Zekaria 9 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 9:1-17

Hukumu Juu Ya Adui Za Israeli

1Neno:

9:1 Isa 17:1; Amo 1:5; Za 145:15Neno la Bwana liko kinyume na nchi ya Hadraki

na Dameski itakuwa mahali pa kupumzika,

kwa kuwa macho ya watu na ya kabila zote

za Israeli yako kwa Bwana,

29:2 Yer 49:23; Eze 28:1-19; Mwa 10:15; Amo 1:9; Oba 1:20pia juu ya Hamathi inayopakana nayo,

juu ya Tiro na Sidoni,

ingawa wana ujuzi mwingi sana.

39:3 Ay 27:16; Eze 28:4Tiro amejijengea ngome imara,

amelundika fedha kama mavumbi

na dhahabu kama taka za mitaani.

49:4 Isa 23:1, 11; Yer 25:22; Eze 26:3-5; 27:32-36; 28:18Lakini Bwana atamwondolea mali zake

na kuuangamiza uwezo wake wa baharini,

naye atateketezwa kwa moto.

59:5 Yer 47:5; Sef 2:5; Mdo 8:26Ashkeloni ataona hili na kuogopa;

Gaza atagaagaa kwa maumivu makali,

pia Ekroni, kwa sababu

matumaini yake yatanyauka.

Gaza atampoteza mfalme wake

na Ashkeloni ataachwa pweke.

69:6 Isa 14:30Wageni watakalia mji wa Ashdodi,

nami nitakatilia mbali kiburi cha Wafilisti.

79:7 Ay 25:2; Yoe 3:4; Sef 2:4; Yer 47:1Nitaondoa damu vinywani mwao,

chakula kile walichokatazwa kati ya meno yao.

Mabaki yao yatakuwa mali ya Mungu wetu,

nao watakuwa viongozi katika Yuda,

naye Ekroni atakuwa kama Wayebusi.

89:8 Isa 26:1; 52:1; 54:14; Zek 14:21; Yoe 3:17; Kum 33:27; Za 34:7; Kut 3:7Lakini nitailinda nyumba yangu

dhidi ya majeshi ya wanyangʼanyi.

Kamwe mdhalimu hatashambulia watu wangu tena,

kwa maana sasa ninawachunga.

Kuja Kwa Mfalme Wa Sayuni

99:9 Isa 62:11; 9:6-7; 43:3-11; 1Fal 1:39; Za 24:7; 149:2; Mik 4:8; Yer 23:5-6; Sef 3:14-15; Zek 2:10; Mwa 49:11; Mt 21:5; 1Fal 1:33; Yn 12:15; 1:49; Lk 19:38; Mdo 22:14; 1Pet 3:18Shangilia sana, ee Binti Sayuni!

Piga kelele, Binti Yerusalemu!

Tazama, Mfalme wako anakuja kwako,

ni mwenye haki, naye ana wokovu,

ni mpole, naye amepanda punda,

mwana-punda, mtoto wa punda.

109:10 Mik 4:3; 5:10; Hos 1:7; 2:18; Zek 10:4; Isa 2:4; Za 72:8; Isa 11:10; Efe 2:14; Kol 1:20-21; Za 2:8; Isa 9:6-7; Mik 5:4; Ufu 11:15Nitaondoa magari ya vita kutoka Efraimu

na farasi wa vita kutoka Yerusalemu,

nao upinde wa vita utavunjwa.

Atatangaza amani kwa mataifa.

Utawala wake utaenea kutoka bahari hadi bahari,

na kutoka Mto Frati hadi mwisho wa dunia.

119:11 Kut 24:8; Mt 26:28; Lk 22:20; Isa 10:4; 42:7; Yer 38:6; Isa 61:1Kwako wewe, kwa sababu ya damu ya Agano langu nawe,

nitawaacha huru wafungwa wako

watoke kwenye shimo lisilo na maji.

129:12 Yoe 3:16; Isa 40:2; Kum 21:17Rudieni ngome yenu, enyi wafungwa wa tumaini;

hata sasa ninatangaza kwamba

nitawarejesheeni maradufu.

