Ezekiel 1 – APSD-CEB & NEN

Ang Pulong Sa Dios

Ezekiel 1:1-28

Ang Unang Panan-awon ni Ezekiel

1-3Ako si Ezekiel nga usa ka pari, anak ni Buzi, ug usa ako sa mga gibihag ngadto sa Babylon. Usa ka adlaw, sa dihang didto ako sa daplin sa Suba sa Kebar kauban sa uban nga mga binihag, nakita kong naabli ang langit ug gigamhan ako sa Ginoo, ug may gipakita siya kanakong mga panan-awon. Nahitabo kini sa ikalimang adlaw sa ikaupat nga bulan sa ika-30 nga tuig.1:1-3 ika-30 nga tuig: Dili klaro kon unsa gyud nga tuig ang gipasabot dinhi. Kini ang ikalimang tuig sa pagkabihag ni Haring Jehoiachin.

4Samtang nagtan-aw ako, nakita ko ang usa ka bagyo gikan sa amihan. Nagpangilat gikan sa mabagang dag-om nga gipalibotan ug kahayag. Ang kilat sa tunga sa dag-om nagasiga nga daw sa naggilak-gilak nga metal. 5Ug sa tunga sa dag-om adunay upat ka buhi nga binuhat nga morag tawo, 6-8apan ang matag usa kanila may upat ka nawong ug upat ka pako. Tul-id ang ilang mga paa, ug ang ilang mga tiil sama sa tiil sa baka ug naggilak-gilak sama sa gipasinaw nga bronsi. Adunay kamot sa tawo ilalom sa ilang tagsa-tagsa ka mga pako, 9ug ang ilang mga pako nagaabot. Dungan silang manglupad bisan asa paingon nga walay lingi-lingi.

10Mao kini ang ilang mga dagway: sa atubangan, dagway ug tawo; sa tuo, dagway ug liyon; sa wala, dagway ug torong baka; ug sa likod, dagway ug agila. 11Ang ilang duha ka mga pako nakabukhad ug nagaabot sa pako sa ilang tapad, ug ang laing duha pa nila ka pako nagatabon sa ilang mga lawas. 12Dungan silang manglupad bisan asa paingon nga walay lingi-lingi. Ug kon asa sila dad-a sa espiritu1:12 espiritu: Tingali ang ilang espiritu o ang Espiritu Santo. didto usab sila mopaingon. 13Daw sa nagdilaab nga baga sila kon tan-awon. May naglabay-labay sa ilang tunga nga daw sa nagsiga nga sulo nga labihan kasulaw. Ug gikan sa sulo may mokilab nga kilat. 14Kini nga mga binuhat nagngadto-nganhi nga daw kilat.

15Samtang nagatan-aw ako sa upat ka buhi nga mga binuhat, may nakita akong ligid diha sa tapad1:15 tapad: o, ubos. sa matag-usa niini nga upat ka binuhat. Kini nga mga ligid nagdapat sa yuta. 16Ingon niini ang hitsura sa mga ligid: Naggilak-gilak kini sama sa mahalong bato nga chrysolite, ug managsama kini ug hitsura nga daw duha ka ligid nga nagkurus, 17busa makaadto kini ug ang buhi nga mga binuhat sa bisan asa nga direksyon nga dili na kinahanglan pang moliso. 18Ang yantas niini habog ug makahahadlok kay nalukop kini ug mga mata.

19Kon asa mopaingon ang buhi nga mga binuhat, kuyog usab ang mga ligid. Ug kon muban ngaon ang mga binuhat, mokawan usab ang mga ligid. 20Ang espiritu sa buhi nga mga binuhat anaa sa mga ligid. Busa kon asa moadto ang espiritu, didto usab moadto ang buhi nga mga binuhat ug ang mga ligid. 21Kon asa mopaingon ang buhi nga mga binuhat, uban usab kanila ang mga ligid. Ug kon magpundo sila, magpundo usab ang mga ligid. Ug kon mokawan sila, muban ngaon usab ang mga ligid, kay ang ilang espiritu anaa sa mga ligid.

