Zekaria 5 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 5:1-11

Maono Ya Sita: Kitabu Kinachoruka

15:1 Za 10:7; Yer 36:4Nikatazama tena: na hapo mbele yangu kulikuwa na kitabu kilichoruka!

25:2 Yer 1:13Akaniuliza, “Unaona nini?”

Nikamjibu, “Naona kitabu kinachoruka chenye, urefu wa dhiraa ishirini5:2 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9. na upana wa dhiraa kumi.”5:2 Dhiraa 10 ni sawa mita 4.5.

35:3 Mal 3:9; Kut 20:15; 20:7; Isa 48:1Akaniambia, “Hii ni laana inayotoka kwenda juu ya nchi yote, kwa kuwa kufuatana na yale yaliyoandikwa katika upande mmoja, kila mwizi atafukuziwa mbali, pia kufuatana na yaliyo upande wa pili, kila aapaye kwa uongo atafukuziwa mbali. 45:4 Zek 8:17; Law 14:34-35; Mit 3:33; Hab 2:9-11; Mal 3:5Bwana Mwenye Nguvu Zote asema, ‘Nitaituma hiyo laana, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi na nyumba ya huyo aapaye kwa uongo kwa Jina langu. Itabaki katika nyumba yake na kuiharibu, pamoja na mbao zake na mawe yake.’ ”

Maono Ya Saba: Mwanamke Ndani Ya Kikapu

55:5 Mik 6:10Kisha yule malaika aliyekuwa akizungumza nami akanijia na kuniambia, “Tazama juu uone ni nini kile kinachojitokeza.”

6Nikamuuliza, “Ni kitu gani?”

Akanijibu, “Ni kikapu cha kupimia.” Kisha akaongeza kusema, “Huu ni uovu wa watu katika nchi nzima.”

7Kisha kifuniko kilichotengenezwa kwa madini ya risasi kilichokuwa kimefunika kile kikapu, kiliinuliwa na ndani ya kile kikapu alikuwako mwanamke ameketi! 85:8 Mit 6:11Akasema, “Huu ni uovu,” tena akamsukumia ndani ya kikapu na kushindilia kifuniko juu ya mdomo wa kikapu.

95:9 Law 11:19Kisha nikatazama juu: na pale mbele yangu, walikuwepo wanawake wawili, wakiwa na upepo katika mabawa yao! Walikuwa na mabawa kama ya korongo, nao wakainua kile kikapu na kuruka nacho kati ya mbingu na nchi.

10Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Wanakipeleka wapi hicho kikapu?”

115:11 Mwa 10:10; Yer 29:5, 28; Dan 1:2Akanijibu, “Wanakipeleka katika nchi ya Babeli na kujenga nyumba kwa ajili yake. Itakapokuwa tayari, kikapu kitawekwa pale mahali pake.”

La Bible du Semeur

Zacharie 5:1-11

Le rouleau volant

1Je levai de nouveau les yeux et je vis un rouleau manuscrit qui volait. 2L’ange me demanda : Que vois-tu ?

Je lui répondis : Je vois un rouleau qui vole, il a dix mètres de long et cinq de large.

3Alors il me dit : Ce rouleau représente la malédiction divine qui se répand sur tout le pays. Sur l’une de ses faces, il est écrit que tout voleur sera chassé d’ici, et sur l’autre, que tous ceux qui prononcent de faux serments seront chassés d’ici. 4Je ferai venir cette malédiction – le Seigneur des armées célestes le déclare – pour qu’elle atteigne la maison de chaque voleur et celle des gens qui prêtent par mon nom de faux serments : elle s’établira dans cette maison et la détruira complètement, jusqu’aux poutres et aux pierres.

Le boisseau

5Puis l’ange chargé de me parler sortit et me dit : Lève les yeux et regarde ce qui vient là.

6– Qu’est-ce ? lui demandai-je.

Il me répondit : C’est un boisseau qui vient5.6 Le boisseau était la plus grande mesure de capacité des Hébreux..

Puis il ajouta : Il représente le péché du peuple5.6 le péché du peuple: dans le texte hébreu traditionnel, leur œil, ce qui vient d’une légère différence en hébreu, corrigée par les versions. dans tout le pays.

7Soudain, un couvercle de plomb se souleva et une femme apparut, assise à l’intérieur du boisseau.

8– Cette femme, me dit l’ange, c’est la Méchanceté.

Et il la repoussa à l’intérieur du boisseau qu’il referma avec le couvercle de plomb.

9Je regardai et je vis arriver deux femmes. Le vent gonflait leurs ailes semblables aux ailes des cigognes. Elles soulevèrent le boisseau entre ciel et terre. 10Je demandai à l’ange chargé de me parler : Où emportent-elles le boisseau ?

11Il me répondit : Elles l’emportent en Babylonie5.11 Pays de l’idolâtrie. La méchanceté devra être éliminée du pays d’Israël pour qu’il devienne pleinement la « terre sacrée » (2.16)., où elles lui bâtiront un sanctuaire. Lorsqu’il sera prêt, on le fixera là sur son piédestal.