เอเสเคียล 40 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เอเสเคียล 40:1-49

บริเวณพระวิหารใหม่

1ในวันที่สิบต้นปีที่ยี่สิบห้าซึ่งเราตกเป็นเชลยหรือปีที่สิบสี่หลังจากกรุงแตก ในวันนั้นพระหัตถ์ขององค์พระผู้เป็นเจ้าอยู่เหนือข้าพเจ้าและทรงนำข้าพเจ้าไปที่นั่น 2ในนิมิตของพระเจ้านั้นพระองค์ทรงนำข้าพเจ้ามายังดินแดนอิสราเอล และทรงวางข้าพเจ้าไว้บนภูเขาที่สูงมาก ทางด้านทิศใต้ของภูเขานั้นมีอาคารบ้านเรือนซึ่งดูเหมือนเป็นเมืองหนึ่ง 3พระองค์ทรงนำข้าพเจ้าไปที่นั่น และข้าพเจ้าพบชายคนหนึ่งมีรูปลักษณ์เปล่งปลั่งคล้ายทองสัมฤทธิ์ยืนอยู่ที่ทางเข้า มือถือเชือกป่านเส้นหนึ่งและไม้วัดอันหนึ่ง 4ชายผู้นั้นกล่าวกับข้าพเจ้าว่า “บุตรมนุษย์เอ๋ย จงมองให้เต็มตา จงฟังให้เต็มหู และจงเอาใจใส่ทุกสิ่งทุกอย่างที่เราจะสำแดงให้แก่เจ้า เพราะพระเจ้าพาเจ้ามาที่นี่ก็เพื่อการนี้ จงแจ้งทุกสิ่งที่เจ้าเห็นนั้นแก่พงศ์พันธุ์อิสราเอล”

ประตูด้านตะวันออกสู่ลานชั้นนอก

5ข้าพเจ้าเห็นกำแพงล้อมรอบบริเวณพระวิหาร ไม้วัดในมือเขาผู้นั้นยาว 6 ศอกยาว40:5 คือ ประมาณ 3 เมตร เช่นเดียวกับข้อ 12 หนึ่งในหกของไม้วัดนั้นยาว 1 ศอก40:5 คือ ประมาณครึ่งเมตร เช่นเดียวกับข้อ 12และ 1 ฝ่ามือ40:5 คือ ประมาณ 8 เซนติเมตร เขาวัดกำแพงได้หนาหนึ่งไม้วัดและสูงหนึ่งไม้วัด

6แล้วเขาไปยังประตูด้านตะวันออกและขึ้นบันไดไป แล้ววัดธรณีประตูลึกหนึ่งไม้วัด40:6 ภาษาฮีบรูว่าลึกหนึ่งไม้วัด ธรณีประตูแรกลึกหนึ่งไม้วัด 7สองฟากทางเดินของประตูด้านตะวันออกมีห้องยามฟากละสามห้อง แต่ละห้องเป็นสี่เหลี่ยมจัตุรัสกว้างยาวห้องละหนึ่งไม้วัด ผนังกั้นระหว่างห้องยามแต่ละห้องหนา 5 ศอก40:7 คือ ประมาณ 2.5 เมตร เช่นเดียวกับข้อ 48 ทางเข้าติดกับมุขซึ่งหันหน้าไปทางพระวิหารลึกหนึ่งไม้วัด

8แล้วเขาวัดมุขของประตูทางเข้านี้ 9วัดความลึกได้ 8 ศอก40:9 คือ ประมาณ 4 เมตร และมีเสาหนา 2 ศอก40:9 คือ ประมาณ 1 เมตร มุขของประตูทางเข้านี้หันไปทางพระวิหาร

10ห้องยามทั้งสองฟากซึ่งอยู่ด้านในประตูด้านตะวันออกมีขนาดเดียวกัน และความหนาของผนังกั้นระหว่างห้องก็มีขนาดเท่ากัน 11แล้วเขาวัดความกว้างของมุขประตูได้ 10 ศอก40:11 คือ ประมาณ 5 เมตรและความยาว 13 ศอก40:11 คือ ประมาณ 6.5 เมตร 12ด้านหน้าของแต่ละห้องมีกำแพงสูง 1 ศอก และห้องยามเหล่านั้นเป็นสี่เหลี่ยมจัตุรัส มีขนาดกว้างและยาว 6 ศอก 13แล้วเขาวัดขนาดทางเข้าจากริมสุดของผนังด้านหลังของห้องไปจดริมสุดของผนังด้านหลังของห้องตรงกันข้ามเป็นระยะ 25 ศอก40:13 คือ ประมาณ 12.5 เมตร 14เขาวัดระยะตามขวางของผนังกั้นห้องตลอดด้านในของทางเข้าจนถึงมุข40:14 ภาษาฮีบรูว่าผนังกั้นหน้าลานพระวิหารได้ 60 ศอก40:14 คือ ประมาณ 30 เมตร 15จากทางเข้าถึงริมสุดของมุขวัดได้ 50 ศอก40:15 คือ ประมาณ 25 เมตร 16รอบมุขนี้มีหน้าต่างซึ่งแคบเข้ามาข้างในอยู่ด้านบนของห้องยามและผนังกั้นห้อง ส่วนหนาของผนังกั้นห้องสลักลวดลายต้นอินทผลัม