22Sa ibabaw sa ulo sa buhi nga mga binuhat may atop-atop nga daw kristal nga naggilak-gilak, ug kahibulongan kini nga tan-awon. 23Sa ilalom niini nagabukhad ang duha ka pako sa matag buhi nga mga binuhat, ug nagaabot ang ilang mga pako sa ilang tapad. Ang laing duha nila ka pako nagatabon sa ilang mga lawas. 24Kon mulupad sila, madungog ko ang kasikas sa ilang mga pako nga sama sa haganas sa tubig, o daw sama sa tingog sa Makagagahom nga Dios, o daw sama sa kasaba sa daghang mga sundalo. Ug kon magpundo sila, tik-upon nila ang ilang mga pako.

25Samtang nagtik-op ang ilang mga pako, may tingog gikan sa ibabaw niadtong atop-atop sa ilang ulohan. 26Ug didto may murag trono nga hinimo gikan sa batong safiro, ug may naglingkod niini nga sama sa tawo. 27Nakita ko nga gikan sa iyang hawak pataas, daw sama siya sa naggilak-gilak nga metal nga daw nagkalayo. Ug gikan sa iyang hawak paubos, daw sama siya sa nagadilaab nga kalayo, ug gilibotan siya sa kahayag nga labihan kasulaw. 28Ang kahayag sa iyang palibot nahisama sa bangaw human sa ulan.

Ingon niadto ang gahom sa Ginoo. Pagkakita ko niadto mihapa ako, ug may nadungog akong tingog nga nakigsulti kanako.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 1:1-28

Viumbe Hai Na Utukufu Wa Bwana

11:1 Kum 21:10; Mt 3:16; Eze 11:24-25; Mdo 7:56; Kut 24:10Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, siku ya tano ya mwezi, wakati nilipokuwa miongoni mwa hao waliokuwa uhamishoni kando ya Mto Kebari, mbingu zilifunguka nami nikaona maono ya Mungu.

21:2 2Fal 24:15; 24:15; 24:12Katika siku ya tano ya mwezi, ilikuwa mwaka wa tano wa kuhamishwa kwa Mfalme Yehayakini, 31:3 2Fal 3:15; Isa 8:11; 2Pet 1:21; Eze 24:24; 3:14, 22; 33:22neno la Bwana lilimjia Ezekieli kuhani, mwana wa Buzi, kando ya Mto Kebari, katika nchi ya Wakaldayo. Huko mkono wa Bwana ulikuwa juu yake.

41:4 Yer 1:14; 23:19; Eze 8:2; Ay 38:1Nilitazama, nikaona dhoruba kubwa ikitoka kaskazini, wingu kubwa sana pamoja likiwa na umeme wa radi likiwa limezungukwa na mwanga mkali. Katikati ya huo moto kulikuwa kama rangi ya manjano ya chuma kinapokuwa ndani ya moto. 51:5 Isa 6:2; Ufu 4:6; Dan 7:13Katika ule moto kulikuwa na kitu kinachofanana na viumbe vinne vyenye uhai. Katika kuonekana kwake vilikuwa na umbo mfano wa mwanadamu, 61:6 Eze 10:14lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne. 71:7 Dan 10:6; Ufu 1:15; Eze 40:3Miguu yao ilikuwa imenyooka, nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za miguu ya ndama, nazo zilimetameta kama shaba iliyosuguliwa. 81:8 Eze 10:8; 10:18, 21Chini ya mabawa yao katika pande zao nne walikuwa na mikono ya mwanadamu. Wote wanne walikuwa na nyuso na mabawa, 91:9 Eze 10:22; 10:11; 1:11nayo mabawa yao yaligusana. Kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja, hawakugeuka walipokuwa wanatembea.

101:10 Eze 10:4; Ufu 4:7; Hes 2:10Kuonekana kwa nyuso zao kulikuwa hivi: Kila mmoja wa wale wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na kwa upande wa kulia kila mmoja alikuwa na uso wa simba, upande wa kushoto alikuwa na uso wa ngʼombe pia kila mmoja alikuwa na uso wa tai. 111:11 Isa 6:2Hivyo ndivyo zilivyokuwa nyuso zao. Mabawa yao yalikunjuliwa kuelekea juu, kila mmoja alikuwa na mabawa mawili ambayo kila moja liligusa bawa la mwenzake kila upande na mabawa mengine mawili yakifunika mwili wake. 121:12 Eze 10:16-19; 10:22Kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja. Popote roho alipotaka kwenda, ndipo walipokwenda pasipo kugeuka. 131:13 Ufu 4:5; Mt 28:3; 2Sam 22:9Kuonekana kwa vile viumbe hai katikati kulikuwa kama makaa ya mawe yanayowaka au kama mienge. Moto ule ulikuwa ukienda mbele na nyuma katikati ya vile viumbe, ulikuwa na mwangaza mkali na katikati ya ule moto kulitoka kimulimuli kama umeme wa radi. 141:14 Zek 4:10; Za 29:7; Amu 13:20Vile viumbe vilipiga mbio kwenda na kurudi, kama vimulimuli vya umeme wa radi.