139:13 2Sam 22:25; Isa 49:2; Yoe 3:6; Yer 51:20Nitampinda Yuda kama nipindavyo upinde wangu,

nitamfanya Efraimu mshale wangu.

Nitawainua wana wako, ee Sayuni,

dhidi ya wana wako, ee Uyunani,

na kukufanya kama upanga wa shujaa wa vita.

Bwana Atatokea

14Kisha Bwana atawatokea;

mshale wake utamulika

kama umeme wa radi.

Bwana Mwenyezi atapiga tarumbeta,

naye atatembea katika tufani za kusini,

159:15 Isa 31:5; 37:35; Zek 12:8; 10:7; 14:3, 20; Kut 27:2; Law 4:25na Bwana Mwenye Nguvu Zote atawalinda.

Wataangamiza na kushinda

kwa mawe ya kutupa kwa kombeo.

Watakunywa na kunguruma kama waliolewa mvinyo;

watajaa kama bakuli linalotumika kunyunyizia

kwenye pembe za madhabahu.

169:16 Isa 10:20; Yer 31:11; Eze 37:23; Mal 3:17; Isa 11:12Bwana Mungu wao atawaokoa siku hiyo

kama kundi la watu wake.

Watangʼara katika nchi yake

kama vito vya thamani kwenye taji.

17Jinsi gani watavutia na kuwa wazuri!

Nafaka itawastawisha vijana wanaume,

nayo divai mpya vijana wanawake.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

撒迦利亚书 9:1-17

审判邻国

1以色列各支派一样,

世人的眼目都仰望耶和华。9:1 与以色列各支派一样,世人的眼目都仰望耶和华”或译“耶和华鉴察以色列各支派,也鉴察所有的世人”。

以下是耶和华的启示:

祂的惩罚必临到哈得拉

临到大马士革

2以及与大马士革比邻的哈马

极其聪明的泰尔西顿也无法幸免。

3泰尔为自己建造堡垒,

堆积的银子多如尘土,

金子多如街上的泥土。

4然而,看啊,主必夺去她的一切,

摧毁她海上的权势,

使她被火吞噬。

5亚实基伦见状必陷入恐惧,

迦萨见状必充满痛苦,

以革伦见状必希望破灭。

迦萨必失去君王,

亚实基伦必荒无人烟。

6混杂的种族必占领亚实突

9:6 ”指耶和华,下同。必铲除非利士人的骄傲。

7我必除去他们口中带血的肉和齿间的可憎之物。

余下的人必归属我9:7 ”希伯来文作“我们的上帝”。

成为犹大的一族,

以革伦人必像耶布斯人一样归属我。

8我必在我家四周安营,

不容敌人入侵,

再也不容外人来欺压我的子民,

因为现在我亲自看顾他们。

要来的君王

9锡安城啊,要充满喜乐!

耶路撒冷城啊,要欢呼!

看啊,你的王到你这里来了!

祂是公义、得胜的王,

谦卑地骑着驴,

骑着一头驴驹。

10我必铲除以法莲的战车,

铲除耶路撒冷的战马,

战弓必被折断。

祂必向列国宣告和平,

祂必统治四海之疆,

幼发拉底河直到地极。

11锡安啊,因为我用血跟你立了约,

我必将你中间被掳的人从无水之坑释放出来。

12有盼望的被掳者啊,回到你们的堡垒吧。

今日我宣布,我必加倍地补偿你们。

13我必把犹大当弓拉开,

以法莲当箭搭上,

使锡安的众子如勇士之剑,

去攻打希腊的众子。

14耶和华必在他们上面显现,

祂的箭如闪电射出。

主耶和华必吹响号角,

乘南方的暴风而来。

15万军之耶和华必保护他们,

他们必用弹石消灭、征服敌人,

饮血呐喊,犹如醉酒,

像献祭用的碗盛满了血,

又像祭坛的四角淌满了血。

16到那天,他们的上帝耶和华必拯救他们,

视他们为一群祂的子民。

他们必如王冠上的宝石闪耀在祂的土地上。

17那将是何等的奇妙,何等的美好!

五谷必滋养少男,

新酒必滋养少女。