حزقيال 1 – PCB & NEN

Persian Contemporary Bible

حزقيال 1:1‏-28

رؤيای حزقيال نبی

1‏-3در روز پنجم ماه چهارم سال سی‌ام، كه پنج سال از تبعيد يهوياكين پادشاه می‌گذشت، ناگهان آسمان به روی حزقيال، پسر بوزی، گشوده شد و خدا رؤياهايی به او نشان داد. حزقيال كاهنی بود كه با يهوديان تبعيدی، كنار رود خابور در بابل زندگی می‌كرد. حزقيال چنين تعريف می‌كند:

4در يكی از اين رؤياها، طوفانی ديدم كه از شمال به طرف من می‌آمد. پيشاپيش آن، ابر بزرگی از آتش در حركت بود، هاله‌ای از نور دور آن بود و در درون آن، چيزی مانند فلزی براق، می‌درخشيد. 5سپس، از ميان ابر، چهار موجود عجيب ظاهر شدند كه شبيه انسان بودند. 6ولی هر يک، چهار صورت و دو جفت بال داشتند! 7پاهايشان نيز مثل پای انسان بود، ولی پنجهٔ پايشان به سم گوساله شباهت داشت و مانند فلزی براق، می‌درخشيد. 8زير هر يک از بالهايشان، دستهايی می‌ديدم مثل دست انسان. 9انتهای بالهای آن چهار موجود زنده به همديگر وصل بود. آنها مستقيم حركت می‌كردند بدون آنكه برگردند.

10هر يک از آنها چهار صورت داشت: در جلو، صورت انسان؛ در طرف راست، صورت شير؛ در طرف چپ، صورت گاو و در پشت، صورت عقاب. 11هر كدام دو جفت بال داشتند، كه يک جفت باز بود و به نوک بالهای موجودات پهلويی می‌رسيد و جفت ديگر، بدنشان را می‌پوشاند. 12هر جا روحشان می‌رفت، آنها هم مستقيم می‌رفتند بدون آنكه رويشان را برگردانند.

13در ميان اين موجودات زنده، چيزهايی شبيه به زغال افروخته با مشعل روشن، در حال حركت بودند. از ميان آنها، برق می‌جهيد. 14آن موجودات زنده نيز به سرعت برق به عقب و جلو حركت می‌كردند.

15در همان حال كه به اين چهار موجود زنده خيره شده بودم، زير آنها و بر روی زمين، چهار چرخ ديدم زير هر موجود يک چرخ. 16چرخها مانند زبرجد می‌درخشيدند و همه مثل هم بودند. داخل هر چرخ، چرخ ديگری نيز قرار داشت. 17برای همين می‌توانستند بی‌آنكه مجبور باشند دور بزنند، به هر سو كه بخواهند، بروند. 18آن چهار چرخ دارای لبه‌ها و پره‌هايی بودند و دور لبه‌ها پر از چشم بود.

19‏-21وقتی آن موجودات زنده حركت می‌كردند، چرخها هم با آنها حركت می‌كردند. هنگامی كه آنها از زمين برمی‌خاستند، چرخها نيز برمی‌خاستند، و وقتی می‌ايستادند، چرخها هم می‌ايستادند، چون روح آن چهار موجود در چرخها نيز قرار داشت. پس موجودات زنده و چرخها تحت هدايت روحشان بودند.

22بالای سر موجودات زنده، چيزی شبيه به يک صفحهٔ بزرگ گسترده شده بود كه مانند بلور می‌درخشيد و انسان را به هراس می‌انداخت. 23زير اين صفحه، دو بال هر موجود زنده طوری باز بود كه به بالهای موجود ديگر می‌رسيد، و دو بال ديگر، بدنشان را می‌پوشانيد. 24وقتی پرواز می‌كردند، صدای بالهايشان مانند غرش امواج ساحل يا همچون صدای خدا و يا همانند فرياد يک لشكر بزرگ بود. وقتی می‌ايستادند، بالهايشان را پايين می‌آوردند. 25هر بار كه می‌ايستادند، از صفحهٔ بلورين بالای سر آنها صدايی به گوش می‌رسيد.

