Zaburi 94 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 94:1-23

Zaburi 94

Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki

194:1 Mwa 4:24; Za 80:1; Rum 12:19; Kum 33:2Ee Bwana, ulipizaye kisasi,

Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.

294:2 Mwa 18:25; Yak 5:9; Hes 10:35; Za 31:23Ee Mhukumu wa dunia, inuka,

uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.

394:3 Za 13:2; Mwa 20:3Hata lini, waovu, Ee Bwana,

hata lini waovu watashangilia?

494:4 Yer 43:2; Za 52:1; Yud 15Wanamimina maneno ya kiburi,

watenda mabaya wote wamejaa majivuno.

594:5 Za 28:9; 44:2; 74:8; Isa 3:15; Yer 8:21Ee Bwana, wanawaponda watu wako,

wanawaonea urithi wako.

694:6 Kum 10:18; 20:19; Isa 1:17Wanamchinja mjane na mgeni,

na kuwaua yatima.

794:7 Ay 22:14; Mwa 24:12Nao husema, “Bwana haoni,

Mungu wa Yakobo hafahamu.”

894:8 Kum 32:6; Za 73:22Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu;

enyi wapumbavu, lini mtakuwa na hekima?

994:9 Kut 4:11; Mit 20:12Je, aliyeweka sikio asisikie?

Aliyeumba jicho asione?

1094:10 Za 39:11; Ay 35:11; Yn 6:45; Isa 2:3; 28:26; Kut 35:34Je, anayeadhibisha mataifa asiadhibu?

Je, awafundishaye wanadamu asiwe na maarifa?

1194:11 Za 139:2; Mt 15:26; 9:4; 1Kor 3:20; 1:21Bwana anajua mawazo ya mwanadamu;

anajua kwamba ni ubatili.

1294:12 Ay 5:17; Kum 8:3; 1Kor 11:32; Mit 3:11; Ebr 12:5; 1Sam 12:23Ee Bwana, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,

mtu unayemfundisha kwa sheria yako,

1394:13 Za 86:7; 7:15; 55:23unampa utulivu siku za shida,

mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa

kwa ajili ya mwovu.

1494:14 Kum 31:6; Za 37:28; Rum 11:2; 1Sam 12:22; 1Fal 6:13; Yer 31:37Kwa kuwa Bwana hatawakataa watu wake,

hatauacha urithi wake.

1594:15 Za 97:2; 7:10; 11:2; 36:10Hukumu itasimamishwa tena kwenye haki,

wote walio na mioyo minyofu wataifuata.

1694:16 Hes 10:35; Isa 14:22; Za 17:13; 59:2Ni nani atakayeinuka dhidi ya mwovu kwa ajili yangu?

Ni nani atakayenikinga dhidi ya watenda maovu?

1794:17 Za 124:2; 31:17Kama Bwana asingelinisaidia upesi,

ningelikuwa ninaishi katika ukimya wa kifo.

1894:18 Kum 32:35; Ay 12:5Niliposema, “Mguu wangu unateleza,”

Ee Bwana, upendo wako ulinishikilia.

1994:19 Mhu 11:10; Ay 6:10Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu,

faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.

2094:20 Za 58:2; Isa 10:1; 2Kor 6:14; Amo 6:3; Yer 22:30; 36:30Je, kiti cha utawala wa udhalimu kitajiunga nawe,

ule utawala uletao taabu kutokana na sheria zake?

2194:21 Za 56:6; 106:38; Mit 17:15, 26; 28:21; Isa 5:20, 23; Mt 27:1, 4; Mwa 18:23; Mit 17:15; Kut 23:7Huungana kuwashambulia wenye haki,

kuwahukumu kufa wasio na hatia.

2294:22 Za 18:2; 61:2; 2Sam 22:3Lakini Bwana amekuwa ngome yangu,

na Mungu wangu amekuwa mwamba ninaoukimbilia.

2394:23 Za 37:38; 145:20; 54:5; 9:5; Mit 2:22; Kut 32:34Yeye atawalipa kwa ajili ya dhambi zao

na atawaangamiza kwa ajili ya maovu yao;

Bwana Mungu wetu atawaangamiza.

Korean Living Bible

시편 94:1-23

모든 것을 심판하시는 하나님

1여호와여, 주는

복수의 하나님이십니다.

94:1 원문에는 ‘빛을 비추소서’주의 분노를 나타내소서.

2세상의 재판장이시여,

일어나셔서 교만한 자에게

마땅히 받아야 할 형벌을 주소서.

3여호와여, 악인이 언제까지

으스대며 기뻐하겠습니까?

4악인들이 거만한 말을 지껄이고

오히려 그들의 죄를

자랑하고 있습니다.

5여호와여, 그들이

주의 백성을 짓누르며

주께서 사랑하는 자들을 괴롭히고

6과부와 고아를 죽이며

나그네를 학살하고

7“여호와는 보지 못하며

야곱의 하나님은

관심조차 없다” 고 말합니다.

8지각 없는 자들아, 깨달아라.

어리석은 자들아,

너희가 언제나 지혜로워지겠느냐?

9귀를 만드신 자가

듣지 못하겠느냐?

눈을 만드신 자가

보지 못하겠느냐?

10세상 나라를 벌하시는 자가

책망하시지 않겠느냐?

사람을 가르치시는 자가

지식이 부족하겠느냐?

11여호와께서는 사람의 생각이

헛된 것을 아신다.

12여호와여, 주께서 징계하시고

주의 법으로 교훈을 받는 자는

복이 있습니다.

13주는 이런 사람을

환난 날에 벗어나게 하여

악인을 빠뜨릴 함정을 팔 때까지

그에게 안식을 주십니다.

14여호와는 자기 백성을

거절하지 않을 것이며

94:14 또는 ‘그 기업을’자기에게 속한 자를

버리지 않으실 것이다.

1594:15 원문에는 ‘판단이 의로 돌아가리니’정의가 정당하게

평가되는 날이 있을 것이니

마음이 정직한 자들이 기뻐하리라.

16누가 악한 자에게서 나를 보호하고

내 방패가 되어 줄까?

17여호와께서 나를 돕지 않으셨다면

나는 지금 침묵의 땅에

가 있을 것입니다.

18여호와여, 내가 미끄러진다고

외칠 때에

주의 사랑이 나를 붙들어 주셨으며

19내 마음속에

걱정이 태산 같았을 때

주의 위로가

내 영혼을 즐겁게 하였습니다.

20법을 구실로 백성을 괴롭히는

부패한 정치가가 어떻게 주와

교제할 수 있겠습니까?

21그들은 선한 사람들을

해할 음모를 꾸미고

죄 없는 사람을 재판하여

죽입니다.

22그러나 여호와는 나의 요새이시며

내가 피할 바위이십니다.

23하나님은 악인들의 죄가

자기들에게 되돌아가게 하시고

그 악으로 그들을 파멸시킬 것이니

우리 하나님 여호와께서

그들을 멸하시리라.