เอเสเคียล 42 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เอเสเคียล 42:1-20

ห้องสำหรับปุโรหิต

1แล้วชายผู้นั้นพาข้าพเจ้ามายังลานชั้นนอกตรงทิศเหนือ และพามายังห้องต่างๆ ตรงข้ามกับลานพระวิหารและตรงข้ามกับผนังด้านนอกทางทิศเหนือ 2ตึกซึ่งมีประตูหันหน้าไปทางเหนือยาว 100 ศอก และกว้าง 50 ศอก42:2 คือ ยาวประมาณ 50 เมตร กว้างประมาณ 25 เมตร 3ทั้งในส่วนที่เป็นระยะ 20 ศอก42:3 คือ ประมาณ 10 เมตร จากลานชั้นในและในส่วนตรงกันข้ามกับทางเดินของลานชั้นนอกมีระเบียงซึ่งหันหน้าเข้าหากันสามชั้น 4หน้าห้องต่างๆ เป็นทางเดินภายในกว้าง 10 ศอก42:4 คือ ประมาณ 5 เมตร และยาว 100 ศอก42:4 คือ ประมาณ 50 เมตร เช่นเดียวกับข้อ 8 ประตูห้องเหล่านี้อยู่ทางเหนือ 5ห้องชั้นบนแคบกว่าเพราะระเบียงกินเนื้อที่มากกว่าระเบียงของห้องชั้นล่างและชั้นกลางของตึก 6ห้องต่างๆ บนชั้นสามไม่มีเสาหานเหมือนที่ลาน เนื้อที่พื้นห้องจึงแคบกว่าที่ชั้นล่างและชั้นกลาง 7มีผนังด้านนอกที่อยู่ทางด้านหน้าของห้องขนานกับห้องต่างๆ และลานชั้นนอกยาว 50 ศอก42:7 คือ ประมาณ 25 เมตร เช่นเดียวกับข้อ 8 8ในขณะที่ห้องแถวด้านข้างถัดจากลานชั้นนอกยาว 50 ศอก ห้องแถวที่ด้านข้างใกล้สถานนมัสการที่สุดยาว 100 ศอก 9ห้องชั้นล่างมีทางเข้าด้านตะวันออกเมื่อเข้ามาจากลานชั้นนอก

10ทางด้านใต้42:10 ภาษาฮีบรูว่าทางด้านตะวันออกตลอดความยาวของผนังลานชั้นนอก มีห้องต่างๆ ติดกับลานพระวิหารและตรงกันข้ามกับผนังชั้นนอก 11ซึ่งมีทางเดินตรงหน้าห้อง ห้องเหล่านี้เหมือนกับห้องทางทิศเหนือซึ่งกว้างยาวเท่ากัน และมีทางออกคล้ายคลึงกันและขนาดใกล้เคียงกัน คล้ายคลึงกับประตูทางเหนือ 12คือประตูของห้องทางทิศใต้ มีประตูตรงต้นทางที่ขนานกับกำแพงซึ่งทอดยาวไปทางตะวันออก ซึ่งเป็นทางเข้าไปในห้องเหล่านั้น

13แล้วเขาบอกข้าพเจ้าว่า “ห้องทางเหนือและทางใต้ซึ่งหันหน้าไปหาลานพระวิหารคือห้องที่ปุโรหิตผู้เข้าเฝ้าองค์พระผู้เป็นเจ้า จะรับประทานเครื่องบูชาอันบริสุทธิ์ที่สุด ที่นั่นเป็นที่วางเครื่องบูชาบริสุทธิ์ที่สุด ทั้งธัญบูชา เครื่องบูชาไถ่บาป และเครื่องบูชาลบความผิด เพราะสถานที่นั้นบริสุทธิ์ 14เมื่อปุโรหิตเข้าสู่ที่บริสุทธิ์ จะไม่ออกไปสู่ลานชั้นนอกจนกว่าจะได้ถอดเครื่องแต่งกายซึ่งสวมขณะปฏิบัติหน้าที่ออกเสียก่อน เพราะสิ่งเหล่านี้ล้วนบริสุทธิ์ ปุโรหิตจะสวมเครื่องแต่งกายอื่นๆ ก่อนจะเข้าไปยังส่วนที่มีไว้สำหรับประชาชน”

