2ซามูเอล 10 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

2ซามูเอล 10:1-19

ดาวิดพิชิตชาวอัมโมน

(1พศด.19:1-19)

1ต่อมากษัตริย์นาหาชแห่งอัมโมนสิ้นพระชนม์ และฮานูนราชโอรสขึ้นครองราชย์แทน 2ดาวิดทรงรำพึงว่า “เราจะแสดงความกรุณาต่อฮานูนบุตรนาหาชเหมือนที่บิดาของเขาเคยแสดงความกรุณาต่อเรา” ดาวิดจึงทรงส่งทูตไปแสดงความเสียใจต่อฮานูนที่สูญเสียราชบิดา

แต่เมื่อคนของดาวิดมายังดินแดนอัมโมน 3พวกขุนนางของฮานูนทูลกษัตริย์ของตนว่า “ฝ่าพระบาททรงคิดว่าดาวิดให้เกียรติแก่ราชบิดาของฝ่าพระบาทโดยส่งคนเหล่านี้มาแสดงความเห็นใจต่อฝ่าพระบาทหรือ? ดาวิดส่งพวกเขามาสอดแนมดูลาดเลาก่อนเข้าโจมตีไม่ใช่หรือ?” 4ดังนั้นฮานูนจึงจับคนของดาวิดโกนเคราออกครึ่งหนึ่ง และตัดเสื้อผ้าตรงสะโพกออกแล้วปล่อยไป

5เมื่อดาวิดทรงทราบก็ส่งผู้สื่อสารไปพบคนเหล่านั้นเพราะพวกเขารู้สึกอับอายขายหน้าอย่างมาก กษัตริย์ตรัสว่า “จงพักอยู่ที่เยรีโคจนกว่าเคราจะขึ้นดังเดิมแล้วค่อยกลับมา”

6ถึงตอนนี้ชาวอัมโมนตระหนักดีว่าได้ยั่วยุดาวิดอย่างร้ายแรงเพียงใด พวกเขาจึงจ้างทหารราบชาวอารัมจากเบธเรโหบและโศบาห์ 20,000 คน จากกษัตริย์เมืองมาอาคาห์ 1,000 คน และจากเมืองโทบ 12,000 คน

7เมื่อดาวิดทรงทราบเช่นนั้น ก็ส่งโยอาบและกองทัพอิสราเอลทั้งหมดไป 8คนอัมโมนออกมาตั้งแนวรบที่ทางเข้าประตูเมือง ขณะที่ชาวอารัมจากโศบาห์ เรโหบ โทบ และมาอาคาห์อยู่ในที่โล่งนอกเมือง

9โยอาบเห็นว่ากองกำลังของศัตรูตั้งแนวรบอยู่ทั้งข้างหน้าและข้างหลัง ก็จัดกำลังทหารฝีมือดีที่สุดของอิสราเอลส่วนหนึ่งไปรับมือชาวอารัม 10โยอาบให้ทหารส่วนที่เหลืออยู่ภายใต้การบัญชาการของอาบีชัยน้องชายของเขา และจัดทัพเคลื่อนออกไปรับมือกับชาวอัมโมน 11โยอาบกล่าวว่า “ถ้าพวกอารัมแข็งแกร่งเกินกำลังของเรา เจ้าจงมาช่วยเรา แต่ถ้าพวกอัมโมนแข็งแกร่งเกินกำลังของเจ้า เราจะไปช่วยเจ้า 12จงเข้มแข็งและให้เราต่อสู้อย่างกล้าหาญ เพื่อพี่น้องร่วมชาติของเราและเพื่อนครแห่งพระเจ้าของเรา องค์พระผู้เป็นเจ้าจะทรงกระทำตามที่ทรงเห็นชอบ”

13แล้วโยอาบกับกองทหารก็บุกเข้าโจมตี ชาวอารัมก็ถอยหนี 14เมื่อชาวอัมโมนเห็นชาวอารัมล่าถอย พวกเขาก็ถอยหนีจากอาบีชัยเข้าไปในเมือง โยอาบจึงกลับจากการสู้รบกับชาวอัมโมนและมายังกรุงเยรูซาเล็ม

15หลังจากชาวอารัมเห็นว่าถูกอิสราเอลรุกไล่ก็รวมกำลังกันอีก 16ฮาดัดเอเซอร์นำคนอารัมจากอีกฟากหนึ่งของแม่น้ำยูเฟรติสมาสมทบ พวกเขามายังเฮลาม มีโชบัคแม่ทัพของฮาดัดเอเซอร์เป็นผู้บัญชาการ