ลานชั้นนอก

17แล้วเขาผู้นั้นนำข้าพเจ้ามายังลานชั้นนอก ที่นั่นข้าพเจ้าเห็นห้องต่างๆ และทางเดินขึ้นรอบลาน นับตลอดทางเดินมีสามสิบห้อง 18ทางเดินนี้ทอดยาวตลอดความยาวของทางเข้า นี่เป็นทางเดินตอนล่าง 19แล้วเขาวัดระยะจากด้านในของทางเข้าตอนล่างถึงด้านนอกของลานชั้นในได้ 100 ศอก40:19 คือ ประมาณ 50 เมตร เช่นเดียวกับข้อ 23,27 และ 47 ทั้งด้านตะวันออกและด้านเหนือ

ประตูด้านเหนือ

20แล้วเขาวัดความกว้างและความยาวของประตูด้านเหนือซึ่งนำไปสู่ลานชั้นนอก 21ห้องยามซึ่งมีด้านละสามห้อง ผนังกั้นห้องและมุขล้วนมีขนาดเดียวกับประตูแรก คือยาว 50 ศอกและกว้าง 25 ศอก40:21 คือ ยาวประมาณ 25 เมตร กว้างประมาณ 12.5 เมตร เช่นเดียวกับข้อ 25,29,33 และ 36 22หน้าต่าง มุข และลวดลายต้นอินทผลัม ล้วนมีขนาดเดียวกับที่ประตูด้านตะวันออก บันไดที่ทอดขึ้นไปนั้นมีเจ็ดขั้นซึ่งมีมุขอยู่ตรงกันข้าม 23ประตูสู่ลานชั้นในถัดจากประตูทิศเหนือ มีลักษณะเดียวกับประตูตะวันออก เขาวัดจากประตูหนึ่งไปยังอีกประตูหนึ่งได้ 100 ศอก

ประตูด้านใต้

24แล้วเขานำข้าพเจ้าไปยังด้านใต้ ข้าพเจ้าเห็นประตูที่หันหน้าไปทางทิศใต้ เขาวัดเสาประตูและมุขซึ่งมีขนาดเดียวกับที่อื่นๆ 25ทางเข้าและมุขมีหน้าต่างแคบเข้าไปด้านในอยู่รอบๆ เหมือนหน้าต่างที่ประตูอื่นๆ และยาว 50 ศอก กว้าง 25 ศอก 26บันไดที่ทอดขึ้นไปมีเจ็ดขั้น ตรงข้ามกันคือมุข ส่วนหนาของผนังกั้นแต่ละด้านมีลวดลายต้นอินทผลัม 27ลานชั้นในนี้ก็มีประตูหันหน้าไปทางทิศใต้ด้วย และเขาวัดจากประตูนี้ไปยังประตูชั้นนอกทางด้านใต้เป็นระยะ 100 ศอก

ประตูสู่ลานชั้นใน

28แล้วเขาพาข้าพเจ้าผ่านประตูด้านใต้ไปยังลานชั้นใน เขาวัดประตูด้านใต้ซึ่งมีขนาดเดียวกับประตูอื่นๆ 29ห้องยาม ผนังกั้นห้อง และมุขมีขนาดเดียวกับที่ประตูอื่นๆ ทางเข้าและมุขล้วนมีหน้าต่างโดยรอบ วัดระยะได้ยาว 50 ศอกและกว้าง 25 ศอก 30(มุขของประตูทางเข้ารอบลานชั้นในกว้าง 25 ศอกและลึก 5 ศอก40:30 คือ กว้างประมาณ 12.5 เมตรและลึกประมาณ 2.5 เมตร) 31มุขหันออกลานชั้นนอก เสามีลวดลายต้นอินทผลัมและมีบันไดแปดขั้นทอดขึ้นสู่มุขนั้น