15เมื่อเขาวัดข้างในบริเวณพระวิหารเสร็จแล้ว เขาพาข้าพเจ้าออกมาทางประตูตะวันออกและวัดอาณาบริเวณโดยรอบ 16เขาใช้ไม้วัดวัดด้านตะวันออกได้ 500 ศอก42:16 คือ ประมาณ 250 เมตร เช่นเดียวกับข้อ 17,18,19 และ 20 17วัดด้านเหนือได้ 500 ศอก 18เขาใช้ไม้วัดวัดด้านใต้ได้ 500 ศอก 19แล้วเขาหันไปวัดด้านตะวันตกโดยใช้ไม้วัดก็วัดได้ 500 ศอก 20เขาวัดอาณาบริเวณทั้งสี่ด้าน มีกำแพงล้อมรอบ เขาวัดได้กว้างยาวด้านละ 500 ศอก เพื่อแยกที่บริสุทธิ์จากที่สาธารณะ

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 42:1-20

Vyumba Vya Makuhani

142:1 Kut 27:9; Eze 40:17; 41:12-14Ndipo yule mtu akaniongoza kuelekea kaskazini mpaka kwenye ua wa nje na kunileta mpaka kwenye vyumba vinavyoelekeana na ua wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje upande wa kaskazini. 2Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini. 342:3 Eze 41:15-16Mbele ya zile dhiraa ishirini za ule ua wa ndani unaoelekeana na ile njia ya ua wa nje, kuliinuka vyumba virefu kimoja baada ya kingine vya ghorofa tatu. 442:4 Eze 46:19Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi na urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa upande wa kaskazini. 5Basi vyumba vya juu vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia42:5 Ujia ina maana ya njia ndani ya nyumba. ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya jengo. 6Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati. 7Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini. 8Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja. 942:9 Eze 44:5; 46:19Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.

1042:10 Eze 41:12-14; 42:1Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba 1142:11 Eze 42:4vyenye ujia unayopita mbele yake. Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa kaskazini, 12ndivyo ilivyokuwa milango ya vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.

1342:13 Kut 30:20; Eze 40:46; Law 6:29; 14:13; Kut 29:31; Kum 21:5; Hes 18:9-10; Yer 41:5; Eze 41:12-14Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo vinaelekeana na ukumbi wa Hekalu ni vyumba vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani ambao humkaribia Bwana watakula zile sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka zile sadaka takatifu sana, yaani, sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia, kwa kuwa mahali ni patakatifu. 1442:14 Law 16:23; Kut 28:40-43; Eze 44:19; Kut 29:9; Law 8:7-9; Kut 29:4-9Mara makuhani waingiapo mahali patakatifu, hawaruhusiwi kwenda kwenye ukumbi wa nje mpaka wayaache mavazi ambayo walivaa wakiwa wanahudumu, kwa kuwa hayo mavazi ni matakatifu. Inawapasa kuvaa mavazi mengine kabla hawajakaribia eneo lililo wazi kwa ajili ya watu.”

15Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka: 16Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 50042:16 Dhiraa 500 ni sawa na mita 225. 17Akapima upande wa kaskazini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia. 18Tena akapima upande wa kusini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia. 19Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia. 2042:20 Eze 40:5; Zek 2:5-6; Eze 45:2; Ufu 21:16; Eze 22:26; 43:12Hivyo akapima eneo katika pande zote nne. Lilikuwa na ukuta kulizunguka wenye urefu wa dhiraa 500 na upana wa dhiraa 500, uliotenganisha mahali Patakatifu na eneo la watu wote.