Zaburi 83 – NEN & TCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 83:1-18

Zaburi 83

Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli

Wimbo. Zaburi ya Asafu.

183:1 Za 28:1; 35:22; Isa 42:14; 57:11; 62:1; 64:12Ee Mungu, usinyamaze kimya,

usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.

283:2 Za 2:1; Isa 17:12; Amu 8:28Tazama watesi wako wanafanya fujo,

jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.

383:3 Kut 1:10; Za 31:13; 17:14Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,

wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.

483:4 Es 3:6; Yer 33:24; 11:19; 2Sam 10:6; 2Nya 20:1Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,

ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”

583:5 Za 2:2Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,

wanafanya muungano dhidi yako,

683:6 Za 137:7; Isa 34:5; Yer 49:7; Amo 1:11; 2Nya 20:1; Mwa 25:16mahema ya Edomu na Waishmaeli,

ya Wamoabu na Wahagari,

783:7 Yos 13:5; Mwa 19:38; 14:7; Kut 17:14; 15:14; Isa 23:3; Eze 27:3Gebali,83:7 Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti). Amoni na Amaleki,

Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.

883:8 Mwa 10:11; Kum 2:9Hata Ashuru wameungana nao

kuwapa nguvu wazao wa Loti.

983:9 Hes 31:7, 8; Isa 9:4; Yos 11:1; Amu 4:2, 15, 23, 24; 7:1, 2, 3; Mwa 25:2Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,

na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini

hapo kijito cha Kishoni,

1083:10 1Sam 28:7; 2Fal 9:37; Isa 5:25; Yer 8:2; 9:22; 16:4; 25:33; Sef 1:17ambao waliangamia huko Endori

na wakawa kama takataka juu ya nchi.

1183:11 Amu 7:25; 8:5Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,

watawala wao kama Zeba na Salmuna,

1283:12 2Nya 20:11; Eze 35:10ambao walisema, “Na tumiliki nchi

ya malisho ya Mungu.”

1383:13 Ay 13:25Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,

kama makapi yapeperushwayo na upepo.

1483:14 Kum 32:22; Isa 9:13Kama vile moto uteketezavyo msitu

au mwali wa moto unavyounguza milima,

1583:15 Za 50:3; Ay 9:17wafuatilie kwa tufani yako

na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.

1683:16 Za 34:5; 109:29; 132:18Funika nyuso zao kwa aibu

ili watu walitafute jina lako, Ee Bwana.

1783:17 2Fal 19:26; Za 35:4Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,

na waangamie kwa aibu.

1883:18 Za 68:4; 7:8; 18:13Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Bwana,

kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.

Tagalog Contemporary Bible

Salmo 83:1-18

Salmo 8383 Salmo 83 Ang unang mga salita sa Hebreo: Ang awit na isinulat ni Asaf.

Ang Masasamang Bansa

1O Dios, huwag kayong manahimik.

Kumilos po kayo!

2Masdan ang inyong mga kaaway,

maingay silang sumasalakay at ipinagyayabang na mananalo sila.

3Nagbabalak sila ng masama laban sa inyong mga mamamayan na inyong kinakalinga.

4Sinabi nila, “Halikayo, wasakin natin ang bansang Israel upang makalimutan na siya magpakailanman.”

5At nagkasundo sila sa masamang plano nila.

Gumawa sila ng kasunduan laban sa inyo.

6Sila ay mga taga-Edom, mga Ishmaelita, mga taga-Moab, mga Hagreo,

7mga taga-Gebal, taga-Ammon, taga-Amalek, mga taga-Filistia at mga taga-Tyre.

8Kumampi rin sa kanila ang Asiria, isang bansang malakas na kakampi ng lahi ni Lot.83:8 lahi ni Lot: Maaaring ang mga taga-Moab at Ammon.

9Talunin nʼyo sila Panginoon,

katulad ng ginawa nʼyo sa mga Midianita at kina Sisera at Jabin doon sa Lambak ng Kishon.

10Namatay sila sa Endor at ang mga bangkay nilaʼy nabulok at naging pataba sa lupa.

11Patayin nʼyo ang mga pinuno nila katulad ng ginawa ninyo kina Oreb at Zeeb at kina Zeba at Zalmuna.

12Sinabi nila, “Agawin natin ang lupain ng Dios.”

13O Dios ko, ikalat nʼyo sila na parang alikabok o ipa na nililipad ng hangin.

14-15Tulad ng apoy na tumutupok sa mga puno sa kagubatan at kabundukan,

habulin nʼyo sila ng inyong bagyo at takutin ng malalakas na hangin.

16Hiyain nʼyo sila Panginoon hanggang sa matuto silang lumapit sa inyo.

17Sana nga ay mapahiya at matakot sila habang buhay.

Mamatay sana sila sa kahihiyan.

18Para malaman nilang kayo, Panginoon, ang tanging Kataas-taasang Dios sa buong mundo.