ผู้วินิจฉัย 21 – TNCV & NEN

Thai New Contemporary Bible

ผู้วินิจฉัย 21:1-25

หาภรรยาให้ตระกูลเบนยามิน

1ชาวอิสราเอลได้กล่าวปฏิญาณที่มิสปาห์ว่า “จะไม่มีใครสักคนในพวกเรายอมยกบุตรสาวของตนให้แก่ชาวเบนยามิน”

2ครั้งนั้นชาวอิสราเอลมานั่งชุมนุมกันต่อหน้าพระเจ้าที่เบธเอลจนถึงเวลาเย็น ต่างร่ำไห้ด้วยความรันทดใจ 3และกราบทูลว่า “ข้าแต่พระยาห์เวห์พระเจ้าแห่งอิสราเอล ทำไมสิ่งนี้เกิดขึ้นแก่อิสราเอล? ทำไมจะต้องมีเผ่าหนึ่งขาดหายไปจากอิสราเอลในวันนี้?”

4เช้าตรู่วันรุ่งขึ้นเหล่าประชากรก่อแท่นบูชา และถวายเครื่องเผาบูชากับเครื่องสันติบูชา

5และชาวอิสราเอลถามกันว่า “มีใครในอิสราเอลที่ไม่ได้มาร่วมชุมนุมต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้า?” เพราะพวกเขาได้ให้สัตย์ปฏิญาณว่าผู้ใดไม่ยอมมาชุมนุมต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าที่มิสปาห์จะต้องถูกฆ่าตาย

6ชาวอิสราเอลคร่ำครวญถึงพี่น้องเผ่าเบนยามินว่า “วันนี้เผ่าหนึ่งในอิสราเอลต้องถูกตัดขาดไปเสียแล้ว 7เราจะหาภรรยาให้คนที่เหลืออยู่ได้อย่างไร ในเมื่อเราเองได้ปฏิญาณโดยอ้างองค์พระผู้เป็นเจ้าว่าจะไม่ยกลูกสาวของเราให้เขา?” 8แล้วพวกเขาก็ถามกันว่า “มีเผ่าใดในอิสราเอลที่ไม่ได้มาร่วมชุมนุมต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าที่มิสปาห์?” พวกเขาพบว่าไม่มีคนจากยาเบชกิเลอาดมาร่วมค่ายชุมนุมเลยสักคนเดียว 9เพราะเมื่อขานนับประชากร ไม่มีสักคนจากยาเบชกิเลอาดมาที่นั่น

10ที่ประชุมจึงส่งนักรบ 12,000 คนให้ไปฆ่าฟันชาวยาเบชกิเลอาดทุกคนรวมทั้งผู้หญิงและเด็ก 11พวกเขากล่าวกับเหล่านักรบว่า “สิ่งที่เจ้าทั้งหลายต้องทำคือ จงฆ่าผู้ชายทุกคนและผู้หญิงทุกคนที่ไม่ใช่สาวพรหมจารี” 12พวกเขาพบว่าในหมู่ชาวถิ่นยาเบชกิเลอาดมีสาวพรหมจารี 400 คน จึงนำตัวมายังค่ายพักที่ชิโลห์ในคานาอัน

13จากนั้นประชากรทั้งหมดก็ส่งทูตสันติภาพไปพบคนเบนยามินที่ศิลาแห่งริมโมน 14คนเบนยามินจึงกลับมาและได้รับหญิงสาวชาวยาเบชกิเลอาดที่รอดชีวิตนั้น แต่มีหญิงสาวไม่เพียงพอกับจำนวนคนของเขา

