Zaburi 80
Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.
180:1 Kut 25:22; 1Sam 4:4; Za 77:20; 89:1; Kum 33:2Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,
wewe umwongozaye Yosefu kama kundi;
wewe uketiye katika kiti cha enzi
katikati ya makerubi, angaza
280:2 Hes 2:18-24; Za 35:23; 54:1; 71:2; 109:26; 116:4; 119:94mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.
Uamshe nguvu zako,
uje utuokoe.
380:3 Za 71:20; 85:4; Yer 31:18; Mao 5:21; Hes 6:25; Za 80:7, 19; 1Fal 18:37Ee Mungu, uturejeshe,
utuangazie uso wako,
ili tuweze kuokolewa.
480:4 Za 74:10; Kum 29:20Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,
hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi
dhidi ya maombi ya watu wako?
580:5 Ay 3:24; Isa 30:20Umewalisha kwa mkate wa machozi,
umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
680:6 Za 79:4Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,
na adui zetu wanatudhihaki.
780:7 Za 80:3Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;
utuangazie uso wako,
nasi tuweze kuokolewa.
880:8 Isa 5:1-2, 7; Yer 2:21; Mt 21:33-41; Kut 15:17; 23:28-30; Yos 13:6; Mdo 7:45; Eze 15:6Ulileta mzabibu kutoka Misri,
ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
9Uliandaa shamba kwa ajili yake,
mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
10Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,
matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
1180:11 Kut 23:31; Za 72:8Matawi yake yalienea mpaka Baharini,80:11 Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.
machipukizi yake mpaka kwenye Mto.80:11 Yaani Mto Frati.
1280:12 Isa 5:5; 30:13; Za 89:40; Yer 39:8Mbona umebomoa kuta zake
ili wote wapitao karibu
wazichume zabibu zake?
1380:13 Yer 5:6Nguruwe mwitu wanauharibu
na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
1480:14 Kum 26:15; Zek 1:12, 16, 17; Isa 63:15Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!
Tazama chini kutoka mbinguni na uone!
Linda mzabibu huu,
1580:15 Isa 49:5mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,
mwana uliyemlea
kwa ajili yako mwenyewe.
1680:16 Za 79:1; Kum 28:20Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,
unapowakemea, watu wako huangamia.
1780:17 Ay 25:6; Za 89:21; 110:1; Kut 4:22; Dan 7:13, 14; Yn 5:21-27Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,
mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
1880:18 Za 85:6; Isa 57:15; Hos 6:2Ndipo hatutakuacha tena,
utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
1980:19 Hes 6:25; Za 27:4, 9Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;
utuangazie uso wako,
ili tuweze kuokolewa.
Salmo 80
Al director musical. Sígase la tonada de «Los lirios del pacto». Salmo de Asaf.
1Pastor de Israel,
tú que guías a José como a un rebaño,
tú que reinas entre los querubines, ¡escúchanos!
¡Resplandece 2delante de Efraín, Benjamín y Manasés!
¡Muestra tu poder, y ven a salvarnos!
3Restáuranos, oh Dios;
haz resplandecer tu rostro sobre nosotros,
y sálvanos.
4¿Hasta cuándo, Señor Dios Todopoderoso,
arderá tu ira contra las oraciones de tu pueblo?
5Por comida, le has dado pan de lágrimas;
por bebida, lágrimas en abundancia.
6Nos has hecho motivo de contienda
para nuestros vecinos;
nuestros enemigos se burlan de nosotros.
7Restáuranos, oh Dios Todopoderoso;
haz resplandecer tu rostro sobre nosotros,
y sálvanos.
8De Egipto trajiste una vid;
expulsaste a los pueblos paganos, y la plantaste.
9Le limpiaste el terreno,
y ella echó raíces y llenó la tierra.
10Su sombra se extendía hasta las montañas,
su follaje cubría los más altos cedros.
11Sus ramas se extendieron hasta el Mediterráneo
y sus renuevos hasta el Éufrates.
12¿Por qué has derribado sus muros?
¡Todos los que pasan le arrancan uvas!
13Los jabalíes del bosque la destruyen,
los animales salvajes la devoran.
14¡Vuélvete a nosotros, oh Dios Todopoderoso!
¡Asómate a vernos desde el cielo
y brinda tus cuidados a esta vid!
15¡Es la raíz que plantaste con tu diestra!
¡Es el vástago que has criado para ti!
16Tu vid está derribada, quemada por el fuego;
a tu reprensión perece tu pueblo.80:16 Tu vid … tu pueblo (lectura probable); Haz que perezcan, a tu reprensión, / los que la queman y destruyen (TM).
17Bríndale tu apoyo al hombre de tu diestra,
al ser humano80:17 ser humano. Lit. hijo de hombre. que para ti has criado.
18Nosotros no nos apartaremos de ti;
reavívanos, e invocaremos tu nombre.
19Restáuranos, Señor Dios Todopoderoso;
haz resplandecer tu rostro sobre nosotros,
y sálvanos.