Apokalipsa 5 – SZ-PL & NEN

Słowo Życia

Apokalipsa 5:1-14

Ofiarny Baranek Boży

1Zauważyłem, że Ten, który zasiada na tronie, trzymał w prawej ręce zwój papirusu, zapisany po obu stronach i opatrzony siedmioma pieczęciami. 2Ujrzałem też potężnego anioła, który zawołał donośnym głosem: „Kto jest godny złamać pieczęcie i rozwinąć zwój?!”. 3Nikt jednak—ani w niebie, ani na ziemi, ani pod ziemią—nie mógł go rozwinąć i przeczytać. 4I rozpłakałem się, widząc, że nie znalazł się nikt, kto byłby godny to uczynić. 5Wtedy jeden ze starszych pocieszył mnie, mówiąc:

—Nie płacz! Lew z rodu Judy, potomek króla Dawida, jest zwycięzcą. On może rozwinąć zwój oraz złamać siedem pieczęci!

6Wtedy zobaczyłem Baranka, stojącego przed tronem, w otoczeniu starszych i czterech istot. Wyglądał tak, jakby został złożony w ofierze. Baranek miał siedem rogów i siedmioro oczu, będących siedmioma Bożymi Duchami, wysłanymi na ziemię. 7Podszedł On do Tego, który zasiada na tronie, i wziął z Jego prawej ręki zwój. 8Gdy to uczynił, cztery istoty i dwudziestu czterech starszych upadło przed Nim na twarz, oddając Mu hołd. Każdy z nich miał w rękach harfę i złoty kielich napełniony kadzidłem—modlitwami świętych. 9I śpiewali nową pieśń:

„Zasługujesz na to, aby wziąć zwój,

złamać pieczęcie i rozwinąć go.

Zostałeś bowiem zabity

i swoją krwią wykupiłeś dla Boga

ludzi z każdego plemienia, języka, ludu i narodu.

10Uczyniłeś ich kapłanami naszego Boga

i członkami królewskiej rodziny,

którzy będą rządzić ziemią”.

11Potem zobaczyłem mnóstwo aniołów, otaczających tron, cztery istoty oraz starszych, i usłyszałem ich śpiew. Setki milionów aniołów 12wołały:

„Baranek, który został zabity,

zasługuje na to, aby otrzymać władzę,

bogactwo, mądrość i moc

oraz odebrać cześć, chwałę i uwielbienie!”.

13Usłyszałem również, jak każde stworzenie—na niebie, na ziemi, pod ziemią, na morzu oraz w jego głębinach—wołało:

„Temu, który zasiada na tronie,

oraz Barankowi należy się

wieczne uwielbienie,

cześć, chwała i moc!”.

14Po tych słowach cztery istoty powiedziały: „Amen!”, a starsi padli na twarz, oddając Mu pokłon.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 5:1-14

Kitabu Na Mwana-Kondoo

15:1 Ufu 4:2, 9; Eze 2:9-10; Isa 29:11; Dan 12:4Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba. 25:2 Ufu 10:1Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?” 35:3 Ufu 5:13Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake. 4Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake. 55:5 Mwa 49:9; Isa 11:1, 10; Rum 15:12Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”

65:6 Yn 1:29; Zek 4:10Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba5:6 Roho saba za Mungu hapa inamaanisha Roho wa Mungu katika ukamilifu wa utendaji wake. za Mungu zilizotumwa duniani pote. 75:7 Ufu 4:2Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi. 85:8 Ufu 14:2; Za 141:2Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu. 95:9 Za 149:1; Ufu 14:3-4; 4:11; Ebr 9:12; 1Kor 6:20Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema:

“Wewe unastahili kukitwaa kitabu

na kuzivunja lakiri zake,

kwa sababu ulichinjwa

na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu

kutoka kila kabila, kila lugha,

kila jamaa na kila taifa.

105:10 1Pet 5:5Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani

wa kumtumikia Mungu wetu,

nao watatawala duniani.”

115:11 Dan 7:10; Yud 14Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu. 125:12 Ufu 4:11Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema:

“Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa,

kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu

na heshima na utukufu na sifa!”

135:13 Flp 2:10; Mal 1:6; Rum 11:36Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba:

“Sifa na heshima na utukufu na uweza

ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi

na kwa Mwana-Kondoo,

milele na milele!”

145:14 Ufu 4:9-10; 19:4Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.