17เมื่อดาวิดทรงทราบข่าว พระองค์ทรงระดมพลอิสราเอลทั้งหมดและข้ามแม่น้ำจอร์แดนมายังเฮลาม ชาวอารัมตั้งแนวรบประจันหน้ากับดาวิดและสู้รบกัน 18แต่พวกเขาพ่ายหนีต่อหน้าอิสราเอล และดาวิดทรงสังหารพลรถรบของพวกเขาเจ็ดร้อยคนกับทหารราบ10:18 ภาษาฮีบรูว่าทหารม้า(ดู1พศด.19:18)อีกสี่หมื่นคน และทรงสังหารโชบัคแม่ทัพของพวกเขาตายที่นั่น 19เมื่อบรรดากษัตริย์ซึ่งขึ้นกับฮาดัดเอเซอร์ เห็นว่าพวกเขาพ่ายแพ้อิสราเอล ก็ขอสงบศึกและยอมเป็นเมืองขึ้นของอิสราเอล

ชาวอารัมจึงไม่กล้ามาช่วยชาวอัมโมนสู้รบอีกเลย

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 10:1-19

Daudi Awashinda Waamoni

(1 Nyakati 19:1-19)

110:1 1Sam 11:1; 2Sam 17:27; 1Nya 19:1Baada ya muda, mfalme wa Waamoni akafa, naye Hanuni mwanawe akaingia mahali pake. 210:2 1Sam 11:1Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kama vile baba yake alivyonitendea mimi wema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe kuonyesha wema wake kwa Hanuni kuhusu baba yake.

Watu wa Daudi walipofika katika nchi ya Waamoni, 310:3 Hes 21:32wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni bwana wao, “unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kukutumia watu ili kuonyesha masikitiko? Je, Daudi hakuwatuma watu hawa kuchunguza na kuupeleleza mji ili kuupindua?” 410:4 Law 19:27; Isa 7:20; 15:2; 50:6; 52:14; Yer 48:37; Eze 5:1; Isa 20:4; 3:17; Yer 13:22; Eze 16:37; Mik 1:11; Nah 3:5Basi Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa kila mmoja ndevu zake nusu, akakata mavazi yao nyuma katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.

5Daudi alipoambiwa jambo hili, akatuma wajumbe ili kwenda kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote ndipo mje.”

610:6 Mwa 34:30; 2Sam 8; 5; Hes 13:21; 1Sam 14:47; Kum 3:14; Amu 11:3-5; 18:28; Kut 5:21; 1Sam 13:4Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, wakaajiri askari wa miguu 20,000 Waaramu kutoka Beth-Rehobu na Soba, pia mfalme wa Maaka pamoja na watu 1,000, na vilevile watu 12,000 kutoka Tobu.

710:7 2Sam 2:18; 23:8Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji. 8Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati Waaramu wa Soba, wa Rehobu, watu wa Tobu na Maaka walikuwa peke yao kwenye eneo la wazi.

9Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu. 1010:10 1Sam 26:6Akawaweka waliobaki chini ya uongozi wa Abishai nduguye na kuwapanga dhidi ya Waamoni. 11Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itawabidi mje kunisaidia. Lakini kama Waamoni watawazidi nguvu, basi nitakuja kuwasaidia. 1210:12 Kum 1:21; 31:6; Efe 6:10; Amu 10:15; Neh 4:14; 1Kor 16:3; 1Sam 3:18; 2Nya 19:11; 1Sam 4:9; 2Sam 15:26; 22:31-32; Za 20:7; 37:4-5; Mit 29:25Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. Bwana atafanya lile lililo jema machoni pake.”

13Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake. 1410:14 2Sam 8:12Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao wakakimbia mbele ya Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi kutoka kupigana na Waamoni na kufika Yerusalemu.

15Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena. 16Hadadezeri akaagiza Waaramu walioletwa kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakaenda Helamu pamoja na Shobaki jemadari wa jeshi la Hadadezeri akiwaongoza.

17Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote, wakavuka Mto Yordani, wakaenda Helamu. Waaramu wakapanga vikosi vyao vya askari kukabiliana na kupigana dhidi ya Daudi. 18Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari mia saba na askari wao wa miguu 40,000. Vilevile alimpiga Shobaki jemadari wa jeshi lao, naye akafa huko. 1910:19 2Sam 8:6; 1Fal 11:25; 22:31; 2Fal 5:1; Mwa 14:4Wafalme wote waliokuwa wanamtumikia Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya amani na Waisraeli na wakawa chini yao.

Hivyo Waaramu wakaogopa kuwasaidia Waamoni tena.