15เหล่าประชากรโศกเศร้าเสียใจกับเบนยามิน เพราะองค์พระผู้เป็นเจ้าได้ทรงทำให้เกิดช่องว่างในเผ่าของอิสราเอล 16บรรดาผู้อาวุโสของเหล่าประชากรหารือกันว่า “เราจะทำอย่างไรดีจึงจะหาภรรยาให้กับชายเบนยามินที่เหลือ เนื่องจากผู้หญิงเบนยามินตายหมดแล้ว? 17คนเบนยามินที่เหลืออยู่ต้องมีทายาท เพื่อชนอิสราเอลจะได้ไม่ขาดหายไปหนึ่งเผ่า 18เราจะยกลูกสาวของเราเองให้ก็ไม่ได้ เพราะเราปฏิญาณไว้แล้วว่า ‘ถ้าผู้ใดยกบุตรสาวให้เป็นภรรยาของคนเบนยามินคนนั้นจะถูกสาปแช่ง’ 19แต่ดูเถิดมีเทศกาลฉลองประจำปีถวายแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าที่ชิโลห์ ไปทางเหนือของเบธเอล ทางตะวันออกของเส้นทางจากเบธเอลไปยังเชเคม และทางใต้ของเลโบนาห์”

20เขาเหล่านั้นจึงไปบอกชายเบนยามินว่า “จงไปแอบซุ่มอยู่ในสวนองุ่น 21และคอยดูเมื่อหญิงสาวชาวชิโลห์ออกมาเพื่อจะไปร่วมเต้นรำ ก็ฉุดนางไปเป็นภรรยาในดินแดนเบนยามิน 22เมื่อบิดาและพี่น้องของนางมาฟ้องเรา เราก็จะบอกพวกเขาเองว่า ‘โปรดเห็นใจยกลูกสาวให้เขาเถิด เพราะเมื่อเราทำลายยาเบชกิเลอาด เราไม่อาจหาภรรยาให้พวกเขาได้เพียงพอและท่านเองก็ไม่ผิด ในเมื่อท่านไม่ได้ยกลูกสาวให้พวกเขา’”

23ฉะนั้นคนเบนยามินจึงทำตามคำแนะนำ ไปฉุดหญิงสาวที่กำลังเต้นรำไปเป็นภรรยา และกลับไปยังดินแดนกรรมสิทธิ์ของตน แล้วสร้างเมืองขึ้นใหม่ ตั้งรกรากอยู่ที่นั่น

24จากนั้นชาวอิสราเอลต่างก็แยกย้ายกันกลับสู่เผ่าและตระกูลของตน สู่ดินแดนกรรมสิทธิ์ของตน

25ในสมัยนั้นอิสราเอลไม่มีกษัตริย์ปกครอง ทุกคนต่างทำตามที่ตนเองเห็นดีเห็นชอบ

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waamuzi 21:1-25

Wabenyamini Watafutiwa Wake

121:1 Yos 9:18; 11:3; Amu 20:1Wana wa Israeli walikuwa wameapa kwa kiapo kule Mispa: “Hapana mtu yeyote atakayemwoza binti yake kwa Wabenyamini.”

2Watu wakaenda Betheli, wakaketi mbele za Mungu mpaka jioni, wakapaza sauti zao, wakalia sana. 3Wakasema, “Ee Bwana, Mungu wa Israeli, kwa nini jambo hili limewapata Waisraeli? Kwa nini kabila moja la Israeli limekosekana?”

421:4 Amu 20:26; 2Sam 24:25Kesho yake asubuhi na mapema watu wakajenga madhabahu na kuleta sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.

521:5 Amu 5:23; 20:1Ndipo Waisraeli wakasema, “Ni kabila lipi la Israeli ambalo halikufika katika mkutano kumkaribia Bwana?” Kwa kuwa walikuwa wameweka kiapo kikuu kuwa yeyote asiyefika mbele za Bwana huko Mispa, kwa hakika angeuawa.

6Basi Waisraeli wakaghairi kwa ajili ya ndugu zao Wabenyamini, wakasema, “Leo kabila moja limekatiliwa mbali na Israeli. 721:7 Yos 9:18Sasa tutawezaje kuwapa mabinti zetu wawe wake zao kwa hao waliobaki maadamu tumeapa kwa Bwana kuwa hatutawapa binti zetu kuwa wake zao?” 821:8 1Sam 11:1; 31:11; 2Sam 2:4; 21:1; 1Nya 10:11Ndipo wakasema, “Ni kabila lipi la Israeli ambalo halikufika mbele za Bwana huko Mispa?” Wakagundua kuwa hakuna hata mmoja aliyetoka Yabeshi-Gileadi aliyefika kambini kwa ajili ya kusanyiko la mkutano. 9Walipohesabu waliona hakuna mtu yeyote wa Yabeshi-Gileadi aliyekuwepo.

