Zjevení 8 – SNC & NEN

Slovo na cestu

Zjevení 8:1-13

Co skrývala sedmá pečeť

1Když Beránek rozlomil sedmou pečeť svitku, ztichlo celé nebe a to mlčení trvalo asi půl hodiny. 2Potom jsem uviděl sedm andělů stát před Bohem a každý z nich dostal polnici. 3Další anděl přistoupil k oltáři se zlatou nádobou v ruce. Smísil množství vonných pryskyřic s modlitbami věřících lidí a zapálil to vše na zlatém oltáři před Božím trůnem. 4Dým z této oběti stoupal z oltáře až k Boží tváři. 5Pak anděl nabral žhavé oharky z oltáře do nádoby a vysypal je na zem. Tu se strhla bouře, blýskalo se, burácel hrom a nastalo zemětřesení.

Troubení šesti polnic

6Těch sedm andělů s polnicemi se připravilo, aby troubili. 7Zatroubil první: Nastalo krupobití a na zem spadl krvavý oheň a sežehl třetinu všech lesů a každé stéblo trávy. 8Pak zatroubil druhý anděl a do moře se zřítilo jakési obrovské ohnivé těleso. Třetina mořské vody se zbarvila do krvava, 9třetina živočichů v moři uhynula a potopila se třetina všech lodí. 10-11Když zazněla třetí polnice, spadla z nebe veliká hvězda sršící jako vržená pochodeň. Padla na třetinu řek a pramenů a zamořila třetinu vod svou jedovatou hořkostí; mnoho lidí v důsledku toho zemřelo. Ta hvězda byla nazvána Pelyněk. 12Potom zatroubil čtvrtý anděl. Slunce i měsíc ztratily třetinu svého jasu a pohasla třetina hvězd. Den i noc potemněly.

13Pak jsem spatřil orla, který se vznášel vysoko na obloze a hlasitě křičel: „Běda, běda, běda, hrůza obyvatelům země, až zatroubí poslední tři andělští trubači!“

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 8:1-13

Lakiri Ya Saba Na Chetezo Cha Dhahabu

18:1 Ufu 6:1Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri ya saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.

28:2 Ufu 9:1, 13; 11:15; Mt 24:31; Ufu 8:6-13Nami nikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele za Mungu, nao wakapewa tarumbeta saba.

38:3 Ufu 7:2; 5:8; Kut 30:1-6; Ebr 9:4Malaika mwingine aliyekuwa na chetezo cha dhahabu, akaja na kusimama mbele ya madhabahu. Akapewa uvumba mwingi ili autoe pamoja na maombi ya watakatifu wote, juu ya yale madhabahu ya dhahabu yaliyo mbele ya kile kiti cha enzi. 48:4 Za 141:2; Lk 1:10Ule moshi wa uvumba pamoja na yale maombi ya watakatifu, vikapanda juu mbele za Mungu, kutoka mkononi mwa huyo malaika. 58:5 Law 16:12-13; Ufu 4:5; 6:12Kisha yule malaika akachukua kile chetezo, akakijaza moto kutoka kwa yale madhabahu, akautupa juu ya dunia. Pakatokea sauti za radi, ngurumo, umeme wa radi na tetemeko la ardhi.

Tarumbeta Ya Kwanza

68:6 Ufu 8:2Basi wale malaika saba waliokuwa na zile tarumbeta saba wakajiandaa kuzipiga.

78:7 Eze 38:22; Ufu 9:15-18; 12:4; 9:4Malaika wa kwanza akaipiga tarumbeta yake, pakatokea mvua ya mawe na moto uliochanganyika na damu, navyo vikatupwa kwa nguvu juu ya nchi. Na theluthi ya dunia ikateketea, theluthi ya miti ikateketea, na nyasi yote mbichi ikateketea.

Tarumbeta Ya Pili

88:8 Yer 51:25; 16:3Malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto kikatupwa baharini. Theluthi ya bahari ikawa damu, 98:9 Ufu 8:7; 16:3theluthi ya viumbe vyenye uhai viishivyo baharini vikafa na theluthi ya meli zikaharibiwa.

Tarumbeta Ya Tatu

108:10 Isa 14:12; Ufu 9:1; 14:7; 16:4Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake, na nyota kubwa iliyokuwa ikiwaka kama taa ikaanguka toka angani, ikaangukia theluthi ya mito na chemchemi za maji. 118:11 Yer 9:15; 23:15Nyota hiyo inaitwa Uchungu. Theluthi ya maji yakawa machungu na watu wengi wakafa kutokana na maji hayo kwa maana yalikuwa machungu.

Tarumbeta Ya Nne

128:12 Kut 10:21-23; Ufu 6:12-13Kisha malaika wa nne akaipiga tarumbeta yake, na theluthi ya jua, theluthi ya mwezi na theluthi ya nyota zikapigwa. Kwa hiyo theluthi moja ya mwanga ikawa giza. Theluthi ya mchana ikawa haina mwanga na pia theluthi ya usiku.

138:13 Ufu 14:6; 19:17; 11:14; 12:12Nilipokuwa tena nikitazama, nikamsikia tai mmoja akipiga kelele kwa sauti kuu wakati akiruka katikati ya mbingu, akisema, “Ole! Ole! Ole wa watu waishio duniani, kwa sababu ya tarumbeta ambazo malaika hao wengine watatu wanakaribia kuzipiga!”