu. 141:14 Rum 8:9; 1Tim 6:20; Rum 8:11Ilinde ile amana uliyokabidhiwa kwa Roho Mtakatifu akaaye ndani yetu.

151:15 2Tim 4:10-16, 19; Mdo 19:10Unajua ya kuwa watu wote katika Asia wameniacha, miongoni mwao wamo Filego na Hermogene.

161:16 Mt 5:7; 2Tim 4:19; Flm 7; Mdo 28:20Bwana akawahurumie watu wa nyumbani mwa Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha mara kwa mara wala hakuionea aibu minyororo yangu. 17Badala yake, alipokuwa Rumi, alinitafuta kwa bidii mpaka akanipata. 181:18 Ebr 6:10; Mt 25:34-40; 2The 1:10; 1Tim 1:18Bwana na amjalie kupata rehema zake siku ile! Nawe unajua vyema jinsi alivyonisaidia huko Efeso.