โยนาห์ 3 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

โยนาห์ 3:1-10

โยนาห์ไปยังนีนะเวห์

1แล้วมีพระดำรัสจากองค์พระผู้เป็นเจ้ามาถึงโยนาห์เป็นครั้งที่สองว่า 2“จงไปนีนะเวห์นครใหญ่ และประกาศแก่ชาวกรุงนั้นตามที่เราสั่งเจ้า”

3โยนาห์ก็เชื่อฟังพระดำรัสขององค์พระผู้เป็นเจ้าและไปยังนีนะเวห์ นครนั้นใหญ่มาก ต้องใช้เวลาสามวันจึงเดินทางทั่ว 4ในวันแรกโยนาห์ตั้งต้นเดินเข้าไปในกรุงนั้น เขาประกาศว่า “อีกสี่สิบวันนีนะเวห์จะถูกทำลาย” 5ชาวนีนะเวห์ก็เชื่อพระเจ้า พวกเขาประกาศให้มีการถืออดอาหาร แล้วชาวกรุงทุกคนตั้งแต่ผู้ใหญ่ที่สุดจนถึงผู้น้อยที่สุดสวมเสื้อผ้ากระสอบ

6เมื่อกษัตริย์นีนะเวห์ทรงทราบเรื่องนี้ ก็ทรงลุกขึ้นจากบัลลังก์ ถอดฉลองพระองค์ออก เอาเสื้อผ้ากระสอบคลุมพระองค์ และประทับในกองฝุ่นธุลี 7แล้วทรงออกประกาศในกรุงนีนะเวห์ว่า

“โดยพระราชกฤษฎีกาของกษัตริย์ และขุนนางทั้งหลาย

“ห้ามไม่ให้ผู้ใดหรือสัตว์ตัวใดกินหรือดื่มอะไร 8แต่ให้ทั้งคนและสัตว์ห่มตัวด้วยผ้ากระสอบ ให้ทุกคนทูลอ้อนวอนพระเจ้าอย่างเร่งด่วน และให้เลิกทำชั่ว เลิกการทารุณ 9ใครจะรู้ได้ พระเจ้าอาจจะทรงอดกลั้นพระทัยไว้ และด้วยพระเมตตา พระองค์อาจจะทรงหันจากพระพิโรธอันรุนแรง เพื่อเราจะไม่ต้องพินาศ”

10เมื่อพระเจ้าทอดพระเนตรการกระทำของพวกเขาและเห็นเขาเลิกทำชั่ว ก็ทรงเอ็นดูสงสารและไม่ได้ทำลายพวกเขาตามที่ทรงคาดโทษไว้

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yona 3:1-10

Yona Aenda Ninawi

13:1 Yon 1:1Ndipo neno la Bwana likamjia Yona mara ya pili: 2“Ondoka uende katika mji mkubwa wa Ninawi, ukautangazie ujumbe ninaokupa.”

3Yona akalitii neno la Bwana naye akaenda Ninawi. Basi Ninawi ulikuwa mji maarufu sana, ilichukua siku tatu kuuzunguka. 43:4 Yer 18:7-103:4 Kum 18:22Siku ya kwanza, Yona aliingia mjini. Akatangaza: “Baada ya siku arobaini Ninawi utaangamizwa.” 53:5 Mt 12:41; 11:21; Dan 9:3; Lk 11:32Watu wa Ninawi wakamwamini Mungu, wakatangaza kufunga, watu wote kuanzia mkubwa sana hadi yule mdogo kabisa, wakavaa nguo za gunia.

63:6 Es 4:1-3; Yer 6:26; Mik 1:10; Ay 2:8-13; Eze 27:30-31; Mao 3:29Habari zilipomfikia mfalme wa Ninawi, aliondoka kwenye kiti chake cha enzi, akavua majoho yake ya kifalme, akajifunika nguo ya gunia kisha akaketi chini mavumbini. 73:7 2Nya 20:3; Ezr 10:6; Yoe 2:15Ndipo akatoa tangazo katika Ninawi yote:

“Kwa amri ya mfalme na wakuu wake:

“Msiruhusu mtu yeyote au mnyama, makundi ya ngʼombe au wanyama wengine wafugwao, kuonja kitu chochote, msiwaruhusu kula wala kunywa. 83:8 Za 130:1; Yon 1:6; Isa 1:16; Eze 33:11; Dan 4:27; Yer 25:5; 7:3; Ay 16:17Bali wanadamu na wanyama wafunikwe kwa nguo za gunia. Kila mmoja afanye hima kumwomba Mungu. Waziache njia zao mbaya na udhalimu ulio mikononi mwao. 93:9 2Sam 12:22; Yer 18:8; Yoe 2:14; Za 85:3Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”

103:10 Amo 7:6; Yer 18:8; Kut 32:14Mungu alipoona walivyofanya na jinsi walivyogeuka kutoka njia zao mbaya, akawa na huruma wala hakuleta maangamizi juu yao kama alivyokuwa ameonya.