Daniel 3 – APSD-CEB & NEN

Ang Pulong Sa Dios

Daniel 3:1-30

Nagmando si Nebucadnezar nga Simbahon ang Estatuwa

1Unya nagpahimo si Haring Nebucadnezar ug estatuwa nga bulawan.3:1 estatuwa nga bulawan: Ang buot ipasabot, estatuwa nga gihaklapan ug bulawan. Ang gitas-on niini 90 ka piye ug ang gilapdon siyam ka piye. Gipahimutang niya kini didto sa patag sa Dura, sa probinsya sa Babylon. 2-3Pagkahuman, gipatawag ni Haring Nebucadnezar ang mga gobernador, mga mayor, mga tinugyanan, mga magtatambag, mga tresurero, mga maghuhukom, mga tigdumala, ug ang uban pang mga opisyal sa mga probinsya aron motambong sa pagdedikar sa estatuwa. Sa dihang didto na sila nagtindog atubangan sa estatuwa, 4misinggit ang tigbalita, “Kamong mga katawhan sa nagkalain-laing nasod, tribo, ug pinulongan, 5pangluhod kamo ug simbaha ninyo ang estatuwa nga bulawan nga gipatindog ni Haring Nebucadnezar inigkadungog ninyo sa tingog sa budyong, plawta, kudyapi, harpa, ug uban pang mga instrumento. 6Si bisan kinsa nga dili mosimba ilabay diha-diha sa nagadilaab nga hudno.” 7Busa pagkadungog nila sa tingog sa mga instrumento miluhod dayon sila ug misimba sa estatuwa.

8Niadtong panahona, adunay mga taga-Babylon3:8 taga-Babylon: o, manalagna. Sa literal, Kaldeanhon. nga miduol sa hari ug miakusar sa mga Judio. 9Miingon sila kang Haring Nebucadnezar, “Hinaut pa nga motaas pa ang imong kinabuhi, Halangdon nga Hari! 10Dili ba nagmando ka man nga ang tanan nga makadungog sa tingog sa mga instrumento moluhod ug mosimba sa estatuwa nga bulawan, 11ug ang dili moluhod ug mosimba ilabay sa nagadilaab nga hudno? 12Angay kang masayod nga wala motuman sa imong sugo ang mga Judio nga imong gipadumala sa probinsya sa Babylon nga sila si Shadrach, Meshach, ug Abednego. Wala sila moalagad sa imong mga dios, ug wala sila mosimba sa estatuwa nga bulawan nga imong gipatindog.”

13Pagkadungog niadto sa hari labihan gayod ang iyang kasuko. Gipatawag dayon niya sila si Shadrach, Meshach, ug Abednego. 14Pag-abot nila gipangutana sila sa hari, “Tinuod ba nga wala kamo moalagad sa akong mga dios o mosimba sa estatuwa nga bulawan nga akong gipatindog? 15Karon, pangandam kamo sa pagsimba sa estatuwa inigkadungog ninyo sa tingog sa mga instrumento. Kay kon dili, diha-diha ilabay kamo sa nagadilaab nga hudno. Tan-awon ta kon may dios ba nga makaluwas kaninyo.”

16Mitubag ang tulo, “Mahal nga Hari, dili na kami kinahanglang mangatarungan pa kanimo bahin niana. 17Kon mao man gayod kana ang mahitabo, luwason kami sa Dios nga among gialagaran gikan nianang nagadilaab nga hudno, ug gikan sa imong mga kamot. 18Apan kon dili niya kami luwason, dili gihapon kami moalagad sa imong mga dios o mosimba sa estatuwa nga bulawan nga imong gipatindog.”

19Tungod sa ilang tubag misamot ang kasuko sa hari kanila, ug makita kini sa iyang dagway. Busa nimando siya nga dugangan ug pito ka pilo ang kainit sa hudno. 20Unya gisugo niya ang iyang kinakusgan nga mga sundalo nga gapuson sila si Shadrach, Meshach, ug Abednego ug ilabay ngadto sa nagadilaab nga hudno. 21Busa gigapos sila ug gilabay didto sa hudno nga nagasul-ob sa ilang mga turban ug kompleto nga mga bisti. 22Tungod sa sugo sa hari nga painiton pag-ayo ang hudno, bisan ang mga sundalo nga naglabay kanila nangamatay tungod sa hilabihan nga kainit. 23Ug silang tulo nga ginapos nahagsa didto sa nagadilaab nga hudno.

