Zekaria 10 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 10:1-12

Bwana Ataitunza Yuda

110:1 Law 26:4; 1Fal 8:36; Za 104:13; 135:7; Ay 14:9; Yer 14:22; Yoe 2:32Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli;

ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani.

Huwapa watu manyunyu ya mvua,

pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.

210:2 Eze 21:21; Isa 44:25; 40:19; Yer 23:16; Hes 27:17; Hos 3:4; Mt 9:36Sanamu huzungumza udanganyifu,

waaguzi huona maono ya uongo;

husimulia ndoto ambazo si za kweli,

wanatoa faraja batili.

Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo

walioonewa kwa kukosa mchungaji.

310:3 Isa 14:9; Yer 25:34; Eze 34:8-10; Kut 4:31; Rut 1:6; Sef 2:7; Lk 1:68; 1Pet 2:12“Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji,

nami nitawaadhibu viongozi;

kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote

atalichunga kundi lake,

nyumba ya Yuda,

naye atawafanya kuwa kama farasi

mwenye kiburi akiwa vitani.

410:4 Za 118:22; Mdo 4:11; Isa 22:23; Zek 9:10Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni,

kutoka kwake vitatoka vigingi vya hema,

kutoka kwake utatoka upinde wa vita,

kutoka kwake atatoka kila mtawala.

510:5 2Sam 22:43; Mik 7:10; 5:8; Amo 2:15; Hag 2:22; Zek 12:4Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa

wanaokanyaga barabara za matope

wakati wa vita.

Kwa sababu Bwana yu pamoja nao,

watapigana na kuwashinda wapanda farasi.

610:6 Eze 30:24; 36:37; Za 102:13; 34:17; Isa 37:19; 14:1; 58:9; 65:24; Zek 8:7-8; 13:9“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda

na kuiokoa nyumba ya Yosefu.

Nitawarejesha kwa sababu

nina huruma juu yao.

Watakuwa kama watu ambao

sijawahi kuwakataa

kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wao,

nami nitawajibu.

710:7 Zek 9:15; 1Sam 2:1; Isa 60:5; Yoe 2:23Waefraimu watakuwa kama mashujaa,

mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai.

Watoto wao wataona na kufurahi,

mioyo yao itashangilia katika Bwana.

810:8 Isa 5:26; Yer 33:22; Eze 36:11Nitawaashiria na kuwakusanya ndani.

Hakika nitawakomboa,

nao watakuwa wengi

kama walivyokuwa mwanzoni.

910:9 Isa 44:21; Eze 6:9Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa,

hata hivyo wakiwa katika nchi za mbali

watanikumbuka mimi.

Wao na watoto wao watanusurika katika hatari

nao watarudi.

1010:10 Isa 11:11; 49:19; Zek 8:8; Yer 50:19; Rum 11:25; Kut 14:26-27Nitawarudisha kutoka Misri

na kuwakusanya toka Ashuru.

Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni,

na hapo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha.

1110:11 Isa 19:5-7; 51:10; Sef 2:13; Eze 29:15; 30:13Watapita katika bahari ya mateso;

bahari iliyochafuka itatulizwa

na vilindi vyote vya Mto Naili vitakauka.

Kiburi cha Ashuru kitashushwa,

nayo fimbo ya utawala ya Misri itatoweka.

1210:12 Eze 30:24; Mik 4:5Nitawaimarisha katika Bwana,

na katika jina lake watatembea,”

asema Bwana.

Japanese Contemporary Bible

ゼカリヤ書 10:1-12

10

主がユダを守る

1春の雨を主に願いなさい。

そうすれば、いなずまと夕立で答えてくれます。

どこの野も青々とした牧場となるでしょう。

2そのようなことを偶像に願い求めるのは、

なんと愚かなことでしょう。

占い師の予言することは、ばかばかしい偽りだけです。

実現しない約束に、どんな慰めがあるでしょうか。

ユダとイスラエルは、迷子の羊のように

迷い出てさまよっています。

守ってくれる羊飼いがいないので、

攻撃の的にされているのです。

3「わたしの怒りは、あなたがたの『羊飼い』である

指導者たちに向かって燃え上がる。

わたしは、この雄やぎを罰する。

全能の主が、自分の羊の群れであるユダを

助けに来たからだ。

わたしは彼らを強くし、

戦場を誇らしげに駆ける軍馬のようにする。

4彼らの中から礎石が、

すべての望みがその上にかかる杭が、

戦いを勝利に導く弓が、

全地の支配者が出て来る。

5彼らは神のために戦う力強い戦士となり、

敵の顔を泥に押しつけ、踏みつける。

戦いには、主が共にいるので、敵は全滅する。

6わたしはユダを、そしてイスラエルをも強くする。

彼らを愛しているので、立て直すのだ。

彼らは、わたしが捨てたことがない者のようになる。

彼らの神、主であるこのわたしが、

その叫びを聞くからだ。

7彼らは力強い戦士のようになる。

ぶどう酒に酔った時のような喜びを味わい、

子どもたちも主のあわれみを見て喜ぶ。

彼らの心は主にあって喜びにあふれる。

8わたしが口笛を吹くと、みな駆け寄って来る。

わたしが連れ戻したからだ。

残されている者は少ないが、

以前と同じくらいに数が増える。

9わたしは彼らを種のように諸国にまき散らしたが、

それでも彼らはわたしを思い出し、

神のもとへ帰って来る。

子どもたちをみな連れて、

イスラエルのわが家へ帰って来る。

10わたしは彼らをエジプトとアッシリヤから連れ戻し、イスラエルに、ギルアデとレバノンに再び住みつかせる。

そこは、すべての者が住むには狭すぎるようになる。

11波が退くので、彼らは困難の海を安全に通り過ぎる。

ナイル川は干上がる。

わたしの民に対するアッシリヤとエジプトの支配は、

終わりを告げる。」

12主は言います。

「わたしから出る力によって、わたしの民を強くする。

彼らはどこへでも行きたい所へ行き、

どこへ行っても、わたしの保護のもとにある。」