Zjevení 16 – SNC & NEN

Slovo na cestu

Zjevení 16:1-21

Sedm číší Božího hněvu připraveno

1Chrám se naplnil dýmem Boží velebnosti a moci. Nikdo teď nemohl vstoupit dovnitř, dokud andělé nevykonají soud na zemi. Ze svatyně jim přikázal hlas: „Jděte a vylijte těch sedm číší Božího hněvu na zemi!“ 2První z andělů šel a vylil na zem svou číši. Tu se na lidech, kteří nesli znak šelmy a klaněli se její soše, objevily zhoubné vředy.

3Druhý anděl vlil obsah své číše do moře. Všechno živé v moři uhynulo, takže se naplnilo hnilobou a rozkladem.

4Třetí anděl vylil svou číši nad řekami a prameny vod. Vody byly zkaženy. 5Slyšel jsem toho anděla, který měl moc nad vodami, jak říká:

„Jsi spravedlivý,

svatý a věčný Bože,

a je to zasloužený rozsudek.

6Opíjeli se krví nevinných a proroků,

a proto teď umírají žízní.“

7A mučedníci od oltáře se připojili:

„Ano, všemohoucí Pane,

soudíš spravedlivě a podle pravdy.“

8-9Čtvrtý anděl vylil obsah své číše na slunce. Pálilo tak, že lidé padali těžkým úžehem. Místo aby činili pokání a aspoň teď vzdali Bohu čest, proklínali ho za tu pohromu. 10Pátý anděl vylil číši na trůn šelmy a v jejím království se setmělo. Lidé, trýzněni již vředy, se bolestí až kousali do rtů. 11A přece ještě zlořečili Bohu, místo aby se jejich ústa otevřela k pokání.

12Šestý anděl vlil obsah své číše do veliké řeky Eufratu. Její vody vyschly, a tak se otevřela cesta pro vladaře z východu.

13-16Tu jsem viděl, jak z tlamy draka, z huby šelmy a z úst lživého proroka vylezli tři nečistí duchové jako odporné ropuchy. Snažili se lidem imponovat různými divy. Obcházeli vládce světa, aby je získali za spojence k rozhodující bitvě proti všemohoucímu Bohu. Svolávali je na místo nazvané Harmagedon. Doba je vážná. Pán připomíná: „Přijdu nečekaně jako zloděj v noci. Dobře tomu, kdo bdí a je připraven.“

17Sedmý anděl vylil svou číši do ovzduší a z chrámu zazněl mohutný hlas: „Je dokonáno!“ 18Strhla se bouře s blesky a hromy a celá země se otřásala; takové zemětřesení nezažil nikdo od počátku lidstva. 19Bůh nezapomněl na hříchy velikého bezbožného města, zvaného Babylón. Dal mu pít z poháru svého trestajícího hněvu. Roztrhlo se na tři kusy a i ostatní města se zhroutila. 20Všechny ostrovy zmizely a po horách nezůstalo ani památky. 21Lidi postihla nepředstavitelná zkáza – krupobití. A oni za tu strašnou pohromu proklínali Boha.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 16:1-21

Mabakuli Saba Ya Ghadhabu Ya Mungu

116:1 Ufu 15:1; 11:19; 15:1; 16:2-21; Za 79:6; Sef 3:8Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mle Hekaluni ikiwaambia wale malaika saba, “Nendeni, mkayamwage duniani hayo mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.”

216:2 Ufu 8:7; 13:15; 17; Kut 9:9-11Malaika wa kwanza akaenda akalimwaga hilo bakuli lake juu ya nchi. Majipu mabaya yenye maumivu makali yakawapata wale watu wote waliokuwa na chapa ya yule mnyama na walioabudu sanamu yake.

316:3 Kut 7:17-21; Ufu 6:11Malaika wa pili akalimwaga bakuli lake baharini, nayo ikabadilika kuwa damu kama ya mtu aliyekufa na kila kiumbe hai kilichokuwa ndani ya bahari kikafa.

