Yona 2 – ASCB & NEN

Asante Twi Contemporary Bible

Yona 2:1-10

1Yona firii apataa no yam bɔɔ Awurade ne Onyankopɔn mpaeɛ sɛ. 2Ɔkaa sɛ,

“Mʼahohia mu mefrɛɛ Awurade,

na ɔgyee me so.

Mefiri adamena ase tɔnn srɛɛ mmoa

na wotiee me sufrɛ.

3Wotoo me twenee ebunu mu

wɔ ɛpo ase tɔnn,

na ɔhweam twaa me ho hyiaeɛ;

wʼasorɔkye ne mframa

bu faa me so.

4Na mekaa sɛ, ‘Wɔapam me afiri wʼanim;

nanso mede mʼani bɛkyerɛ

wʼasɔredan kronkron no bio’

5Nsuo a abu afa me so no bɔɔ me hu,

ebunu no twaa me ho hyiaeɛ;

ɛpo mu wira kyekyeree me tiri ho.

6Memem kɔɔ mmepɔ no ase pɛɛ;

asase ase kaa me hyɛɛ mu afebɔɔ.

Nanso wogyee me nkwa firii amena mu,

Ao Awurade, me Onyankopɔn.

7“Ɛberɛ a me nkwa resene akɔ no,

mekaee wo Awurade,

na me mpaeɛbɔ foro baa wo nkyɛn,

wɔ wʼasɔredan kronkron no mu.

8“Wɔn a wɔde wɔn ho bata ahoni huhuo ho no

hwere adom a anka ɛyɛ wɔn dea.

9Nanso me, mede ayɛyie nnwom

bɛbɔ afɔdeɛ ama wo.

Deɛ mahyɛ ho bɔ no, mɛyɛ.

Nkwagyeɛ firi Awurade.”

10Na afei, Awurade hyɛɛ apataa no ma ɔfee Yona too asase so.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yona 2:1-10

Maombi Ya Yona Katika Tumbo La Nyangumi

1Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake. 22:2 Za 18:6; 120:1; 86:13; Mao 3:55Akasema:

“Katika shida yangu nalimwita Bwana,

naye akanijibu.

Kutoka kina cha kaburi2:2 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. niliomba msaada,

nawe ukasikiliza kilio changu.

32:3 Za 88:6; 42:7; 2Sam 22:5Ulinitupa kwenye kilindi,

ndani kabisa ya moyo wa bahari,

mikondo ya maji ilinizunguka,

mawimbi yako yote na viwimbi

vilipita juu yangu.

42:4 Za 31:22; Yer 7:15; Isa 49:14; 1Fal 8:38, 48Nikasema, ‘Nimefukuziwa

mbali na uso wako,

hata hivyo nitatazama tena

kuelekea Hekalu lako takatifu.’

52:5 Za 69:1-2Maji yaliyonimeza yalinitisha,

kilindi kilinizunguka;

mwani2:5 Mwani hapa maana yake ni magugu yaotayo kwenye sakafu ya kilindi cha bahari. ulijisokota kichwani pangu.

62:6 Ay 28:9; 17:16; 33:18; Za 30:3Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima,

makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele.

Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni,

Ee Bwana Mungu wangu.

72:7 Za 11:4; 18:6; 77:11-12; 34:6; 130:2; Yer 2:13; 2Nya 30:27“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka,

nilikukumbuka wewe, Bwana,

nayo maombi yangu yalikufikia wewe,

katika Hekalu lako takatifu.

82:8 1Sam 12:21; Yer 10:8; 2Fal 17:15; Za 31:6; Kum 32:21“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa

hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.

92:9 Hos 14:2; Ebr 13:15; Hes 30:2; Kut 15:2; Za 50:14; 116:14; 66:13-15; 3:8; 42:4Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,

nitakutolea dhabihu.

Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza.

Wokovu watoka kwa Bwana.”

102:10 Yn 1:17; Mt 8:9Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.