2พงศ์กษัตริย์ 7 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

2พงศ์กษัตริย์ 7:1-20

1เอลีชากล่าวว่า “จงฟังพระดำรัสขององค์พระผู้เป็นเจ้าองค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสดังนี้ว่า วันพรุ่งนี้เวลาราวๆ นี้ แป้งประมาณ 7.3 ลิตร7:1 ภาษาฮีบรูว่า1 ซีห์เช่นเดียวกับข้อ 16 และ 18 หรือข้าวบาร์เลย์ประมาณ 15 ลิตร7:1 ภาษาฮีบรูว่า2 ซีห์เช่นเดียวกับข้อ 16 และ 18 จะซื้อขายกันด้วยเงินหนัก 1 เชเขล7:1 1 เชเขล คือเงินหนักประมาณ 11.5 กรัม มีค่าเท่ากับค่าแรงสองเดือน เช่นเดียวกับข้อ 16 และ 18 ที่ประตูเมืองสะมาเรีย”

2นายทหารที่ติดตามกษัตริย์กล่าวกับคนของพระเจ้าว่า “ต่อให้องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงเปิดฟ้าสวรรค์ก็จะเป็นไปได้หรือ?”

เอลีชาตอบว่า “เจ้าจะเห็นกับตา แต่เจ้าจะไม่มีโอกาสได้กิน!”

วงล้อมแตก

3มีคนโรคเรื้อน7:3 คำภาษาฮีบรูอาจหมายถึง โรคผิวหนังต่างๆ ไม่จำเป็นต้องหมายถึงโรคเรื้อนเท่านั้น เช่นเดียวกับข้อ 8สี่คนนั่งอยู่ตรงทางเข้าประตูเมือง พวกเขาพูดกันว่า “ทำไมมานั่งรอความตายอยู่ที่นี่? 4เราอยู่ที่นี่ก็จะอดตาย ถ้ากลับเข้าไปในเมืองก็อดตายกันอยู่ดี เราไปสวามิภักดิ์ต่อพวกอารัมกันเถิด ถ้าเขาไว้ชีวิตเรา เราก็อยู่ ถ้าเขาฆ่าเรา เราก็ตาย”

5ตอนพลบค่ำพวกเขาพากันไปยังค่ายพักอารัม แต่ไม่มีใครอยู่ที่นั่นเลย 6เพราะองค์พระผู้เป็นเจ้าทรงบันดาลให้กองทัพอารัมได้ยินเสียงรถม้าศึก เสียงควบม้า เสียงกองทัพใหญ่ จึงพูดกันว่า “กษัตริย์อิสราเอลจ้างพวกฮิตไทต์และกษัตริย์อียิปต์มาโจมตีเราแล้ว!” 7พวกเขาจึงเตลิดหนีไปเมื่อพลบค่ำ ทิ้งเต็นท์ ม้า ลา และข้าวของทุกอย่างไว้ แล้วหนีเอาชีวิตรอด

8เมื่อคนโรคเรื้อนเหล่านั้นมาถึงริมค่าย ก็เข้าไปในเต็นท์และกินดื่ม พวกเขาขนเงินทองและเสื้อผ้าออกมาแล้วซ่อนไว้ พวกเขากลับมาอีกและเข้าไปในเต็นท์อื่น แล้วขนของไปเก็บซ่อนไว้

9แล้วพวกเขาพูดกันว่า “ทำอย่างนี้ไม่ถูก นี่เป็นข่าวดี แล้วเราไม่ยอมบอกใคร หากรอจนถึงวันพรุ่งนี้จะต้องมีโทษหนัก เรารีบกลับไปรายงานทางพระราชวังกันดีกว่า”

10ฉะนั้นพวกเขาจึงกลับมาร้องบอกยามรักษาการณ์ประตูเมืองว่า “พวกเราได้ออกไปที่ค่ายของชาวอารัม พบว่าม้าและลาถูกผูกไว้ เต็นท์ก็เป็นระเบียบดี แต่ไม่มีใครอยู่เลยสักคน” 11ยามรักษาการณ์จึงตะโกนแจ้งข่าวให้ทางพระราชวังทราบ

