Zaburi 71
Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha
171:1 Kum 23:15; Rut 2:12; Za 22:5Ee Bwana, nimekukimbilia wewe,
usiache nikaaibika kamwe.
271:2 2Fal 19:1671:2 Kut 34:6Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,
unitegee sikio lako uniokoe.
371:3 Za 18:2Uwe kwangu mwamba wa kimbilio,
mahali nitakapokimbilia kila wakati;
toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe
ni mwamba wangu na ngome yangu.
471:4 2Fal 19:19; Za 140:4; Mwa 48:16Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,
kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.
571:5 Za 9:18; 25:5; Ay 4:6; Yer 17:7Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi,
tegemeo langu tangu ujana wangu.
671:6 Ay 3:16; Za 9:1; 22:9; 34:1; 52:9; 119:164; 145:2Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,
ulinitoa tumboni mwa mama yangu.
Nitakusifu wewe daima.
771:7 Kum 28:46; 1Kor 4:9; Za 61:3; 2Sam 22:3Nimekuwa kama kioja kwa wengi,
lakini wewe ni kimbilio langu imara.
871:8 Za 71:15; 51:15; 63:5; 96:6; 104:1Kinywa changu kimejazwa sifa zako,
nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.
971:9 Za 51:11; 92:14; Kum 4:31; 31:6Usinitupe wakati wa uzee,
wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.
1071:10 Za 3:7; 10:8; 59:3; 31:13; Mt 1:10; 12:14Kwa maana adui zangu wananisengenya,
wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.
1171:11 Isa 40:27; 54:7; Mt 27:46; Za 7:2; 9:10; Mao 5:20Wanasema, “Mungu amemwacha,
mkimbilieni mkamkamate,
kwani hakuna wa kumwokoa.”
1271:12 Za 38:21, 22; 22:19Ee Mungu, usiwe mbali nami,
njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.
1371:13 Ay 8:22; Za 15:3; 70:2; Yer 18:19Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,
wale wanaotaka kunidhuru
na wafunikwe kwa dharau na fedheha.
1471:14 Za 25:3; 42:5; 130:7; 131:3Lakini mimi, nitatumaini siku zote,
nitakusifu zaidi na zaidi.
1571:15 Za 71:8; 66:6; 51:14Kinywa changu kitasimulia haki yako,
wokovu wako mchana kutwa,
ingawa sifahamu kipimo chake.
1671:16 Za 77:12; 106:2; 118:15; 9:1; 145:4Ee Bwana Mwenyezi, nitakuja
na kutangaza matendo yako makuu,
nitatangaza haki yako, yako peke yako.
1771:17 Yer 7:13; Ay 5:9; Za 26:7; 86:10; 96:3; Kum 4:5Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,
hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.
1871:18 Isa 46:4; Kut 9:16; Ay 8:8; Yoe 1:3; Za 78:4; 145:4; 22:30, 31Ee Mungu, usiniache,
hata niwapo mzee wa mvi,
mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho,
nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.
1971:19 Lk 1:49; Za 36:5; 35:10; 77:13; 89:8; 126:2Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,
wewe ambaye umefanya mambo makuu.
Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?
2071:20 Za 80:3, 19; 25:17; 85:4; 63:9; Hos 6:2Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu,
utanihuisha tena,
kutoka vilindi vya dunia
utaniinua tena.
2171:21 Za 18:35; 86:17; Isa 12:1; 40:1, 2; 49:13; 54:10Utaongeza heshima yangu
na kunifariji tena.
2271:22 Za 33:2; 92:3; 144:9; Ay 21:12; 2Fal 19:22Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi
kwa ajili ya uaminifu wako;
Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli,
nitakuimbia sifa kwa zeze.
2371:23 Za 20:5; Kut 15:13Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha
ninapokuimbia sifa,
mimi, ambaye umenikomboa.
2471:24 Za 35:28; Es 9:2Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki
mchana kutwa,
kwa maana wale waliotaka kunidhuru,
wameaibishwa na kufadhaishwa.
Salmo 71
1Em ti, Senhor, busquei refúgio;
nunca permitas que eu seja humilhado.
2Resgata-me e livra-me por tua justiça;
inclina o teu ouvido para mim e salva-me.
3Peço-te que sejas a minha rocha de refúgio,
para onde eu sempre possa ir;
dá ordem para que me libertem,
pois és a minha rocha e a minha fortaleza.
4Livra-me, ó meu Deus, das mãos dos ímpios,
das garras dos perversos e cruéis.
5Pois tu és a minha esperança, ó Soberano Senhor,
em ti está a minha confiança desde a juventude.
6Desde o ventre materno dependo de ti;
tu me sustentaste71.6 Ou separaste desde as entranhas de minha mãe.
Eu sempre te louvarei!
7Tornei-me um exemplo para muitos,
porque tu és o meu refúgio seguro.
8Do teu louvor transborda a minha boca,
que o tempo todo proclama o teu esplendor.
9Não me rejeites na minha velhice;
não me abandones quando se vão as minhas forças.
10Pois os meus inimigos me caluniam;
os que estão à espreita juntam-se e planejam matar-me.
11“Deus o abandonou”, dizem eles;
“persigam-no e prendam-no, pois ninguém o livrará.”
12Não fiques longe de mim, ó Deus;
ó meu Deus, apressa-te em ajudar-me.
13Pereçam humilhados os meus acusadores;
sejam cobertos de zombaria e vergonha
os que querem prejudicar-me.
14Mas eu sempre terei esperança
e te louvarei cada vez mais.
15A minha boca falará sem cessar da tua justiça
e dos teus incontáveis atos de salvação.
16Falarei dos teus feitos poderosos, ó Soberano Senhor;
proclamarei a tua justiça, unicamente a tua justiça.
17Desde a minha juventude, ó Deus, tens me ensinado,
e até hoje eu anuncio as tuas maravilhas.
18Agora que estou velho, de cabelos brancos,
não me abandones, ó Deus,
para que eu possa falar da tua força aos nossos filhos,
e do teu poder às futuras gerações.
19Tua justiça chega até as alturas, ó Deus,
tu, que tens feito coisas grandiosas.
Quem se compara a ti, ó Deus?
20Tu, que me fizeste passar muitas e duras tribulações,
restaurarás a minha vida,
e das profundezas da terra de novo me farás subir.
21Tu me farás mais honrado
e mais uma vez me consolarás.
22E eu te louvarei com a lira
por tua fidelidade, ó meu Deus;
cantarei louvores a ti com a harpa,
ó Santo de Israel.
23Os meus lábios gritarão de alegria
quando eu cantar louvores a ti,
pois tu me redimiste.
24Também a minha língua sempre falará
dos teus atos de justiça,
pois os que queriam prejudicar-me
foram humilhados e ficaram frustrados.