Salmo 96 – NVI & NEN

Nueva Versión Internacional

Salmo 96:1-13

Salmo 96

96:1-131Cr 16:23-33

1¡Canten al Señor un cántico nuevo!

¡Canten al Señor, habitantes de toda la tierra!

2¡Canten al Señor, alaben su nombre!

¡Proclamen día tras día su salvación!

3Anuncien su gloria entre las naciones,

sus maravillas a todos los pueblos.

4¡Grande es el Señor y digno de alabanza,

más temible que todos los dioses!

5Todos los dioses de las naciones son ídolos,

pero el Señor ha hecho los cielos.

6El esplendor y la majestad son sus heraldos;

hay poder y belleza en su santuario.

7¡Tributen al Señor, pueblos todos!

¡Tributen al Señor la gloria y el poder!

8¡Tributen al Señor la gloria que merece su nombre!

¡Traigan sus ofrendas y entren en sus atrios!

9¡Póstrense ante el Señor en la hermosura de su santidad!

¡Tiemble delante de él toda la tierra!

10Digan las naciones:

«¡El Señor reina!».

Ha establecido el mundo con firmeza;

jamás será removido.

Él juzga a los pueblos con equidad.

11¡Alégrense los cielos, regocíjese la tierra!

¡Brame el mar y todo lo que él contiene!

12¡Canten alegres los campos y todo lo que hay en ellos!

¡Que canten alegres todos los árboles del bosque!

13¡Canten delante del Señor porque ya viene!

¡Ya viene a juzgar la tierra!

Y juzgará al mundo con justicia

y a los pueblos con fidelidad.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 96:1-13

Zaburi 96

Mungu Mfalme Mkuu

(1 Nyakati 16:23-33)

196:1 Za 30:4; 33:3; 40:4; 98:1; 144:9; Isa 42:10; Ufu 5:9Mwimbieni Bwana wimbo mpya;

mwimbieni Bwana dunia yote.

296:2 Isa 42:10; Ufu 5:9; Za 68:4; 27:1; 71:15Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;

tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

396:3 Za 8:1; 71:17; 15:3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

496:4 Za 48:1; 89:7; 95:3; Kum 28:58; 1Nya 16:25Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

596:5 Mwa 1:1; Isa 42:5; 41:24; Law 19:4; Yer 10:11; 2Nya 2:12; Hab 2:18-20; Mdo 19:26; 1Kor 8:4, 5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

lakini Bwana aliziumba mbingu.

696:6 Za 21:5; 29:1; 89:17Fahari na enzi viko mbele yake;

nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

796:7 Za 29:1; 22:27Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,

mpeni Bwana utukufu na nguvu.

896:8 Za 45:12; 51:19; 72:10; 65:4; 84:10; 92:13; 100:4Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

leteni sadaka na mje katika nyua zake.

996:9 Kut 15:14; 23:25; Yon 1:9; Za 93:5; 114:7; 33:8Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;

dunia yote na itetemeke mbele zake.

1096:10 Za 97:1; 24:2; 78:69; 119:90; 93:1; 58:11; 67:4; 98:9Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”

Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;

atawahukumu watu kwa uadilifu.

1196:11 Ufu 12:12; Za 97:1; Isa 49:13Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

1296:12 Isa 44:23; 55:12; Eze 17:24; Za 65:13mashamba na yashangilie,

pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;

1396:13 Ufu 19:11; Za 7:11; Mdo 17:31; Za 86:11itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,

anakuja kuihukumu dunia.

Ataihukumu dunia kwa haki,

na mataifa katika kweli yake.