Zekaria 12 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 12:1-14

Maadui Wa Yerusalemu Kuangamizwa

112:1 Mwa 1:8; Za 102:25; 104:2; Yer 51:15; Ebr 1:10; Isa 57:16; Ebr 12:9Hili ni neno la Bwana kuhusu Israeli. Bwana, yeye azitandaye mbingu, awekaye misingi ya dunia na aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake, asema: 212:2 Za 78:5; 60:3; Isa 51:23; Zek 14:14“Nitakwenda kufanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumbisha mataifa yote yanayoizunguka. Yuda utazingirwa kwa vita na Yerusalemu pia. 312:3 Isa 28:16; 29:8; 66:18; Zek 14:2; Dan 2:34-35; Mt 21:44Katika siku hiyo, wakati mataifa yote ya dunia yatakapokusanyika dhidi yake, nitaufanya Yerusalemu kuwa jabali lisilosogezwa kwa mataifa yote. Wote watakaojaribu kulisogeza watajiumiza wenyewe. 412:4 Za 76:6; Zek 10:5Katika siku hiyo nitampiga kila farasi kwa hofu ya ghafula, naye ampandaye nitampiga kwa uwazimu,” asema Bwana. “Nitalielekeza jicho langu la ulinzi juu ya nyumba ya Yuda, nami nitawapofusha farasi wote wa mataifa. 512:5 Eze 30:24Kisha viongozi wa Yuda watasema mioyoni mwao, ‘Watu wa Yerusalemu wana nguvu kwa sababu Bwana Mwenye Nguvu Zote ni Mungu wao.’

612:6 Isa 10:17-18; Zek 11:1; 14:10; Oba 1:18“Katika siku hiyo nitawafanya viongozi wa Yuda kuwa kama kigae cha moto ndani ya lundo la kuni, kama mwenge uwakao kati ya miganda. Watateketeza kulia na kushoto mataifa yote yanayowazunguka, lakini Yerusalemu utabaki salama mahali pake.

712:7 Yer 30:18; Amo 9:11Bwana atayaokoa makao ya Yuda kwanza, ili heshima ya nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu isiwe kubwa zaidi kuliko ile ya Yuda. 812:8 Za 91:4; 82:6; Yoe 3:10, 16; Zek 9:15; Mik 7:8Katika siku hiyo, Bwana atawakinga wale waishio Yerusalemu, ili kwamba aliye dhaifu kupita wote miongoni mwao awe kama Daudi, nayo nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama Malaika wa Bwana akiwatangulia. 912:9 Isa 29:7; Zek 1:21; 14:2-3; 1Kor 1:27-31Katika siku hiyo nitatoka kuangamiza mataifa yote yatakayoshambulia Yerusalemu.

Kumwombolezea Yule Aliyechomwa Mkuki

1012:10 Eze 37:9; 39:29; Isa 44:3; Yoe 2:28-29; Za 22:16; Yn 19:34-37; Amu 11:34; Mwa 21:16; Yer 31:19; Yoe 2:28; Lk 2:35; Ufu 1:7“Nami nitamiminia nyumba ya Daudi na wakazi wa Yerusalemu roho ya neema12:10 Au: Roho wa neema. na maombi. Watanitazama mimi, yule waliyemchoma. Nao watamwombolezea kama mtu anayemwombolezea mwanawe wa pekee na kusikitika kwa uchungu kama anayemsikitikia mzaliwa wake wa kwanza wa kiume. 1112:11 Yer 50:4; 2Fal 23:29; Mdo 2:37; 2Nya 35:24Katika siku hiyo kilio kitakuwa kikubwa Yerusalemu, kama kilio cha Hadad-Rimoni katika tambarare ya Megido. 1212:12 Mt 24:30; Ufu 1:7Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yake, nao wake zao peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi na wake zao, ukoo wa nyumba ya Nathani na wake zao, 13ukoo wa nyumba ya Lawi na wake zao, ukoo wa Shimei na wake zao, 1412:14 Zek 7:3na koo zote zilizobaki na wake zao.

New International Reader’s Version

Zechariah 12:1-14

The Lord Will Destroy Jerusalem’s Enemies

1This is a prophecy. It is the Lord’s message about Israel.

The Lord spreads out the heavens. He lays the foundation of the earth. He creates the human spirit within a person. He says, 2“Jerusalem will be like a cup in my hand. It will make all the surrounding nations drunk from the wine of my anger. Judah will be attacked by its enemies. So will Jerusalem. 3At that time all the nations on earth will gather together against Jerusalem. Then it will become like a rock that can’t be moved. All the nations that try to move it will only hurt themselves. 4On that day I will fill every horse with panic. I will make every rider crazy,” announces the Lord. “I will watch over the people of Judah. But I will make all the horses of the nations blind. 5Then the family groups of Judah will say in their hearts, ‘The people of Jerusalem are strong. That’s because the Lord who rules over all is their God.’

6“At that time Judah’s family groups will be like a fire pot in a pile of wood. They will be like a burning torch among bundles of grain. They will destroy all the surrounding nations on every side. But Jerusalem will remain unharmed in its place.

7“I will save the houses in Judah first. The honor of David’s family line is great. So is the honor of those who live in Jerusalem. But their honor will not be greater than the honor of the rest of Judah. 8At that time I will be like a shield to those who live in Jerusalem. Then even the weakest among them will be great warriors like David. And David’s family line will be like the angel of the Lord who leads them. 9On that day I will begin to destroy all the nations that attack Jerusalem.

Israel’s People Will Mourn Over the One They Pierced

10“I will pour out a spirit of grace and prayer on David’s family line. I will also send it on those who live in Jerusalem. They will look to me. I am the one they have pierced. They will mourn over me as someone mourns over an only child who has died. They will be full of sorrow over me. Their sorrow will be just like someone’s sorrow over an oldest son. 11At that time there will be a lot of weeping in Jerusalem. It will be as great as the weeping of the people at Hadad Rimmon. Hadad Rimmon is in the valley of Megiddo. They were weeping over Josiah’s death. 12Everyone in the land will mourn. Each family will mourn by themselves and their wives by themselves. That will include the family lines of David, Nathan, 13Levi, Shimei and 14all the others.