12กษัตริย์ตื่นบรรทม แล้วตรัสกับทหารทั้งหลายในคืนนั้นว่า “เราจะบอกพวกเจ้าให้ว่า นี่เป็นแผนของอารัม เขารู้ว่าเราอดอยากจึงทิ้งค่ายไปหลบซ่อนตัวอยู่ในทุ่งนา และคิดว่า ‘พวกเขาจะออกมาแน่ๆ เราจะได้จับพวกเขาและบุกเข้ายึดเมือง’ ”

13ทหารคนหนึ่งทูลว่า “เราน่าจะส่งสายสืบไปดูลาดเลา ให้พวกเขาใช้ม้าที่ยังเหลืออยู่สักห้าตัว ถ้าเกิดอะไรขึ้น ก็ไม่ได้สูญเสียอะไรไปมากกว่าอยู่ที่นี่ซึ่งก็ต้องตายเหมือนกับพวกเราชาวอิสราเอลที่เหลือ”

14ดังนั้นเขาเลือกรถม้าศึกมาสองคันพร้อมม้า และกษัตริย์ส่งพวกเขาออกไปยังกองทัพอารัม พระองค์ตรัสสั่งพวกเขาว่า “จงไปดูว่าเกิดอะไรขึ้น” 15พวกเขาตามไปถึงแม่น้ำจอร์แดน พบเสื้อผ้าและเครื่องใช้ไม้สอยซึ่งพวกอารัมทิ้งไว้ตลอดทางเนื่องจากหนีเตลิดไปอย่างชุลมุน แล้วพวกเขากลับมาทูลกษัตริย์ 16ประชาชนจึงกรูกันออกไปยึดข้าวของในค่ายอารัม จึงเป็นจริงตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าได้ตรัสไว้คือ แป้งประมาณ 7.3 ลิตร หรือข้าวบาร์เลย์ประมาณ 15 ลิตร ขายกันในราคาเพียง 1 เชเขลในวันนั้น

17กษัตริย์ทรงแต่งตั้งนายทหารองครักษ์คนนั้นให้ดูแลที่ประตูเมือง แต่เขาถูกประชาชนเหยียบตายที่นั่น ตามที่คนของพระเจ้าได้ทำนายไว้เมื่อวันก่อน คราวที่กษัตริย์เสด็จมาที่บ้านของเขา 18เหตุการณ์เป็นไปตามที่คนของพระเจ้าได้กล่าวกับกษัตริย์ว่า “วันพรุ่งนี้เวลาราวๆ นี้แป้งประมาณ 7.3 ลิตร หรือข้าวบาร์เลย์ประมาณ 15 ลิตร จะซื้อขายกันด้วยเงินหนัก 1 เชเขลที่ประตูเมืองสะมาเรีย”

19แต่นายทหารของกษัตริย์ได้แย้งคนของพระเจ้าว่า “ต่อให้องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงเปิดฟ้าสวรรค์ก็จะเป็นไปได้หรือ?” คนของพระเจ้าตอบว่า “เจ้าจะเห็นกับตา แต่เจ้าจะไม่มีโอกาสได้กิน!” 20และก็เป็นไปตามนั้นทุกประการ เพราะเขาถูกประชาชนเหยียบตายที่ประตูเมือง

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wafalme 7:1-20

17:1 2Fal 7:16Elisha akasema, “Sikiliza neno la Bwana. Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja7:1 Kipimo kimoja cha unga ni sawa na kilo 3. cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha,7:1 Shekeli moja ya fedha ni sawa na gramu 11. na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”

27:2 Mwa 7:11; Mal 3:10Yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake akamwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Bwana atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?”

Elisha akajibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”

Mwisho Wa Kuzingirwa

37:3 Law 13:45-46; Hes 5:1-4Basi kulikuwepo na watu wanne wenye ukoma katika ingilio la lango la mji. Wakaambiana, “Kwa nini tukae hapa mpaka tufe? 4Kama tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Kama tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kwenye kambi ya Waaramu na tujisalimishe. Kama wakituacha hai, tutaishi; kama wakituua, basi na tufe.”