32จากนั้นเขานำข้าพเจ้าเข้าสู่ลานชั้นในทางด้านตะวันออก และเขาวัดประตูทางเข้าซึ่งมีขนาดเดียวกับทางเข้าอื่นๆ 33ห้องยาม ผนังกั้นห้อง และมุขมีขนาดเดียวกับที่อื่นๆ ทางเข้าและมุขมีหน้าต่างโดยรอบ วัดระยะได้ยาว 50 ศอกและกว้าง 25 ศอก 34มุขหันหน้าออกลานชั้นนอก เสาทั้งสองด้านมีลวดลายต้นอินทผลัมและมีบันไดแปดขั้นทอดขึ้นสู่มุขนั้น

35แล้วเขาพาข้าพเจ้าไปยังประตูทิศเหนือ และวัดขนาดซึ่งก็เท่ากับที่อื่นๆ 36ห้องยาม ผนังกั้นห้อง และมุขก็มีขนาดเดียวกันและมีหน้าต่างโดยรอบ วัดระยะได้ยาว 50 ศอก กว้าง 25 ศอก 37มุข40:37 ฉบับภาษาฮีบรูว่าเสาหันหน้าออกลานชั้นนอก เสาทั้งสองด้านมีลวดลายต้นอินทผลัมและมีบันไดแปดขั้นทอดขึ้นสู่มุขนั้น

ห้องจัดเตรียมเครื่องบูชา

38ใกล้มุขตรงทางเข้าชั้นในแต่ละด้านมีห้องหนึ่งซึ่งเป็นที่ชำระล้างเครื่องเผาบูชา 39ในมุขตรงทางเข้ามีโต๊ะสองตัวตั้งอยู่แต่ละด้าน ซึ่งเป็นที่สำหรับฆ่าสัตว์เผาบูชา เครื่องบูชาไถ่บาป และเครื่องบูชาลบความผิด 40ด้านนอกของมุขทางเข้าใกล้บันได ปากทางเข้าสู่ประตูด้านเหนือมีโต๊ะสองตัว และอีกฟากหนึ่งของบันไดมีโต๊ะอีกสองตัว 41ฉะนั้นแต่ละฟากของทางเข้ามีโต๊ะด้านละสี่ตัว รวมเป็นแปดตัว เป็นที่สำหรับฆ่าสัตว์ที่เป็นเครื่องบูชา 42และมีโต๊ะอีกสี่ตัวทำด้วยหินสกัดสำหรับเครื่องเผาบูชา แต่ละตัวกว้างและยาว 1.5 ศอก สูง 1 ศอก40:42 คือ กว้างและยาวประมาณ 75 เซนติเมตร และสูงประมาณ 50 เซนติเมตร บนโต๊ะใช้วางภาชนะเครื่องใช้ต่างๆ ในการฆ่าเครื่องเผาบูชาและเครื่องบูชาอื่นๆ 43และที่ผนังรอบด้านมีตะขอสองปลาย ยาวอันละ 1 ฝ่ามือ40:43 คือ ประมาณ 8 เซนติเมตรติดอยู่ โต๊ะเหล่านี้สำหรับวางเนื้อเครื่องบูชา

ห้องสำหรับปุโรหิต

44ด้านนอกของประตูชั้นใน ภายในลานชั้นในมีห้องสองห้อง ห้องหนึ่ง40:44 ภาษาฮีบรูว่าเป็นห้องสำหรับนักร้องซึ่งอยู่ที่ข้างประตูด้านเหนือและหันหน้าไปทางใต้ อีกห้องหนึ่งอยู่ที่ข้างประตูด้านใต้40:44 ภาษาฮีบรูว่าตะวันออกและหันหน้าไปทางเหนือ 45เขาบอกข้าพเจ้าว่า “ห้องที่หันไปทางใต้สำหรับปุโรหิตผู้ดูแลพระวิหาร 46ส่วนห้องที่หันไปทางเหนือสำหรับปุโรหิตผู้ดูแลแท่นบูชา คนเหล่านี้เป็นลูกหลานของศาโดกซึ่งเป็นคนเลวีพวกเดียวที่สามารถเข้ามาใกล้องค์พระผู้เป็นเจ้าเพื่อปรนนิบัติอยู่ต่อหน้าพระองค์”

47แล้วเขาวัดลานนั้นซึ่งเป็นรูปสี่เหลี่ยมจัตุรัสกว้างยาวด้านละ 100 ศอก และแท่นบูชาอยู่หน้าพระวิหาร