26بر فراز صفحهٔ بالای سرشان، چيزی شبيه به يک تخت سلطنتی زيبا قرار داشت كه گويی از ياقوت كبود ساخته شده بود و بر روی آن تخت، وجودی نشسته بود كه به يک انسان شباهت داشت. 27‏-28از كمر به بالا همچون فلزی غوطه‌ور در آتش می‌درخشيد، و از كمر به پايين، مانند شعله‌های آتش، تابان بود. دورتادورش را نيز نوری درخشان فرا گرفته بود كه همهٔ رنگهای رنگين‌كمان در آن ديده می‌شد.

حضور پرجلال خداوند بدين‌گونه بر من ظاهر شد. هنگامی كه آن منظره را ديدم، به خاک افتادم. آنگاه صدای كسی را شنيدم كه با من سخن می‌گفت.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 1:1-28

Viumbe Hai Na Utukufu Wa Bwana

11:1 Kum 21:10; Mt 3:16; Eze 11:24-25; Mdo 7:56; Kut 24:10Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, siku ya tano ya mwezi, wakati nilipokuwa miongoni mwa hao waliokuwa uhamishoni kando ya Mto Kebari, mbingu zilifunguka nami nikaona maono ya Mungu.

21:2 2Fal 24:15; 24:15; 24:12Katika siku ya tano ya mwezi, ilikuwa mwaka wa tano wa kuhamishwa kwa Mfalme Yehayakini, 31:3 2Fal 3:15; Isa 8:11; 2Pet 1:21; Eze 24:24; 3:14, 22; 33:22neno la Bwana lilimjia Ezekieli kuhani, mwana wa Buzi, kando ya Mto Kebari, katika nchi ya Wakaldayo. Huko mkono wa Bwana ulikuwa juu yake.

41:4 Yer 1:14; 23:19; Eze 8:2; Ay 38:1Nilitazama, nikaona dhoruba kubwa ikitoka kaskazini, wingu kubwa sana pamoja likiwa na umeme wa radi likiwa limezungukwa na mwanga mkali. Katikati ya huo moto kulikuwa kama rangi ya manjano ya chuma kinapokuwa ndani ya moto. 51:5 Isa 6:2; Ufu 4:6; Dan 7:13Katika ule moto kulikuwa na kitu kinachofanana na viumbe vinne vyenye uhai. Katika kuonekana kwake vilikuwa na umbo mfano wa mwanadamu, 61:6 Eze 10:14lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne. 71:7 Dan 10:6; Ufu 1:15; Eze 40:3Miguu yao ilikuwa imenyooka, nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za miguu ya ndama, nazo zilimetameta kama shaba iliyosuguliwa. 81:8 Eze 10:8; 10:18, 21Chini ya mabawa yao katika pande zao nne walikuwa na mikono ya mwanadamu. Wote wanne walikuwa na nyuso na mabawa, 91:9 Eze 10:22; 10:11; 1:11nayo mabawa yao yaligusana. Kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja, hawakugeuka walipokuwa wanatembea.

101:10 Eze 10:4; Ufu 4:7; Hes 2:10Kuonekana kwa nyuso zao kulikuwa hivi: Kila mmoja wa wale wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na kwa upande wa kulia kila mmoja alikuwa na uso wa simba, upande wa kushoto alikuwa na uso wa ngʼombe pia kila mmoja alikuwa na uso wa tai. 111:11 Isa 6:2Hivyo ndivyo zilivyokuwa nyuso zao. Mabawa yao yalikunjuliwa kuelekea juu, kila mmoja alikuwa na mabawa mawili ambayo kila moja liligusa bawa la mwenzake kila upande na mabawa mengine mawili yakifunika mwili wake. 121:12 Eze 10:16-19; 10:22Kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja. Popote roho alipotaka kwenda, ndipo walipokwenda pasipo kugeuka. 131:13 Ufu 4:5; Mt 28:3; 2Sam 22:9Kuonekana kwa vile viumbe hai katikati kulikuwa kama makaa ya mawe yanayowaka au kama mienge. Moto ule ulikuwa ukienda mbele na nyuma katikati ya vile viumbe, ulikuwa na mwangaza mkali na katikati ya ule moto kulitoka kimulimuli kama umeme wa radi. 141:14 Zek 4:10; Za 29:7; Amu 13:20Vile viumbe vilipiga mbio kwenda na kurudi, kama vimulimuli vya umeme wa radi.

