Zaburi 87
Sifa Za Yerusalemu
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
187:1 Za 48:1Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
287:2 Za 2:6Bwana anayapenda malango ya Sayuni
kuliko makao yote ya Yakobo.
387:3 Za 46:4; Isa 60:1Mambo matukufu yanasemwa juu yako,
ee mji wa Mungu:
487:4 Ay 9:13; 2Sam 8:1; Za 83:7; 45:12; Yoe 3:4; Isa 19:25“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu87:4 Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri. na Babeli
miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:
Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,87:4 Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’ ”
587:5 Eze 48:35; Mt 16:18Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,
“Huyu na yule walizaliwa humo,
naye Aliye Juu Sana mwenyewe
atamwimarisha.”
687:6 Isa 4:3; Kut 32:32; Yer 3:19; Eze 13:9; Za 22:30; 69:28; Mal 3:16Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:
“Huyu alizaliwa Sayuni.”
787:7 Za 149:3; 36:9Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,
“Chemchemi zangu zote ziko kwako.”
시온의 영광
(노래로 부른 고라 자손의 시)
1여호와께서 거룩한 산에
자기 터를 세우셨으니
2이스라엘의 그 어떤 곳보다
그가 87:2 또는 ‘시온의 문들을’예루살렘성을
사랑하시는구나.
3하나님의 성이여,
너를 가리켜 영광스럽다고 말한다.
4“내가 나를 아는 자 중에
87:4 히 ‘라합’이집트와 바빌로니아를
포함시킬 것이며
블레셋, 두로, 에티오피아 사람들도
‘시온에서 났다’ 하리라.”
5이 사람 저 사람이
다 시온에서 났다고 말하니
가장 높으신 분이
예루살렘을 굳게 세우시리라.
6여호와께서 여러 민족을
등록부에 기록하실 때
그 수를 세시며 “이 사람도
시온에서 났다” 하시리라.
7노래하고 춤추는 자들이
“축복의 모든 근원은
시온에 있다” 하리라.