Salmo 38Sal 38 En el texto hebreo 38:1-22 se numera 38:2-23.
Salmo de David, para las ofrendas memoriales.
1Señor, no me reprendas en tu enojo
ni me castigues en tu ira.
2Porque tus flechas me han atravesado
y sobre mí ha caído tu mano.
3Por causa de tu indignación no hay nada sano en mi cuerpo;
por causa de mi pecado no me quedan huesos sanos.
4Mis maldades me abruman,
son una carga demasiado pesada para mí.
5Por causa de mi insensatez
mis llagas hieden y supuran.
6Estoy agobiado, del todo abatido;
todo el día ando afligido.
7Mi espalda está llena de dolores punzantes;
no hay nada sano en mi cuerpo.
8Me siento débil, completamente deshecho;
mi corazón gime angustiado.
9Ante ti, Señor, están todos mis deseos;
no te son un secreto mis suspiros.
10Late mi corazón con violencia,
las fuerzas me abandonan,
hasta la luz de mis ojos se apaga.
11Mis amigos y vecinos se apartan de mis llagas;
mis parientes se mantienen a distancia.
12Tienden sus trampas los que quieren matarme;
maquinan mi ruina los que buscan mi mal
y todo el día urden engaños.
13Pero yo, como un sordo, no escucho;
como un mudo, no respondo.
14Soy como los que no oyen
ni pueden hablar para defenderse.
15Yo, Señor, espero en ti;
tú, Señor y Dios mío, serás quien responda.
16Tan solo pido que no se burlen de mí,
que cuando tropiece no se crean superiores.
17Estoy por desfallecer;
el dolor no me deja un solo instante.
18Voy a confesar mi iniquidad,
pues mi pecado me angustia.
19Mis enemigos son muchos y poderosos;
abundan los que me odian sin motivo.
20Por hacer el bien, me pagan con el mal;
por procurar lo bueno, se ponen en mi contra.
21Señor, no me abandones;
Dios mío, no te alejes de mí.
22Señor de mi salvación,
¡ven pronto en mi ayuda!
Zaburi 38
Maombi Ya Mtu Anayeteseka
Zaburi ya Daudi. Maombi.
138:1 Za 6:1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,
wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.
238:2 Ay 6:4Kwa kuwa mishale yako imenichoma,
na mkono wako umenishukia.
338:3 Mit 3:8; 4:22; Ay 33:19Hakuna afya mwilini mwangu
kwa sababu ya ghadhabu yako,
mifupa yangu haina uzima
kwa sababu ya dhambi zangu.
438:4 Za 40:12; 65:3; Hes 11:14; Ezr 9:6; Lk 11:46Maovu yangu yamenifunika
kama mzigo usiochukulika.
538:5 Za 147:3; Ay 19:17; Za 69:5; Mit 5:23; 12:23; 13:16; Mhu 10:3Majeraha yangu yameoza na yananuka,
kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
638:6 Za 57:6; 145:14; 146:8; 35:14Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,
mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.
738:7 Ay 14:22; 7:5Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,
hakuna afya mwilini mwangu.
838:8 Za 6:3, 6; 22:1; 34:18; Mit 17:22; 5:11Nimedhoofika na kupondwa kabisa,
nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
938:9 Za 119:20; 143:7; Ay 3:24Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku
yako wazi mbele zako,
kutamani kwangu sana
hakufichiki mbele zako.
1038:10 Ay 37:1; Za 6:7; 31:10; 19:8; 88:9Moyo wangu unapigapiga,
nguvu zangu zimeniishia;
hata macho yangu yametiwa giza.
1138:11 Za 38:5; Lk 10:31Rafiki na wenzangu wananikwepa
kwa sababu ya majeraha yangu;
majirani zangu wanakaa mbali nami.
1238:12 Za 35:4, 20; 140:5; 31:4; 141:9; 41:5Wale wanaotafuta uhai wangu
wanatega mitego yao,
wale ambao wangetaka kunidhuru
huongea juu ya maangamizi yangu;
hufanya shauri la hila mchana kutwa.
1338:13 Za 115:6; 135:17; Isa 43:8; Mk 7:37Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,
ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,
14nimekuwa kama mtu asiyesikia,
ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.
1538:15 Za 27:14; 17:6; Yer 14:8Ee Bwana, ninakungojea wewe,
Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.
1638:16 Za 22:17; Kum 32:35Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,
wala wasijitukuze juu yangu
mguu wangu unapoteleza.”
1738:17 Za 37:24; 38:7; Ay 6:10Kwa maana ninakaribia kuanguka,
na maumivu yangu yananiandama siku zote.
1838:18 Law 26:40; Ay 31:33; Za 32:5; Mit 28:13; 2Kor 7:9Naungama uovu wangu,
ninataabishwa na dhambi yangu.
1938:19 Za 18:17; 25:19; 35:19Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,
wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.
2038:20 Mwa 44:4; Yn 3:12; 1Pet 3:13; Za 54:5; 59:10; 119:23; 1Yn 3:12Wanaolipa maovu kwa wema wangu
hunisingizia ninapofuata lililo jema.
2138:21 Za 22:1, 11; 27:9; 71:18; 119:8; 10:1; 35:22; 71:12Ee Bwana, usiniache,
usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.
2238:22 Za 22:19; 40:13; 1Nya 16:35; Kut 15:2; Isa 12:2Ee Bwana Mwokozi wangu,
uje upesi kunisaidia.