弥迦书 3 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

弥迦书 3:1-12

斥责以色列的领袖

1我说:“雅各的首领,以色列家的统治者啊!

你们要听!

难道你们不知正义吗?

2你们憎恶良善,

喜爱邪恶,

剥下我百姓的皮,

从他们的骨头上剔肉。

3你们吃我百姓的肉,

剥我百姓的皮,

打碎他们的骨头,

把他们切成块,

如同下在锅里、放进釜中的肉。

4你们遭难的时候,

向耶和华呼求,

祂必不应允你们。

因你们的恶行,

祂必掩面不顾你们。”

5耶和华说:

“使我的子民步入歧途的先知啊,

你们向供养你们的人报平安,

出言攻击那不供养你们的人。

6因此,黑夜必笼罩你们,

使你们看不见异象;

幽暗必临到你们,

使你们无法占卜。

太阳要因你们而沉落,

白昼变为黑夜。

7假先见必抱愧,

占卜者必蒙羞。

因得不到上帝的答复,

你们必羞愧地捂着脸。”

8至于我,

因有耶和华的灵,

我充满权能、正义和力量,

能向雅各宣告他的过犯,

以色列宣告他的罪恶。

9雅各家的首领,以色列家的统治者啊,

你们要听!

你们厌恶正义,颠倒是非;

10以血腥建立锡安

以罪恶建造耶路撒冷

11城里的首领为贪赃而枉法,

祭司为银子而施教,

先知为钱财而占卜。

他们却宣称倚靠耶和华,说:

“耶和华不是在我们当中吗?

灾祸不会临到我们。”

12所以,因你们的缘故,

锡安必像田地被耕犁,

耶路撒冷必沦为废墟,

圣殿山必成为荒林之冈。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mika 3:1-12

Viongozi Na Manabii Wakemewa

13:1 Yer 5:5Kisha nikasema,

“Sikilizeni enyi viongozi wa Yakobo,

enyi watawala wa nyumba ya Israeli.

Je, hampaswi kujua hukumu,

23:2 Za 53:4; Eze 22:27ninyi mnaochukia mema

na kupenda maovu;

ninyi mnaowachuna watu wangu ngozi

na kuondoa nyama kwenye mifupa yao;

33:3 Za 14:4; Sef 3:3; Ay 24:14; Eze 11:7; 24:4-5; 34:4ninyi mnaokula nyama ya watu wangu,

mnaowachuna ngozi

na kuvunja mifupa yao vipande vipande;

mnaowakatakata kama nyama

ya kuwekwa kwenye sufuria

na kama nyama

ya kuwekwa kwenye chungu?”

43:4 Kum 1:45; 31:17; 1Sam 8:18; Yer 11:11; Isa 58:4; Mit 1:28; Ay 15:31; Eze 8:18Kisha watamlilia Bwana,

lakini hatawajibu.

Wakati huo atawaficha uso wake

kwa sababu ya uovu waliotenda.

53:5 Isa 3:12; 9:16; 53:6; 56:10; Mt 7:15; Yer 4:10Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kuhusu manabii wanaowapotosha watu wangu,

mtu akiwalisha,

wanatangaza ‘amani’;

kama hakufanya hivyo,

wanaandaa kupigana vita dhidi yake.

63:6 Isa 8:19-22; 29:10; Eze 7:26; 12:24Kwa hiyo usiku utawajieni, msiweze kuwa na maono,

na giza, msiweze kubashiri.

Jua litawachwea manabii hao,

nao mchana utakuwa giza kwao.

73:7 Yer 6:15; Mik 7:16; Isa 44:25; Es 6:12; Za 74:9; Amu 8:11; Law 13:45; Eze 20:3Waonaji wataaibika

na waaguzi watafedheheka.

Wote watafunika nyuso zao

kwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu.”

83:8 1Kor 2:1, 4; Isa 58:1; 57:12; 61:2Lakini kuhusu mimi, nimejazwa nguvu,

nimejazwa Roho wa Bwana,

haki na uweza,

kumtangazia Yakobo kosa lake,

na Israeli dhambi yake.

93:9 Isa 58:1-2; 1:23Sikieni hili, enyi viongozi wa nyumba ya Yakobo,

enyi watawala wa nyumba ya Israeli,

mnaodharau haki

na kupotosha kila lililo sawa;

103:10 Yer 22:13, 17; Isa 59:7; Mik 7:2; Hab 2:12; Nah 3:1; Eze 22:27mnaojenga Sayuni kwa kumwaga damu

na Yerusalemu kwa uovu.

113:11 Kut 23:8; Law 19:15; Mal 2:9; Eze 22:12; Mik 7:3; Yer 6:13; 1Tim 1:11; 1Sam 4:5-6; Eze 13:19; 34:2; Isa 1:23; 10:20; 56:11; Yer 6:13; 7:4; Mao 4:13; Hos 4:8, 18Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa,

na makuhani wake wanafundisha kwa malipo,

nao manabii wake wanatabiri kwa fedha.

Hata hivyo wanamwegemea Bwana na kusema,

“Je, Bwana si yumo miongoni mwetu?

Hakuna maafa yatakayotupata.”

123:12 2Fal 25:9; Isa 6:11; Mik 1:6; Za 79:1; Yer 52:13; 22:6; Mao 5:18; Eze 5:14Kwa hiyo kwa sababu yenu,

Sayuni italimwa kama shamba,

Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto,

na kilima cha Hekalu

kitakuwa kichuguu

kilichofunikwa na vichaka.