24Samtang nagtan-aw si Haring Nebucadnezar kalit nga nakatindog siya sa dakong katingala. Nangutana siya sa iyang mga opisyal, “Dili ba tulo man ka tawong ginapos ang atong gilabay sa kalayo?” Mitubag sila, “Oo, Mahal nga Hari.” 25Miingon ang hari, “Tan-awa ninyo! Upat ang nakita ko nga nagalakaw-lakaw sa kalayo. Dili na sila ginapos ug wala sila maunsa. Ang usa kanila morag anghel.”3:25 anghel: sa literal, anak sa (mga) dios. Tan-awa ang bersikulo 28.

26Busa, miduol si Nebucadnezar sa pultahan sa nagadilaab nga hudno ug gitawag niya sila, “Shadrach, Meshach, ug Abednego, nga mga alagad sa Labing Halangdong Dios, gawas kamo diha! Anhi kamo dinhi!” Ug migawas silang tulo.

27Unya gitapokan sila sa mga gobernador, mga mayor, mga tinugyanan, ug sa ubang mga opisyal sa hari, ug nakita nila nga wala sila maunsa sa kalayo. Ang ilang buhok o bisti wala gayod masunog, ug bisan na lang baho sa aso wala gayod kanila.

28Tungod niadto miingon ang hari, “Dalaygon ang Dios nila ni Shadrach, Meshach, ug Abednego. Gipadala niya ang iyang anghel aron luwason ang iyang mga alagad nga misalig kaniya. Wala sila mosunod sa akong sugo nga mosimba sa estatuwa, ug mas gipalabi pa nila nga ilabay sila sa kalayo kaysa mosimba sa bisan unsang dios gawas sa ilang Dios. 29Busa nagamando ako nga si bisan kinsa nga tawo sa bisan unsa nga nasod, tribo, o pinulongan nga mosulti ug daotan batok sa Dios nila ni Shadrach, Meshach, ug Abednego, tadtaron ug gub-on ang ilang mga balay. Kay wala nay laing dios nga makaluwas sama niini.”

30Ug gihatagan sa hari sila si Shadrach, Meshach, ug Abednego ug mas taas pa nga katungdanan sa probinsya sa Babylon.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Danieli 3:1-30

Sanamu Ya Dhahabu Na Moto Mkali

13:1 Isa 41:24; 46:6; Hab 2:19; Yer 16:20Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu, yenye kimo cha dhiraa sitini,3:1 Dhiraa sitini ni sawa na mita 27. na upana wa dhiraa sita,3:1 Dhiraa sita ni sawa na mita 2.7. akaisimamisha kwenye tambarare ya Dura katika jimbo la nchi ya Babeli. 23:2 Es 1:1; Dan 6:7Kisha mfalme akaita wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wote wa jimbo kuja kuizindua sanamu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha. 33:3 Rum 1:20-23; Mdo 19:34-35; Mt 7:13Basi wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wa jimbo walikusanyika ili kuizindua sanamu ile Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha, nao wakasimama mbele ya hiyo sanamu.

43:4 Dan 6:25; Ufu 10:11; Dan 4:1Ndipo mpiga mbiu akatangaza kwa sauti kubwa, “Enyi watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha, hili ndilo mnaloamriwa kulifanya: 53:5 Dan 4:1Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za sauti za ala za uimbaji, lazima mwanguke chini na kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza ameisimamisha. 63:6 Yer 29:22; Ufu 13:15; Mt 13:42, 50; Dan 5:19; 6:7Mtu yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu sanamu hiyo, atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.”

7Kwa hiyo, mara waliposikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda na aina zote za ala za uimbaji, watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha wakaanguka chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.

83:8 Isa 19:3; Dan 2:10; Ezr 4:12-16Wakati huo baadhi ya Wakaldayo walijitokeza na kuwashtaki Wayahudi. 93:9 Neh 2:3; Dan 6:6; Hos 7:3Wakamwambia Mfalme Nebukadneza, “Ee mfalme, uishi milele! 103:10 Dan 6:12Ee mfalme, umetoa amri kwamba kila mmoja atakayesikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda, zumari na aina zote za ala za uimbaji lazima aanguke chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu, 11na kwamba yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto. 123:12 Dan 2:49; 6:13; Es 3:3Lakini wako baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu ya mambo ya jimbo la Babeli: yaani, Shadraki, Meshaki na Abednego, ambao hawakujali wewe, ee mfalme. Hawaitumikii miungu yako wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”

