Zekaria 14 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 14:1-21

Bwana Yuaja Kutawala

114:1 Isa 13:6; 23:18; Yoe 1:15; Mal 4:1Siku ya Bwana inakuja ambayo nyara zilizotekwa kwenu zitagawanywa miongoni mwenu.

214:2 Isa 2:3; Zek 12:3; 13:8; Eze 5:8; Mwa 34:29; Mao 5:11; Isa 13:6; Yoe 3:2Nitayakusanya mataifa yote huko Yerusalemu kupigana dhidi yake, mji utatekwa, nyumba zitavamiwa na kuporwa na wanawake watanajisiwa. Nusu ya mji watakwenda uhamishoni, lakini watakaobaki hawataondolewa kutoka mjini.

314:3 Zek 9:14-15; 8:9; Isa 8:9Kisha Bwana atatoka na kupigana dhidi ya watu wa yale mataifa, kama apiganavyo siku ya vita. 414:4 Eze 11:23; Hes 16:31; Mdo 1:11-12; Yoe 3:12Siku hiyo miguu yake itasimama juu ya Mlima wa Mizeituni, mashariki mwa Yerusalemu, nao Mlima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili kuanzia mashariki hadi magharibi, ukifanya bonde kubwa, nusu ya mlima ukisogea kuelekea kaskazini na nusu kuelekea kusini. 514:5 Isa 29:6; 66:15-16; Mt 16:27; 25:31; Yud 14; Mt 24:30; Yoe 3:11Nanyi mtakimbia kupitia katika bonde hilo la mlima wangu kwa kuwa litaenea hadi Aseli. Mtakimbia kama mlivyokimbia tetemeko la ardhi katika siku za Uzia mfalme wa Yuda. Kisha Bwana Mungu wangu atakuja na watakatifu wote pamoja naye.

614:6 Isa 13:10; Yer 4:23Siku hiyo hakutakuwepo nuru, baridi wala theluji. 714:7 Yer 30:7; Ufu 21:23-25; 22:5; Isa 13:10; 30:26Itakuwa siku ya kipekee, isiyo na mchana wala usiku, siku ijulikanayo na Bwana. Jioni inapofika nuru itakuwepo.

814:8 Eze 47:1-12; Yn 7:38; Ufu 22:1-2; Isa 30:25; Yoe 2:20; Mwa 8:22Siku hiyo, maji yaliyo hai yatatiririka kutoka Yerusalemu, nusu kwenda kwenye bahari ya mashariki,14:8 Yaani Bahari ya Chumvi au Bahari Mfu. na nusu kwenda kwenye bahari ya magharibi14:8 Yaani Bahari ya Mediterania. wakati wa kiangazi na wakati wa masika.

914:9 Za 22:28; 47:7; Oba 1:21; Kum 6:4; Isa 45:24; Ufu 15:1; Hab 2:14; Efe 4:5-6; Za 2:8Bwana atakuwa mfalme juu ya dunia yote. Katika siku hiyo atakuwepo Bwana mmoja na jina lake litakuwa jina pekee.

1014:10 1Fal 15:22; Yos 15:32; Isa 2:2; Yer 20:2; 30:18; Amo 9:11; Zek 12:6; 2Fal 14:13; Neh 3:1Nchi yote kuanzia Geba, kaskazini mwa Yuda, hadi Rimoni, kusini mwa Yerusalemu, itakuwa kama Araba.14:10 Araba maana yake Nchi tambarare. Lakini Yerusalemu utainuliwa juu na kubaki mahali pake, toka Lango la Benyamini hadi mahali pa Lango la Kwanza, mpaka kwenye Lango la Pembeni na kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye mashinikizo ya divai ya mfalme. 1114:11 Zek 2:4; Za 48:8; Eze 34:25-28; Yer 31:40Utakaliwa na watu, kamwe hautaharibiwa tena, Yerusalemu utakaa salama.

1214:12 Isa 11:4; Law 26:16; Kum 28:22; Ay 18:13Hii ndiyo tauni ambayo Bwana atapiga nayo mataifa yote ambayo yalipigana dhidi ya Yerusalemu: Nyama ya miili yao itaoza wangali wamesimama kwa miguu yao, macho yao yataoza kwenye matundu yake na ndimi zao zitaoza vinywani mwao. 1314:13 Mwa 35:5; Amu 7:22; Zek 11:6; 1Sam 14:15Katika siku hiyo Bwana atawatia wanaume hofu kuu. Kila mwanaume atakamata mkono wa mwenzake nao watashambuliana. 1414:14 Zek 12:2; Isa 23:18Yuda pia atapigana katika Yerusalemu. Utajiri wa mataifa yote yanayoizunguka Yerusalemu utakusanywa, wingi wa dhahabu, fedha na nguo. 15Tauni ya aina iyo hiyo itapiga farasi na nyumbu, ngamia na punda, nao wanyama wote walioko kwenye kambi za adui.

