Zekaria 7 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 7:1-14

Haki Na Rehema, Sio Kufunga

17:1 Ezr 5:1; Neh 1:1Katika mwaka wa nne wa utawala wa Mfalme Dario, neno la Bwana lilimjia Zekaria siku ya nne ya mwezi wa tisa, mwezi wa Kisleu. 27:2 Yer 26:19; Zek 8:21; Hag 2:10-14Watu wa Betheli walikuwa wamemtuma Shareza na Regem-Meleki pamoja na watu wao, kumsihi Bwana 37:3 Zek 12:12-14; 2Fal 25:9; Yer 52:12-14; Kum 17:9; Mal 2:7kwa kuwauliza makuhani wa nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote na manabii, “Je, imempasa kuomboleza na kufunga katika mwezi wa tano, kama ambavyo nimekuwa nikifanya kwa miaka mingi?”

4Kisha neno la Bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema: 57:5 Isa 58:5; 2Fal 25:25; Dan 9:2; Zek 1:12; Mt 6:16; Rum 14:6“Waulize watu wote wa nchi na makuhani, ‘Je, mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na wa saba kwa miaka sabini iliyopita, mlifunga kweli kwa ajili yangu? 67:6 Isa 43:23Na mlipokuwa mkila na kunywa, je, hamkuwa mnasherehekea kwa ajili ya nafsi zenu? 77:7 Isa 1:11-20; Yer 22:21; 17:26; 44:4-5Je, haya sio maneno ya Bwana aliyosema kupitia manabii waliotangulia, wakati Yerusalemu pamoja na miji inayoizunguka ilipokuwa katika hali ya utulivu na ya mafanikio, wakati Negebu na Shefala zikiwa zimekaliwa na watu?’ ”

8Neno la Bwana likamjia tena Zekaria: 97:9 Yer 22:3; 42:5; Zek 8:16; Kum 22:1“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Fanyeni hukumu za haki, onyesheni rehema na huruma ninyi kwa ninyi. 107:10 Yer 49:11; Kut 22:21-22; Law 25:17; Isa 1:23; Ay 35:8; Eze 45:9; Mik 6:8Msimwonee mjane wala yatima, mgeni wala maskini. Msiwaziane mabaya mioyoni mwenu ninyi kwa ninyi.’

117:11 Isa 9:9; Yer 32:33; 11:10; 17:23; 8:5; Eze 5:6“Lakini wakakataa kusikiliza, wakanipa kisogo kwa ukaidi na kuziba masikio yao. 127:12 Yer 5:3; 17:1; 42:21; Eze 11:19; Neh 9:29; Dan 9:12Wakaifanya mioyo yao migumu kama jiwe gumu na hawakuisikiliza sheria au maneno ambayo Bwana Mwenye Nguvu Zote aliyatuma kwa njia ya Roho wake kupitia manabii waliotangulia. Kwa hiyo Bwana Mwenye Nguvu Zote alikasirika sana.

137:13 Yer 7:27; 11:11; 14:12; Mit 1:28; Isa 1:15; Mao 3:44; Eze 20:31“ ‘Wakati nilipoita, hawakusikiliza, kwa hiyo walipoita, sikusikiliza,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. 147:14 Kum 4:27; 28:64-67; Law 26:33; Yer 7:34; 23:19; 44:6; Za 44:11; Isa 33:8; Eze 12:19‘Niliwatawanya kwa upepo wa kisulisuli miongoni mwa mataifa yote, mahali ambapo walikuwa wageni. Nchi ikaachwa ukiwa nyuma yao kiasi kwamba hakuna aliyeweza kuingia au kutoka. Hivi ndivyo walivyoifanya ile nchi iliyokuwa imependeza kuwa ukiwa.’ ”

Swedish Contemporary Bible

Sakarja 7:1-14

Uppmaning till rättfärdighet

1I kung Dareios fjärde regeringsår, på den fjärde dagen i nionde månaden, kislev,7:1 Den 7 dec. 518 f.Kr. kom Herrens ord till Sakarja. 2Från Betel sändes Sareser, Regem Melek och deras män för att vädja till Herren 3och rådgöra med prästerna i härskarornas Herres hus och profeterna: ”Ska jag gråta och fasta i den femte månaden7:3 Månaden då Jerusalem förstördes år 586 f.Kr. Se 2 Kung 25:8. som jag har gjort i många år?”

4Då kom härskarornas Herres ord till mig: 5”Fråga allt folket i landet och prästerna: ’När ni under sjuttio år har gråtit och fastat i den femte och den sjunde7:5 Månaden då Gedalja mördades år 581 (?) f.Kr. Se 2 Kung 25:25. För femte se not till 7:3. månaden, har det varit för mig ni har fastat? 6Och när ni har ätit och druckit, har ni inte gjort det för er egen skull? 7Är det inte dessa ord Herren predikade genom profeterna i gångna tider, när Jerusalem levde i ro och välfärd med sina omgivande städer, och när Negev och Låglandet var befolkade?’ ”

8Herrens ord kom till Sakarja: 9”Så säger härskarornas Herre: ’Döm rätta domar och visa varandra nåd och barmhärtighet. 10Förtryck inte änkan eller den faderlösa, utlänningen eller den fattige. Tänk inte ut onda planer mot varandra.’

11Men de vägrade att lyda, vände sig upproriskt bort och stängde till sina öron för att slippa höra. 12De gjorde sina hjärtan hårda som flinta, så att de inte hörde den lag och de ord som härskarornas Herre genom sin Ande hade sänt genom profeterna. Därför kom en stor vrede från härskarornas Herre.

13’När han ropade på dem ville de inte höra. När de nu ropar till mig vill jag inte lyssna, säger härskarornas Herre. 14Jag skingrar dem med en stormvind och sprider ut dem bland folk som de inte känner. Så blev landet öde efter dem, och ingen for ens därigenom. Så har de gjort det ljuvliga landet till en ödemark.’ ”