416:4 Ufu 8:10Malaika wa tatu akalimwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, nazo zikawa damu. 516:5 Ufu 15:3-4; 15:3; 1:4; 15:4; 6:10Ndipo nikamsikia malaika msimamizi wa maji akisema:

“Wewe una haki katika hukumu hizi ulizotoa,

wewe uliyeko, uliyekuwako, Uliye Mtakatifu,

kwa sababu umehukumu hivyo;

616:6 Isa 49:26kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu wako

na manabii wako,

nawe umewapa damu wanywe

kama walivyostahili.”

716:7 Ufu 9:6; 15:3; 19:2Nikasikia madhabahu ikiitikia,

“Naam, Bwana Mungu Mwenyezi,

hukumu zako ni kweli na haki.”

816:8 Ufu 8:12; 14:18Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto. 916:9 Ufu 2:21; 11:13Watu wakaunguzwa na hilo joto kali, wakalaani Jina la Mungu, aliyekuwa na uwezo juu ya mapigo haya, tena wakakataa kutubu na kumtukuza Mungu.

1016:10 Ufu 13:2; 9:2Malaika wa tano akamimina bakuli lake kwenye kiti cha enzi cha yule mnyama, nao ufalme wake ukagubikwa na giza. Watu wakatafuna ndimi zao kwa ajili ya maumivu, 1116:11 Ufu 11:13; 2:21; 16:9, 21wakamlaani Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu na majeraha yao, wala hawakutubu kwa ajili ya matendo yao maovu.

1216:12 Ufu 9:14; Isa 41:2Malaika wa sita akamimina bakuli lake kwenye mto mkubwa Frati, maji yake yakakauka ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme watokao Mashariki. 1316:13 Ufu 12:3; 13:1; 19:20Kisha nikaona roho wachafu watatu waliofanana na vyura wakitoka katika kinywa cha lile joka na katika kinywa cha yule mnyama na katika kinywa cha yule nabii wa uongo. 1416:14 1Tim 4:1; Ufu 17:14Hizo ndizo roho za pepo wachafu zitendazo miujiza. Nazo huwaendea wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya tayari kwa ajili ya vita katika siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.

1516:15 Lk 12:3“Tazama, naja kama mwizi! Amebarikiwa yeye akeshaye na kuziweka tayari nguo zake ili asiende uchi na kuonekana aibu yake.”

1616:16 Ufu 9:11; Amu 5:19Ndipo wakawakusanya wafalme pamoja mahali paitwapo Armagedoni16:16 Armagedoni au Har-Magedoni ina maana Mlima Megido, mahali pa kinabii ambapo wafalme wote wa dunia watakusanyika kwa vita katika siku ya Mungu Mwenyezi. kwa Kiebrania.

1716:17 Efe 2:2; Ufu 14:15; 11:15; 21:6Malaika wa saba akamimina bakuli lake angani na sauti kubwa ikatoka mle hekaluni katika kile kiti cha enzi, ikisema, “Imekwisha kuwa!” 1816:18 Ufu 4:5; 6:12; Dan 12:1Kukawa na mianga ya umeme wa radi, ngurumo, radi na tetemeko kubwa la ardhi. Hapajawa kamwe na tetemeko la ardhi kama hilo tangu mwanadamu awepo duniani, hivyo lilikuwa tetemeko kubwa ajabu. 1916:19 Ufu 17:18; 18:5; 14:8Ule mji mkubwa ukagawanyika katika sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikaanguka. Mungu akaukumbuka Babeli Mkuu na kumpa kikombe kilichojaa mvinyo wa ghadhabu ya hasira yake. 2016:20 Ufu 6:14Kila kisiwa kikatoweka wala milima haikuonekana. 2116:21 Eze 13:13; Kut 9:23-25Mvua kubwa ya mawe yenye uzito wa talanta moja16:21 Talanta moja ni kama kilo 34. ikashuka kutoka mbinguni, ikawaangukia wanadamu. Nao wanadamu wakamlaani Mungu kwa ajili ya hayo mapigo ya mvua ya mawe, kwa sababu pigo hilo lilikuwa la kutisha.