1 Cronici 9 – NTLR & NEN

Nouă Traducere În Limba Română

1 Cronici 9:1-44

Primii repatriați la Ierusalim

(Neem. 11:3-19)

1Tot Israelul a fost înscris în genealogii și trecut în „Cartea regilor lui Israel“. Iuda însă a fost luat în captivitate, la Babilon, din cauza necredincioșiei lui. 2Primii locuitori care s‑au reîntors la proprietățile lor, în cetățile lor, au fost Israel, preoții, leviții și slujitorii de la Templu. 3Aceia dintre fiii lui Iuda, dintre fiii lui Beniamin și dintre fiii lui Efraim și Manase, care au locuit la Ierusalim, au fost:

4Utai, fiul lui Amihud, fiul lui Omri, fiul lui Imri, fiul lui Bani – dintre fiii lui Pereț, fiul lui Iuda;

5dintre șiloniți –

Asaia, cel întâi născut, împreună cu fiii lui;

6dintre zerahiți –

Ieuel,

precum și frații lor în număr de șase sute nouăzeci;

7dintre fiii lui Beniamin –

Salu, fiul lui Meșulam, fiul lui Hodavia, fiul lui Hasnua;

8apoi Ibneia, fiul lui Ieroham; Ela, fiul lui Uzi, fiul lui Micri; Meșulam, fiul lui Șefatia, fiul lui Reuel, fiul lui Ibnia;

9de asemenea, și frații lor, înscriși în genealogii, în număr de nouă sute cincizeci și șase; toți acești bărbați erau căpetenii de familie, potrivit familiilor lor.

10Dintre preoți –

Iedaia, Iehoiarib, Iachin,

11Azaria, fiul lui Hilchia, fiul lui Meșulam, fiul lui Țadok, fiul lui Meraiot, fiul lui Ahitub, conducător peste Casa lui Dumnezeu;

12Adaia, fiul lui Ieroham, fiul lui Pașhur, fiul lui Malchia; Maasai, fiul lui Adiel, fiul lui Iahzera, fiul lui Meșulam, fiul lui Meșilemit, fiul lui Imer;

13de asemenea, și frații lor, căpeteniile familiilor lor, în număr de o mie șapte sute șaizeci; ei erau oameni destoinici, puși în lucrarea de slujire la Casa lui Dumnezeu.

14Dintre leviți –

Șemaia, fiul lui Hașub, fiul lui Azrikam, fiul lui Hașabia, dintre fiii lui Merari, 15Bakbakar, Hereș, Galal, Matania, fiul lui Mica, fiul lui Zicri, fiul lui Asaf; 16Obadia, fiul lui Șemaia, fiul lui Galal, fiul lui Iedutun; Berechia, fiul lui Asa, fiul lui Elkana, cel care a locuit în satele netofatiților.

17Dintre portari –

Șalum, Akub, Talmon, Ahiman și frații lor. Șalum era căpetenia; 18el este și azi la poarta regelui de la răsărit. Ei au fost portarii taberei leviților. 19Șalum, fiul lui Kore, fiul lui Ebiasaf, fiul lui Korah, și frații lui din neamul tatălui său, korahiții, împlineau slujba de păzitori ai pragurilor Cortului19, 21, 23 Este vorba despre Templu., la fel cum părinții lor fuseseră responsabili în tabăra Domnului cu păzirea intrării. 20Odinioară, Fineas, fiul lui Elazar, fusese conducătorul lor, iar Domnul era cu el. 21Zaharia, fiul lui Meșelemia, a fost portar al intrării Cortului Întâlnirii.

22Toți cei aleși ca portari ai intrărilor au fost în număr de două sute doisprezece. Aceștia au fost înscriși în genealogiile lor, în satele lor. David și văzătorul Samuel le‑au încredințat slujba aceasta. 23Ei și fiii lor aveau îndatorirea de a păzi porțile Casei Domnului, adică a încăperii23 Lit.: casei. Cortului. 24Erau portari în toate cele patru vânturi: răsărit, apus, nord și sud. 25Frații lor veneau din când în când din satele lor, ca să stea împreună cu ei timp de șapte zile. 26Căci cei mai de seamă patru portari, toți leviți, cărora li s‑a încredințat slujba aceasta, erau responsabili atât peste odăi, cât și peste vistieriile Casei lui Dumnezeu. 27Ei rămâneau peste noapte în jurul Casei lui Dumnezeu, căci răspundeau de paza ei și de cheia folosită la deschiderea ei în fiecare dimineață.

28Unii dintre ei erau responsabili cu uneltele pentru slujbă – ei le numărau și atunci când erau aduse, și atunci când erau luate. 29Alții fuseseră însărcinați cu lucrurile și cu toate obiectele Locului Sfânt, precum și cu făina aleasă, vinul, untdelemnul, tămâia și miresmele. 30Alții, dintre fiii preoților, pregăteau amestecul de mirodenii. 31Levitului Matitia, întâiul născut al korahitului Șalum, îi era încredințată pregătirea turtelor. 32Unii dintre chehatiți, dintre frații lor, erau responsabili să pregătească pâinea prezentării pentru fiecare zi de Sabat.

