Zaburi 80 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 80:1-19

Zaburi 80

Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.

180:1 Kut 25:22; 1Sam 4:4; Za 77:20; 89:1; Kum 33:2Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,

wewe umwongozaye Yosefu kama kundi;

wewe uketiye katika kiti cha enzi

katikati ya makerubi, angaza

280:2 Hes 2:18-24; Za 35:23; 54:1; 71:2; 109:26; 116:4; 119:94mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.

Uamshe nguvu zako,

uje utuokoe.

380:3 Za 71:20; 85:4; Yer 31:18; Mao 5:21; Hes 6:25; Za 80:7, 19; 1Fal 18:37Ee Mungu, uturejeshe,

utuangazie uso wako,

ili tuweze kuokolewa.

480:4 Za 74:10; Kum 29:20Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,

hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi

dhidi ya maombi ya watu wako?

580:5 Ay 3:24; Isa 30:20Umewalisha kwa mkate wa machozi,

umewafanya wanywe machozi bakuli tele.

680:6 Za 79:4Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,

na adui zetu wanatudhihaki.

780:7 Za 80:3Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

utuangazie uso wako,

nasi tuweze kuokolewa.

880:8 Isa 5:1-2, 7; Yer 2:21; Mt 21:33-41; Kut 15:17; 23:28-30; Yos 13:6; Mdo 7:45; Eze 15:6Ulileta mzabibu kutoka Misri,

ukawafukuza mataifa, ukaupanda.

9Uliandaa shamba kwa ajili yake,

mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.

10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.

1180:11 Kut 23:31; Za 72:8Matawi yake yalienea mpaka Baharini,80:11 Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.

machipukizi yake mpaka kwenye Mto.80:11 Yaani Mto Frati.

1280:12 Isa 5:5; 30:13; Za 89:40; Yer 39:8Mbona umebomoa kuta zake

ili wote wapitao karibu

wazichume zabibu zake?

1380:13 Yer 5:6Nguruwe mwitu wanauharibu

na wanyama wa kondeni hujilisha humo.

1480:14 Kum 26:15; Zek 1:12, 16, 17; Isa 63:15Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!

Tazama chini kutoka mbinguni na uone!

Linda mzabibu huu,

1580:15 Isa 49:5mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,

mwana uliyemlea

kwa ajili yako mwenyewe.

1680:16 Za 79:1; Kum 28:20Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,

unapowakemea, watu wako huangamia.

1780:17 Ay 25:6; Za 89:21; 110:1; Kut 4:22; Dan 7:13, 14; Yn 5:21-27Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,

mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.

1880:18 Za 85:6; Isa 57:15; Hos 6:2Ndipo hatutakuacha tena,

utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.

1980:19 Hes 6:25; Za 27:4, 9Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

utuangazie uso wako,

ili tuweze kuokolewa.

Hoffnung für Alle

Psalm 80:1-20

Der verbrannte Weinstock

1Ein Lied von Asaf, nach der Melodie: »Lilien als Zeugnis«.

2Höre uns, Gott, du Hirte Israels, der du dein Volk80,2 Wörtlich: der du Josef. wie eine Herde hütest!

Der du über den Keruben thronst –

erscheine in deinem strahlenden Glanz!

3Zeige deine Macht den Stämmen Ephraim, Benjamin und Manasse!

Komm und hilf uns doch!

4O Gott, richte uns, dein Volk, wieder auf!

Blicke uns freundlich an, dann sind wir gerettet!

5Du allmächtiger Herr und Gott,

wie lange willst du noch zornig auf uns sein,

obwohl wir zu dir beten?

6Tränen sind unsere einzige Speise –

ganze Krüge könnten wir mit ihnen füllen!

7Unsere Feinde spotten über unsere Ohnmacht,

sie streiten sich schon über unser Land.80,7 Wörtlich: Du hast uns zum Zankapfel für unsere Nachbarn gemacht.

8Allmächtiger Gott, richte uns, dein Volk, wieder auf!

Blicke uns freundlich an, dann sind wir gerettet!

9In Ägypten grubst du den Weinstock Israel aus;

du pflanztest ihn ein in einem Land,

aus dem du fremde Völker verjagt hattest.

10Für ihn hast du den Boden gerodet,

so dass er Wurzeln schlagen konnte

und sich im ganzen Land ausbreitete.

11Mit seinem Schatten bedeckte er das Gebirge,

er wuchs höher als die gewaltigsten Zedern.

12Seine Ranken erstreckten sich bis zum Mittelmeer,

und bis an den Euphrat gelangten seine Zweige.

13Warum nur hast du die schützende Mauer niedergerissen?

Jetzt kann jeder, der vorüberkommt, ihn plündern!

14Die Wildschweine aus dem Wald verwüsten ihn,

die wilden Tiere fressen ihn kahl.

15Allmächtiger Gott, wende dich uns wieder zu!

Schau vom Himmel herab und rette dein Volk!

Kümmere dich um diesen Weinstock,

16den du selbst gepflanzt hast;

sorge für den jungen Spross,

den du hast aufwachsen lassen!

17Unsere Feinde haben ihn abgehauen und ins Feuer geworfen;

doch wenn du ihnen entgegentrittst, kommen sie um.

18Beschütze den König, den du erwählt hast,

den Mann80,18 Wörtlich: Menschensohn. – Vgl. »Menschensohn« in den Sacherklärungen., der durch dich erst stark wurde!

19Dann wollen wir nie mehr von dir weichen.

Erhalte uns am Leben, dann wollen wir dich loben.

20Du allmächtiger Herr und Gott –

richte uns, dein Volk, wieder auf!

Blicke uns freundlich an, dann sind wir gerettet!