พระวิหาร

48เขาพาข้าพเจ้ามายังมุขพระวิหารและวัดเสาแต่ละด้านกว้าง 5 ศอก ทางเข้ากว้าง 14 ศอก40:48 คือ ประมาณ 7 เมตร

และผนังกั้นห้อง40:48 ภาษาฮีบรูว่าทางเข้าแต่ละด้านกว้าง 3 ศอก40:48 คือ ประมาณ 1.5 เมตร 49มุขนั้นกว้าง 20 ศอก40:49 คือ ประมาณ 10 เมตร และวัดจากข้างหน้าไปข้างหลังได้ 12 ศอก40:49 คือ ประมาณ 6 เมตร ภาษาฮีบรูว่า 11 คิวบิท คือ ประมาณ 5.5 เมตร มีบันไดสิบขั้นทอดขึ้นถึงมุขนั้น และแต่ละด้านของเสาทางเข้ามีเสาหานอยู่

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 40:1-49

Eneo La Hekalu Jipya

140:1 2Fal 25:7; Yer 52:4-11; Eze 29:17; Yer 39:1-10Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko. 240:2 Kut 24:10; Dan 7:7; Yer 31:12; Ufu 21:10Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji. 340:3 Dan 10:6; Ufu 1:15; Zek 2:1-2; Ufu 11:1; Eze 47:3Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake. 440:4 Yer 26:1; Eze 44:5; Kum 6:6Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”

Lango La Mashariki Kuelekea Ukumbi Wa Nje

540:5 Isa 26:1; Eze 42:20Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita,40:5 Dhiraa ndefu 6 ni sawa na mita 3.18. yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.

640:6 Eze 8:16Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito. 7Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano.40:7 Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.

8Kisha akapima baraza ya njia ya lango, 9ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane40:9 Dhiraa 8 ni sawa na mita 3.6. na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili.40:9 Dhiraa 2 ni sawa na sentimita 90. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.

10Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa. 11Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu. 12Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja40:12 Dhiraa 1 ni sawa na sentimita 45. kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba. 13Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine. 1440:14 Kut 27:9; Isa 62:9Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini40:14 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9. na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi. 15Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.40:15 Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5. 1640:16 2Nya 3:5; Eze 41:6; 42:1; 1Fal 6:4; Eze 41:26Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.

Ukumbi Wa Nje

17Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia. 18Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini. 1940:19 Eze 40:23, 27; 46:1Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja40:19 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.

Lango La Kaskazini

20Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje. 2140:21 Eze 40:7Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.40:21 Dhiraa 25 ni sawa na mita 11.25. 2240:22 Eze 40:16, 26, 49Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. 2340:23 Eze 40:19Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.

Lango La Kusini

2440:24 Eze 40:32, 35Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine. 2540:25 Eze 40:33Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano. 2640:26 Eze 40:22Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande. 2740:27 Eze 40:19, 32Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.

Malango Ya Kuelekea Ukumbi Wa Ndani

2840:28 Eze 40:35Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine. 2940:29 1Fal 6:5-10; 1Nya 28:11-12; Neh 10:38-39Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano. 3040:30 Eze 40:21(Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.) 3140:31 Eze 40:22, 34, 37Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.

32Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine. 3340:33 Eze 40:7Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano. 3440:34 Eze 40:22Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.

3540:35 Eze 44:4; 47:2Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine, 3640:36 Eze 40:7kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano. 3740:37 Eze 40:22, 34Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.

Vyumba Vya Kutayarishia Dhabihu

3840:38 2Nya 4:6; Eze 42:13; Ebr 9:14Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa. 3940:39 Eze 46:2; Law 4:28; Hes 6:12; Ebr 10:12-14; 2Kor 5:21Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa. 40Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili. 41Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa. 4240:42 Kut 20:25Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu,40:42 Dhiraa 1.5 ni sawa na sentimita 67.5. upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali. 43Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne,40:43 Nyanda 4 ni sawa na sentimita 8. zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.

Vyumba Kwa Ajili Ya Makuhani

4440:44 1Nya 6:31; Kol 3:16; Efe 5:19Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini. 4540:45 1Nya 9:23; Law 8:35Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni, 4640:46 Hes 18:5; 16:5; 2Sam 8:17; Eze 48:11; 42:13; Kol 4:12; Eze 43:19; Ezr 7:2; Eze 44:15nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”

4740:47 Eze 41:13-14Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.

Hekalu

4840:48 1Fal 6:2Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu40:48 Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35. kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne40:48 Dhiraa 14 ni sawa na mita 6.3. na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. 4940:49 1Fal 6:3; 7:15Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili40:49 Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4. kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.