33Aceștia au fost cântăreții, căpeteniile familiilor leviților, care locuiau în odăile Templului, neavând alte îndatoriri, deoarece erau angajați în slujire zi și noapte.

34Acestea au fost căpeteniile familiilor leviților, căpetenii înscrise în genealogii. Ei locuiau la Ierusalim.

Familia lui Saul

(8:29-38)

35La Ghivon a locuit tatăl lui Ghivon, Ieiel.

Numele soției lui era Maaca. 36Abdon a fost fiul lui întâi născut, urmat apoi de: Țur, Chiș, Baal, Ner, Nadab, 37Ghedor, Ahio, Zaharia și Miklot. 38Lui Miklot i s‑a născut Șimam.

Și aceștia, asemenea fraților lor, au locuit la Ierusalim împreună cu frații lor.

39Lui Ner i s‑a născut Chiș, lui Chiș – Saul, iar lui Saul – Ionatan, Malchi‑Șua, Abinadab și Eșbaal39 Cunoscut și ca Iș‑Boșet..

40Fiul lui Ionatan a fost Merib-Baal40 Cunoscut și ca Mefiboșet.;

lui Merib-Baal i s‑a născut Mica.

41Fiii lui Mica au fost:

Piton, Melek, Tahrea și Ahaz.

42Lui Ahaz i s‑a născut Iada;

lui Iada i s‑au născut Alemet, Azmavet și Zimri,

iar lui Zimri i s‑a născut Moța. 43Lui Moța i s‑a născut Bina, al cărui fiu a fost Rafa. Fiul acestuia a fost Elasa, iar fiul acestuia a fost Ațel.

44Ațel a avut șase fii; numele lor au fost:

Azrikam, Bocru44 Sau: Azrikam, întâiul său născut, Bocru însemnând întâi născut., Ismael, Șearia, Obadia și Hanan. Aceștia au fost fiii lui Ațel.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 9:1-44

19:1 1Nya 5:25Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli.

Watu Katika Yerusalemu

Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu. 29:2 Yos 9:27; Ezr 2:70; 8:20; Neh 7:5; Law 26:33; 2Nya 33:11; 36:5Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.9:2 Yaani Wanethini.

39:3 Neh 11:1Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:

Jamaa Za Yuda

49:4 Mwa 38:29; 46:12; Hes 26:20Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.

5Wazao wa Washiloni waliorudi ni:

Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.

6Kwa wana wa Zera:

Yeueli.

Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.

Jamaa Za Benyamini

7Kwa Benyamini walikuwa:

Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;

8Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.

9Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.

Jamaa Za Makuhani

109:10 Neh 11:10; 12:19Wa jamaa za makuhani walikuwa:

Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;

11Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.

129:12 Neh 10:3; Yer 38:1Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.

13Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.

Jamaa Za Walawi

149:14 1Nya 6:19; Neh 11:15-19Jamaa za Walawi walikuwa:

Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari. 159:15 2Nya 20:14; Neh 11:22Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu. 169:16 Neh 12:28; 1Nya 2:54; Neh 7:26Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.

Jamaa Za Mabawabu

179:17 Ezr 2:42; Neh 7:4; 1Nya 23:5; 26:1; Za 84:10Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa:

Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu. 189:18 Eze 43:1; 46:1; 2Fal 11:19; Eze 44:23Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi. 199:19 Yer 35:4; Hes 26:9-11Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana. 209:20 Hes 25:7-13; Kut 6:25; Hes 3:32; 31:6; Yos 22:30-31; Za 106:30Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:

219:21 1Nya 26:2, 14Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.

229:22 1Nya 26:1; 2Nya 31:15, 18; 1Sam 9:9Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli. 23Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema. 249:24 1Nya 26:13-19Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini. 259:25 2Fal 11:5; 2Nya 23:8Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba. 269:26 1Nya 26:22Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu. 279:27 Hes 3:38; 1Nya 23:30-32; 1Sam 22:22Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.

28Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa. 299:29 Hes 3:23; 1Nya 23:29Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo. 309:30 Kut 30:25; 37:29; Yer 6:20; Eze 27:19-22; Mk 14:3Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo. 319:31 Law 24:5-8; 2Nya 13:11; Law 6:21Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka. 329:32 Kut 40:23; Ebr 9:2, 24; Yn 6:32, 33Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.

339:33 1Nya 25:1-31; 2Nya 5:12; Za 134:1; 1Nya 6:31; 13:8; 15:16Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.

34Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

Ukoo Wa Sauli

(1 Nyakati 8:29-38)

359:35 1Nya 8:29Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka, 36mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu, 37Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi. 38Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

399:39 1Nya 8:33; 1Sam 9:1; 13:22; 2Sam 2:8Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.9:39 Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mtu wa Aibu (2Sam 2:8).

409:40 2Sam 4:4Yonathani akamzaa Merib-Baali,9:40 Pia anajulikana kwa jina la Mefiboshethi.

naye Merib-Baali akamzaa Mika.

419:41 2Sam 9:12; 1Nya 8:35Wana wa Mika walikuwa:

Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.

42Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa. 43Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

44Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao:

Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.