Tryghed hos Herren
1En valfartssang.
De, der stoler på Herren,
står fast som Zions bjerg.
I evighed rokkes de ikke.
2Som bjergene omslutter Jerusalem,
vil Herren altid omslutte sit folk.
3Onde konger skal ikke herske for evigt
over det land, Gud gav de gudfrygtige,
for ellers ville de glemme deres gudsfrygt.
4Herre, vis godhed mod de gode,
de, som har et oprigtigt hjerte.
5Men de, som slår ind på ondskabens vej,
vil Herren jage bort sammen med de onde.
Fred være med Israel!
Zaburi 125
Usalama Wa Watu Wa Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
1125:1 Za 46:5; 48:2-5; 48:12; Isa 33:20Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni,
ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2125:2 1Nya 21:15; Za 32:10; Zek 2:4-5Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,
ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake
sasa na hata milele.
3125:3 Es 4:11; Za 89:22; Mit 22:8; Isa 13:11; 14:5; 24:10Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi
waliopewa wenye haki,
ili wenye haki wasije wakatumia
mikono yao kutenda ubaya.
4125:4 Za 119:65; 36:10Ee Bwana, watendee mema walio wema,
wale walio wanyofu wa moyo.
5125:5 Ay 23:11; Isa 59:8; Za 92:7; 128:6; Mit 2:15; 17:6; Gal 6:16Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka,
Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya.
Amani iwe juu ya Israeli.