151:15 Eze 3:13; 10:2; Dan 7:9Nilipokuwa nikitazama vile viumbe hai, niliona gurudumu moja juu ya ardhi kando ya kila kiumbe kikiwa na nyuso zake nne. 161:16 Dan 10:6; Kut 28:20Hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa hayo magurudumu na muundo wake: yalingʼaa kama zabarajadi, nayo yote manne yalifanana. Kila gurudumu lilikuwa na gurudumu jingine ndani yake. 171:17 Eze 1:12; 1:19Yalipokwenda yalielekea upande wowote wa pande nne walipoelekea wale viumbe, magurudumu hayakuzunguka wakati viumbe vile vilipokwenda. 181:18 Mit 15:3; Eze 10:12; Ufu 4:6Kingo zake zilikuwa ndefu kwenda juu na za kutisha, nazo zote nne zilijawa na macho pande zote.

191:19 Eze 1:16, 17Vile viumbe hai vilipokwenda, magurudumu yaliyokuwa kando yao yalisogea na wakati hivyo viumbe hai vilipoinuka kutoka ardhini magurudumu nayo yaliinuka. 201:20 Eze 1:12; 10:17Mahali popote roho alipokwenda wale viumbe nao walikwenda, nayo magurudumu yaliinuka pamoja navyo, kwa sababu roho ya vile viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu. 211:21 Eze 10:9, 12, 17Wakati viumbe vile viliposogea, nayo magurudumu yalisogea, viumbe viliposimama kimya, nayo pia yalisimama kimya, viumbe vilipoinuka juu ya nchi magurudumu yaliinuliwa pamoja navyo kwa kuwa roho ya hivyo viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu.

221:22 Eze 10:1, 5Juu ya vichwa vya hao viumbe hai palikuwa na kitu mfano wa eneo lililokuwa wazi, lililokuwa angavu kabisa na lenye kutisha. 23Chini ya hiyo nafasi mabawa yao yalitanda moja kuelekea jingine, kila mmoja alikuwa na mabawa mengine mawili yaliyofunika mwili wake. 241:24 2Fal 7:6; Ufu 14:2; Dan 10:6; Za 18:13; 46:3; Eze 10:5; 43:2; Ufu 19:6Viumbe wale waliposogea nilisikia sauti ya mabawa yao, kama ngurumo ya maji yaendayo kasi, kama sauti ya Mwenyezi,1:24 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania. kama makelele ya jeshi. Waliposimama kimya walishusha mabawa yao.

25Ndipo ikaja sauti toka juu ya ile nafasi ya wazi iliyokuwa juu ya vichwa vyao, waliposimama mabawa yao yakiwa yameshushwa. 261:26 Kut 24:10; Eze 10:1; Ufu 1:13; Isa 6:1; 1Fal 22:19; Yer 3:17Juu ya ile nafasi ya wazi iliyokuwa juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi. Na juu ya kile kiti cha enzi kulikuwa na umbo mfano wa mwanadamu. 271:27 Eze 8:2Nikaona kwamba kutokana na kile nilichoona kama kiuno chake kuelekea juu alionekana kama chuma inayowaka kana kwamba imejaa moto na kuanzia kiuno kwenda chini alionekana kama moto na mwanga mkali ulimzunguka. 281:28 Mwa 9:13; Ufu 10:1; 4:2; 1:17; Hes 12:8; Kut 24:16; Dan 8:17; Hes 14:5; Lk 2:9; Kut 16:7Kama vile kuonekana kwa upinde wa mvua mawinguni siku ya mvua, ndivyo ulivyokuwa ule mngʼao uliomzunguka.

Hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa utukufu wa Bwana. Nilipouona, nikaanguka kifudifudi, nikasikia sauti ya mtu anaongea.