Guds hjemvendte folk
1En valfartssang.
Da Herren bragte os hjem til Zion,
var det, som om vi drømte.
2Vi lo og jublede, vi sang af glæde.
Folkeslagene udbrød: „Herren har gjort et under for sit folk!”
3Ja, Herren har gjort et under for os,
vi jubler af glæde.
4Herre, velsign os igen og giv os fremgang,
som regnen fylder de udtørrede floder.
5De, der såede med gråd,
skal høste med glæde.
6Grædende spredte de sæden ud,
syngende bringer de høsten i hus.
Zaburi 126
Kurejezwa Kutoka Utumwani
Wimbo wa kwenda juu.
1126:1 Ezr 1:1-3; Za 85:1; Hos 6:11; Mdo 12:9Bwana alipowarejeza mateka Sayuni,
tulikuwa kama watu walioota ndoto.
2126:2 Mwa 21:6; Ay 8:21; Kum 10:21; Za 65:8; 71:19; Lk 1:49Vinywa vyetu vilijaa kicheko,
ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe.
Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa,
“Bwana amewatendea mambo makuu.”
3126:3 Za 9:2; 16:11; 106:21; Yoe 2:21, 26Bwana ametutendea mambo makuu,
nasi tumejaa furaha.
4126:4 Kum 30:3; Za 107:35; Isa 43:19; 51:3Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa,
kama vijito katika Negebu.
5126:5 Za 16:11; 20:5; 23:6; 6:6; 80:5; Yer 50:4; Gal 6:9; Isa 12:1-3; 35:10; 51:11; 60:15; 61:7; Yer 31:6-7, 12Wapandao kwa machozi
watavuna kwa nyimbo za shangwe.
6Yeye azichukuaye mbegu zake
kwenda kupanda, huku akilia,
atarudi kwa nyimbo za shangwe,
akichukua miganda ya mavuno yake.