1614:16 2Fal 19:31; Za 22:29; 86:9; Isa 19:21; 60:6-9; Oba 1:21; Kut 23:16; Isa 66:23; 1Tim 6:15; Law 23:34; Neh 8:14; Hos 12:9Kisha walionusurika katika mataifa yote ambayo yaliushambulia Yerusalemu watakuwa wakipanda Yerusalemu kila mwaka kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote na kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda. 1714:17 2Nya 32:23; Yer 14:4; Amo 4:7; Isa 60:12Ikiwa taifa lolote la dunia hawatakwenda Yerusalemu kumwabudu Mfalme, Bwana Mwenye Nguvu Zote, mvua haitanyesha kwao. 1814:18 Mwa 27:29Ikiwa watu wa Misri nao hawatakwenda kushiriki, hawatapata mvua. Bwana ataleta juu yao tauni ile ambayo itawapiga mataifa yale ambayo hayatakwenda kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda. 1914:19 Ezr 3:4Hii itakuwa adhabu ya Misri na adhabu ya mataifa yote yale ambayo hayatakwenda Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Vibanda.

2014:20 Kut 39:30; Eze 46:20; Zek 9:15Katika siku hiyo, kengele zilizofungwa kwenye farasi zitaandikwa maneno haya: Takatifu kwa Bwana, navyo vyungu vya kupikia katika nyumba ya Bwana vitakuwa kama bakuli takatifu mbele ya madhabahu. 2114:21 Yer 31:40; Rum 14:6-7; 1Kor 10:31; Neh 8:10; 11:1; Eze 44:9; Kol 3:17; Isa 35:8; Ufu 21:27; Efe 2:19Kila chungu kilichoko Yerusalemu na Yuda kitakuwa kitakatifu kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote na wote wanaokuja kutoa dhabihu watachukua baadhi ya vyungu hivyo na kupikia. Katika siku hiyo hatakuwepo tena mfanyabiashara katika nyumba ya Bwana Mwenye Nguvu Zote.

Swedish Contemporary Bible

Sakarja 14:1-21

Herren kommer och regerar

1Se, Herrens dag kommer! Då ska man plundra dig och fördela14:1 Syftar uppenbarligen på Jerusalem, se följande vers. bytet.

2Jag ska samla alla folk till strid mot Jerusalem. Staden ska intas, husen plundras, kvinnorna våldtas och halva staden föras bort i fångenskap, men resten av folket ska inte fördrivas.

3Då ska Herren dra ut och strida mot dessa folk, så som han stred på slagets dag. 4Hans fötter ska den dagen stå på Olivberget, som ligger mitt emot Jerusalem, i öster. Olivberget ska dela sig mitt itu från öster till väster, till en mycket stor dal. Halva berget ska falla åt norr och halva berget åt söder. 5Ni ska fly genom dalen mellan mina berg, för dalen mellan bergen ska sträcka sig ända fram till Asal. Ni ska fly som ni flydde för jordbävningen på judakungen Ussias tid.14:5 Grundtextens innebörd är osäker. Enligt Septuaginta börjar versen: Dalen mellan mina berg ska spärras…Den ska spärras som vid jordbävningen… Då ska Herren, min Gud, komma och alla heliga med honom.

6Den dagen ska det inte finnas något ljus, himlaljusen ska förmörkas.14:6 Eller: …inte längre finnas någon kyla eller frost.Grundtexten är svårförståelig. 7Det blir en unik dag, utan växling mellan dag och natt. När det blir kväll är det fortfarande ljust. Herren vet allt om hur den dagen ska bli.

8Den dagen ska friskt vatten rinna fram från Jerusalem, hälften mot östra havet, hälften mot västra havet, både sommar och vinter ska det bli så.

9Herren ska vara kung över hela jorden. På den dagen ska Herren vara en och hans namn det enda.

10Hela landet från Geva till Rimmon, söder om Jerusalem, ska förvandlas till en slätt. Men staden ska resa sig och bli kvar på sin höjd, från Benjaminporten till den plats där den förra porten stod, till Hörnporten, och från Hananeltornet till de kungliga vinpressarna. 11De ska få bo där, och det ska aldrig mer vigas åt förintelse. Jerusalem ska vara tryggt.

12Detta är den plåga Herren ska slå alla de folk med som stred mot Jerusalem: Deras kött ska ruttna bort medan de ännu står på sina fötter, deras ögon ska ruttna i sina hålor och deras tungor i deras mun. 13Herren ska den dagen skapa stor panik bland dem, så att man vänder sig mot varandra och slåss inbördes. 14Juda ska också strida i Jerusalem. Alla grannfolkens rikedomar ska samlas, stora mängder av guld och silver och kläder. 15En liknande plåga ska drabba hästar, mulåsnor, kameler, åsnor och alla andra djur i dessa läger.

16Men alla överlevande från alla de folk som anföll Jerusalem ska dra dit upp, år efter år, för att tillbe kungen, härskarornas Herre, och för att fira lövhyddefesten. 17Men om någon av jordens släkter inte drar upp till Jerusalem för att tillbe kungen, härskarornas Herre, ska de inte få något regn. 18Om egypterna inte drar dit upp och deltar, ska de inte heller få regn. Det är den plåga Herren låter drabba de folk som inte drar upp för att fira lövhyddefesten.14:18 Grundtextens innebörd är osäker. 19Detta är straffet för Egypten och straffet för andra folk som inte drar upp för att fira lövhyddefesten.

20Den dagen ska det stå på hästarnas bjällror: ”Helgad åt Herren”, och kokkärlen i härskarornas Herres hus ska vara som offerskålarna framför altaret. 21Varje kokkärl i Jerusalem och Juda ska vara helgat åt härskarornas Herre, och alla som kommer för att offra ska ta ett av kärlen och använda för tillredning. Den dagen ska det inte längre finnas någon kanané14:21 Eller köpman. i härskarornas Herres hus.