เอเสเคียล 10 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

เอเสเคียล 10:1-22

พระเกียรติสิริพรากจากพระวิหาร

1ข้าพเจ้ามองดูและเห็นบางสิ่งคล้ายพระที่นั่งไพฑูรย์อยู่เหนือฟ้ากว้างที่อยู่เหนือศีรษะของเหล่าเครูบ 2องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับชายที่นุ่งห่มผ้าลินินนั้นว่า “จงเข้าไปท่ามกลางวงล้อใต้เหล่าเครูบ แล้วกอบถ่านไฟคุซึ่งอยู่ท่ามกลางเหล่าเครูบมาโปรยทั่วกรุงนี้” ชายคนนั้นก็เข้าไปขณะที่ข้าพเจ้าเฝ้าดูอยู่

3เหล่าเครูบยืนอยู่ที่ด้านใต้ของพระวิหารเมื่อชายผู้นั้นเข้าไป และมีเมฆปกคลุมอยู่ทั่วลานชั้นใน 4แล้วพระเกียรติสิริขององค์พระผู้เป็นเจ้าก็เคลื่อนขึ้นจากเหนือเหล่าเครูบนั้นมายังธรณีประตูพระวิหาร เมฆปกคลุมพระวิหาร และทั่วลานพระวิหารเต็มไปด้วยรังสีเจิดจ้าแห่งพระเกียรติสิริขององค์พระผู้เป็นเจ้า 5เสียงปีกของเหล่าเครูบได้ยินไปไกลถึงลานชั้นนอกเหมือนพระสุรเสียงของพระเจ้าผู้ทรงฤทธิ์

6เมื่อพระองค์ตรัสสั่งชายที่สวมผ้าลินินนั้นว่า “จงไปเอาไฟจากท่ามกลางวงล้อที่อยู่ในหมู่เครูบออกมา” ชายนั้นก็เข้าไปยืนอยู่ข้างวงล้อวงหนึ่ง 7แล้วเครูบตนหนึ่งก็ยื่นมือออกไปที่ไฟซึ่งอยู่ท่ามกลางพวกตน เอาไฟออกมาส่วนหนึ่งใส่ในมือของชายผู้สวมผ้าลินิน เขาก็รับไว้และออกมา 8(เห็นสิ่งหนึ่งคล้ายมือมนุษย์อยู่ใต้ปีกของเครูบ)

9ข้าพเจ้ามองดูเห็นวงล้อสี่วงอยู่ข้างเหล่าเครูบ เครูบหนึ่งตนมีวงล้อหนึ่งวง วงล้อนั้นเปล่งประกายคล้ายพลอยสีเขียวอมเหลือง 10วงล้อทั้งสี่มีลักษณะเหมือนกัน แต่ละวงดูคล้ายมีวงล้อซ้อนขวางอยู่ข้างใน 11วงล้อสามารถเคลื่อนไปยังทิศทางใดทิศทางหนึ่งในสี่ทิศทางตามแต่เครูบจะมุ่งหน้าไป ล้อนั้นไม่ได้เลี้ยวเมื่อเครูบเคลื่อนไป เหล่าเครูบมุ่งหน้าไปทิศทางใดก็ได้โดยไม่ต้องหันตัวเลย 12ทั่วร่างของเครูบ ทั้งหลังมือและปีกล้วนมีตาเต็มไปหมดเช่นเดียวกับวงล้อทั้งสี่ 13ข้าพเจ้าได้ยินเขาเรียกวงล้อนั้นว่า “วงล้อกังหัน” 14เครูบแต่ละตนมีสี่หน้า หน้าที่หนึ่งเป็นหน้าวัว10:14 ภาษาฮีบรูว่าหน้าเครูบเทียบกับ 1:10 หน้าที่สองเป็นหน้ามนุษย์ หน้าที่สามเป็นหน้าสิงโต หน้าที่สี่เป็นหน้านกอินทรี

15แล้วเหล่าเครูบก็ลอยขึ้นไป นี่คือสิ่งมีชีวิตซึ่งข้าพเจ้าได้เห็นที่ริมแม่น้ำเคบาร์ 16เมื่อเหล่าเครูบเคลื่อนไป วงล้อที่อยู่ข้างๆ ก็เคลื่อนไปด้วย และเมื่อเครูบกางปีกเหาะขึ้นจากพื้น วงล้อนั้นก็เคียงข้างเครูบไป 17เมื่อเครูบยืนนิ่ง วงล้อก็หยุดนิ่ง และเมื่อเครูบลอยขึ้น วงล้อก็ลอยขึ้นด้วยเพราะวิญญาณของสิ่งมีชีวิตนั้นอยู่ในวงล้อ

18แล้วพระเกียรติสิริขององค์พระผู้เป็นเจ้าก็ไปจากเหนือธรณีประตูพระวิหาร ไปหยุดอยู่เหนือเหล่าเครูบ 19ขณะที่ข้าพเจ้าเฝ้าดูอยู่ เหล่าเครูบก็กางปีกบินขึ้นจากพื้น เมื่อเคลื่อนไป วงล้อก็เคลื่อนไปด้วย เครูบและวงล้อมาหยุดอยู่ที่ทางเข้าประตูทางตะวันออกของพระนิเวศขององค์พระผู้เป็นเจ้า และพระเกียรติสิริของพระเจ้าแห่งอิสราเอลอยู่เหนือเครูบ

20ข้าพเจ้าเคยเห็นสิ่งมีชีวิตเหล่านี้อยู่ใต้พระเจ้าแห่งอิสราเอลที่ริมแม่น้ำเคบาร์ และข้าพเจ้าตระหนักว่านั่นคือเหล่าเครูบ 21แต่ละตนมีสี่หน้าและสี่ปีก และใต้ปีกมีสิ่งที่ดูเหมือนมือมนุษย์ 22ใบหน้าของเครูบเหล่านี้มีลักษณะเดียวกับที่ข้าพเจ้าเคยเห็นที่ริมแม่น้ำเคบาร์ แต่ละตนมุ่งตรงไปข้างหน้า

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 10:1-22

Utukufu Unaondoka Hekaluni

110:1 Kut 23:10; Eze 1:22; Ufu 4:2-3; Mwa 3:24Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi. 210:2 Eze 1:15; 9:2; Ufu 8:5; 2Sam 22:9Bwana akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.

3Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani. 410:4 Kut 24:16; Eze 44:4; 1:28Kisha utukufu wa Bwana ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa Bwana. 510:5 Ay 40:9; Eze 1:24; 3:15Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi10:5 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). wakati anapoongea.

610:6 Dan 7:9Bwana alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu. 710:7 Eze 5:4Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje. 810:8 Eze 1:8(Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)

910:9 Kut 28:20; Eze 1:15-21; 24:6Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi. 10Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine. 1110:11 Eze 1:17Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda. 1210:12 Ufu 4:6-8; Eze 1:15-21; 24:6Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne. 13Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.” 1410:14 1Fal 7:36; Eze 41:19; Dan 9:21; Ufu 4:7Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

1510:15 Isa 6:2; Eze 1:3-5; Za 137:1Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari. 1610:16 Eze 1:19Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao. 1710:17 Eze 1:20-21; 3:13Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.

1810:18 Za 78:60; 18:10; Eze 7:20-22; 1Sam 4:21Kisha utukufu wa Bwana ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi. 1910:19 Eze 11:1-22; 43:4Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya Bwana, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.

2010:20 Eze 1:1-8Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi. 2110:21 Eze 1:6, 8Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu. 2210:22 Eze 1:10, 12Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.