10Ndipo mkutano wakatuma askari 12,000 na wakawaamuru kwenda Yabeshi-Gileadi na kuwaua wale wote waishio huko, walikuwepo wake na watoto. 1121:11 Hes 31:7; 31:17-18Wakasema, “Hilo ndilo mtakalofanya. Ueni kila mtu mume na mke ambaye si bikira.” 1221:12 Yos 18:1Wakakuta kati ya watu walioishi Yabeshi-Gileadi wanawali mia nne ambao hawajakutana kimwili na mwanaume, nao wakawachukua kwenye kambi huko Shilo katika nchi ya Kanaani.

1321:13 Kum 2:28; Yos 15:35; Kum 20:10; Amu 20:47Ndipo mkutano ukatuma ujumbe wa amani kwa Wabenyamini huko katika mwamba wa Rimoni. 14Basi Wabenyamini wakarudi nyumbani mwao, wakapewa wale wanawali wa Yabeshi-Gileadi waliowaponya. Lakini hawakuwatosha wanaume wote.

15Waisraeli wakasikitika kwa ajili ya Wabenyamini, kwa kuwa Bwana ameweka ufa katika makabila ya Israeli. 16Viongozi wa kusanyiko wakasema, “Kwa kuwa wanawake wa Wabenyamini wameangamizwa, tufanyeje ili kuwapatia wake wale wanaume waliosalia? 17Wale waliopona wa Wabenyamini ni lazima tuwape wake, ili wawe na warithi, ili kabila lolote katika Israeli lisifutike. 1821:18 Yos 9:18Hatuwezi kuwapa binti zetu kuwa wake, kwa kuwa sisi Waisraeli tumeapa kiapo hiki: ‘Alaaniwe mtu yeyote ampaye Mbenyamini mke.’ ” 1921:19 Yos 18:1; 1Sam 1:3; Yos 16:1; 16:1; 17:7Ndipo waliposema, “Tazama iko sikukuu ya kila mwaka ya Bwana katika Shilo, kaskazini ya Betheli na mashariki mwa ile barabara itokayo Betheli kwenda Shekemu, upande wa kusini wa Lebona.”

20Hivyo wakawaelekeza Wabenyamini wakisema, “Nendeni mkajifiche kwenye mashamba ya mizabibu, 2121:21 Kut 15:20; Amu 11:34nanyi mwangalie. Wasichana wa Shilo watakapojiunga kwenye kucheza, ninyi tokeni kwenye hayo mashamba ya mizabibu na kila mmoja akamate mwanamke mmoja toka miongoni mwa hao wasichana wa Shilo na mwende nao katika nchi ya Benyamini. 22Baba zao au ndugu zao waume watakapotulalamikia, tutawaambia, ‘Kuweni wakarimu kwetu, nanyi mturuhusu tuwe nao kwa kuwa hatukuweza kumpa kila mtu mke tulipopigana. Lakini ninyi pia hamna hatia, kwa kuwa hamkuwapa wao binti zenu kuwa wake.’ ”

2321:23 Yos 24:28; Amu 20:48Basi hivyo ndivyo Wabenyamini walivyofanya. Wakati wasichana walipokuwa wakicheza, kila mtu akamkamata msichana mmoja akamchukua akaenda naye ili awe mke wake. Kisha wakarudi katika urithi wao na kuijenga upya miji na kuishi humo.

24Wakati huo Waisraeli wakaondoka sehemu ile na kwenda nyumbani kwao, kwenye makabila yao na kwa jamaa zao, kila mmoja kwenye urithi wake mwenyewe.

2521:25 Kut 12:8; Amu 17:6Katika siku hizo kulikuwa hakuna mfalme katika Israeli; kila mtu alifanya kile alichoona ni sawa machoni pake mwenyewe.