5Wakati wa giza la jioni, wakaondoka na kwenda kwenye kambi ya Waaramu. Walipofika mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu, 67:6 Kut 14:24; Yer 46:21kwa kuwa Bwana alilifanya jeshi la Waaramu lisikie sauti kama ya magari ya vita, farasi na jeshi kubwa, kiasi kwamba waliambiana, “Tazama, mfalme wa Israeli ameajiri mfalme wa Wahiti na mfalme wa Wamisri kuja kutushambulia sisi!” 77:7 Za 48:4-6; Mit 28:1Kwa hiyo wakaondoka na kukimbia wakati wa giza la jioni na kuacha mahema yao, farasi wao na punda wao. Wakakimbia kuokoa maisha yao na kuacha kila kitu ndani ya kambi kama kilivyokuwa.

87:8 Isa 33:23Wale watu wenye ukoma walipofika mwanzoni mwa kambi, wakaingia kwenye mojawapo ya mahema. Wakala na kunywa, na kuchukua fedha, dhahabu na nguo, wakaenda kuvificha. Wakarudi na kuingia katika hema jingine, na kuchukua baadhi ya vitu kutoka ndani yake na kuvificha pia.

9Kisha wakaambiana, “Hili tunalolifanya sio jema. Hii ni siku ya habari njema, nasi tunakaa kimya. Kama tukisubiri mpaka mapambazuko, maafa yatatupata. Twendeni mara moja tukatoe habari hizi katika jumba la mfalme.”

10Hivyo wakaenda mjini na kuwaita walinzi wa langoni, wakawaambia, “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu lakini hapakuwepo na mtu huko, hata sauti ya mtu yeyote, ila farasi na punda waliofungwa na mahema yaliyoachwa kama yalivyokuwa.” 11Walinzi wa langoni wakatangaza habari ile kwa sauti kuu, na taarifa hii ikatolewa ndani ya jumba la mfalme.

127:12 Yos 8:4Mfalme akaamka usiku na kuwaambia maafisa wake, “Nitawaambia kile Waaramu walichotufanyia. Wanajua kwamba tuna njaa, hivyo wameacha kambi yao ili kujificha mashambani, wakifikiri, ‘Kwa hakika watatoka nje ya mji, nasi tutawakamata wakiwa hai na kuingia ndani ya mji.’ ”

13Mmoja wa maafisa wake akajibu, “Waamuru watu wachache wakawachukue farasi watano kati ya wale waliobaki katika mji. Hatima yao itakuwa kama ya Waisraeli wote walio hapa. Watakuwa tu kama Waisraeli hawa ambao wanangoja kifo. Hivyo tuwatumeni wajue kumetendeka nini.”

14Ndipo wakachagua magari mawili ya vita pamoja na farasi wake, naye mfalme akawatuma wafuatilie jeshi la Waaramu. Akawaamuru waendeshaji akisema, “Nendeni mkaone ni nini kilichotokea.” 15Wakawafuatia hadi Yordani, nao wakakuta barabara yote ikiwa imetapakaa nguo na vyombo vya Waaramu walivyokuwa wamevitupa walipokuwa wanatoroka. Basi wale wajumbe wakarudi na kutoa taarifa kwa mfalme. 167:16 Isa 33:4Kisha watu wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.

177:17 2Fal 7:2Basi mfalme alikuwa amemweka yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake awe msimamizi wa lango. Nao watu wakamkanyaga walipoingia langoni, naye akafa, kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa ametangulia kusema wakati mfalme alipofika nyumbani kwake. 18Ikatokea kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa amemwambia mfalme: “Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha, na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”

197:19 2Fal 7:2Yule afisa alikuwa amemwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Bwana atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Naye yule mtu wa Mungu alikuwa amemjibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!” 20Ndivyo hasa ilivyotokea kwake, kwa kuwa watu walimkanyaga langoni, naye akafa.