133:13 Dan 2:12; Mdo 5:25-27; Mk 13:9Mfalme Nebukadneza, akiwa amekasirika na mwenye ghadhabu kali, akawaita Shadraki, Meshaki na Abednego. Hivyo watu hawa wakaletwa mbele ya mfalme, 143:14 Isa 46:1; Yer 50:2naye Nebukadneza akawauliza, “Je, ni kweli kwamba ninyi Shadraki, Meshaki na Abednego hamuitumikii miungu yangu wala kuiabudu sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha? 153:15 Isa 36:18-20; Kut 5:22; 2Nya 32:15; 32:15; Kut 5:22Basi wakati mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za ala za uimbaji, kama mtakuwa tayari kusujudu na kuiabudu hiyo sanamu niliyoitengeneza, vyema sana. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto. Naye ni mungu yupi atakayeweza kuwaokoa ninyi, kutoka mkono wangu?”

163:16 Mt 10:18-19; Dan 1:7Shadraki, Meshaki na Abednego wakamjibu mfalme, “Ee Nebukadneza, hatuhitaji kujitetea mbele zako kuhusu jambo hili. 173:17 Mwa 48:16; Za 18:48; Ay 5:19; 2Kor 1:10; Dan 6:20; Yer 1:8Ikiwa tutatupwa ndani ya tanuru iwakayo moto, Mungu tunayemtumikia anaweza kutuokoa na moto, naye atatuokoa kutoka mkononi mwako, ee mfalme. 183:18 Kut 1:17; Yos 24:15Lakini hata ikiwa hatatuokoa, ee mfalme, tunataka ufahamu kwamba, hatutaitumikia miungu yako wala kuiabudu sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”

193:19 Law 26:18-28Ndipo Nebukadneza akawa na ghadhabu kali sana kwa Shadraki, Meshaki na Abednego, nayo nia yake ikabadilika kwao. Akaagiza tanuru ichochewe moto mara saba kuliko kawaida yake 20na kuwaamuru baadhi ya askari wake wenye nguvu zaidi katika jeshi lake kuwafunga Shadraki, Meshaki na Abednego na kuwatupa ndani ya tanuru iwakayo moto. 21Hivyo watu hawa, walifungwa na kutupwa ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamevaa majoho yao, suruali, vilemba na nguo zao nyingine. 22Amri ya mfalme ilikuwa ya haraka sana na tanuru ilikuwa na moto mkali kiasi kwamba miali ya moto iliwaua wale askari waliowapeleka Shadraki, Meshaki na Abednego. 23Watu hawa watatu walianguka ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamefungwa kwa uthabiti sana.

24Ndipo Mfalme Nebukadneza akashangaa, akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri wake, “Je, hawakuwa watu watatu ambao tuliwafunga na kuwatupa ndani ya moto?”

Washauri wakajibu, “Hakika, ee mfalme.”

25Mfalme akasema, “Tazama! Naona watu wanne wakitembeatembea ndani ya moto, hawajafungwa wala kudhurika, naye mtu yule wa nne anaonekana kama mwana wa miungu.”

26Ndipo Nebukadneza akaukaribia mdomo wa ile tanuru iwakayo moto na kupaza sauti, “Shadraki, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu Sana, tokeni! Njooni hapa!”

Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego wakatoka ndani ya moto. 273:27 Dan 6:7; Ebr 11:32-34; Za 91:3-11; Dan 6:23; Isa 43:2Nao maliwali, wasimamizi, watawala na washauri wa mfalme wakakusanyika kuwazunguka. Waliona kwamba moto haukudhuru miili yao, wala unywele wa vichwa vyao haukuungua, majoho yao hayakuungua, wala hapakuwepo na harufu ya moto kwenye miili yao.

283:28 Za 34:7; Mdo 5:19; Kum 31:20; Ay 13:15; Dan 6:22; Za 97:10; Mdo 12:11Ndipo Nebukadneza akasema, “Ahimidiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, ambaye amemtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake. Walimtumaini na kukaidi amri ya mfalme, nao wakawa tayari kufa kuliko kutumikia au kuabudu mungu mwingine yeyote isipokuwa Mungu wao. 293:29 Dan 6:26-27; Ezr 6:11Kwa hiyo ninaamuru kwamba watu wa taifa lolote au lugha yoyote watakaosema kitu chochote dhidi ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego wakatwe vipande vipande na nyumba zao zifanywe kuwa malundo ya kokoto, kwa maana hakuna mungu mwingine awezaye kuokoa namna hii.”

303:30 Dan 2:49Kisha mfalme akawapandisha vyeo Shadraki, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.