151:15 Eze 3:13; 10:2; Dan 7:9Nilipokuwa nikitazama vile viumbe hai, niliona gurudumu moja juu ya ardhi kando ya kila kiumbe kikiwa na nyuso zake nne. 161:16 Dan 10:6; Kut 28:20Hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa hayo magurudumu na muundo wake: yalingʼaa kama zabarajadi, nayo yote manne yalifanana. Kila gurudumu lilikuwa na gurudumu jingine ndani yake. 171:17 Eze 1:12; 1:19Yalipokwenda yalielekea upande wowote wa pande nne walipoelekea wale viumbe, magurudumu hayakuzunguka wakati viumbe vile vilipokwenda. 181:18 Mit 15:3; Eze 10:12; Ufu 4:6Kingo zake zilikuwa ndefu kwenda juu na za kutisha, nazo zote nne zilijawa na macho pande zote.

191:19 Eze 1:16, 17Vile viumbe hai vilipokwenda, magurudumu yaliyokuwa kando yao yalisogea na wakati hivyo viumbe hai vilipoinuka kutoka ardhini magurudumu nayo yaliinuka. 201:20 Eze 1:12; 10:17Mahali popote roho alipokwenda wale viumbe nao walikwenda, nayo magurudumu yaliinuka pamoja navyo, kwa sababu roho ya vile viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu. 211:21 Eze 10:9, 12, 17Wakati viumbe vile viliposogea, nayo magurudumu yalisogea, viumbe viliposimama kimya, nayo pia yalisimama kimya, viumbe vilipoinuka juu ya nchi magurudumu yaliinuliwa pamoja navyo kwa kuwa roho ya hivyo viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu.

221:22 Eze 10:1, 5Juu ya vichwa vya hao viumbe hai palikuwa na kitu mfano wa eneo lililokuwa wazi, lililokuwa angavu kabisa na lenye kutisha. 23Chini ya hiyo nafasi mabawa yao yalitanda moja kuelekea jingine, kila mmoja alikuwa na mabawa mengine mawili yaliyofunika mwili wake. 241:24 2Fal 7:6; Ufu 14:2; Dan 10:6; Za 18:13; 46:3; Eze 10:5; 43:2; Ufu 19:6Viumbe wale waliposogea nilisikia sauti ya mabawa yao, kama ngurumo ya maji yaendayo kasi, kama sauti ya Mwenyezi,1:24 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania. kama makelele ya jeshi. Waliposimama kimya walishusha mabawa yao.

25Ndipo ikaja sauti toka juu ya ile nafasi ya wazi iliyokuwa juu ya vichwa vyao, waliposimama mabawa yao yakiwa yameshushwa. 261:26 Kut 24:10; Eze 10:1; Ufu 1:13; Isa 6:1; 1Fal 22:19; Yer 3:17Juu ya ile nafasi ya wazi iliyokuwa juu ya vichwa vyao kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi. Na juu ya kile kiti cha enzi kulikuwa na umbo mfano wa mwanadamu. 271:27 Eze 8:2Nikaona kwamba kutokana na kile nilichoona kama kiuno chake kuelekea juu alionekana kama chuma inayowaka kana kwamba imejaa moto na kuanzia kiuno kwenda chini alionekana kama moto na mwanga mkali ulimzunguka. 281:28 Mwa 9:13; Ufu 10:1; 4:2; 1:17; Hes 12:8; Kut 24:16; Dan 8:17; Hes 14:5; Lk 2:9; Kut 16:7Kama vile kuonekana kwa upinde wa mvua mawinguni siku ya mvua, ndivyo ulivyokuwa ule mngʼao uliomzunguka.

Hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa utukufu wa Bwana. Nilipouona, nikaanguka kifudifudi, nikasikia sauti ya mtu anaongea.